TB Joshua kuzikwa Julai 11


Mwili wa TB Joshua unatarajiwa kuzikwa Mwezi huu, Nchini Nigeria

Kwa Mujibu wa ripoti kutoka Nchini Humo TB Joshua atapumzishwa kwenye Makazi yake ya Milele Siku ya Jumapili (julai 11, 2021).

Ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.

Taratibu za mazishi zitaanza hii leo saa 12 jioni kwa saa za Nigeria na kuruka live kupitia runinga ya Kanisa hilo ambayo ni Emmanuel TV.

TB Joshua ndiye mwanzilishi wa kanisa la Synagogue Church of All Nations (Scoan) na kituo cha televisheni cha Emmanuel TV ambacho amekuwa akikitumia katika mahubiri yake na kuwavutia watu wa mataifa mbalimbali.

PIA SOMA:
Tar 11 ni Thanksgiving service!
Watching live from 5th july ,hakuna moto wowote uliolipuka,mambo ya mitandao ,duh!
 
  • Thanks
Reactions: Pep

Mwili wa TB Joshua unatarajiwa kuzikwa Mwezi huu, Nchini Nigeria

Kwa Mujibu wa ripoti kutoka Nchini Humo TB Joshua atapumzishwa kwenye Makazi yake ya Milele Siku ya Jumapili (julai 11, 2021).

Ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.

Taratibu za mazishi zitaanza hii leo saa 12 jioni kwa saa za Nigeria na kuruka live kupitia runinga ya Kanisa hilo ambayo ni Emmanuel TV.

TB Joshua ndiye mwanzilishi wa kanisa la Synagogue Church of All Nations (Scoan) na kituo cha televisheni cha Emmanuel TV ambacho amekuwa akikitumia katika mahubiri yake na kuwavutia watu wa mataifa mbalimbali.

PIA SOMA:
Picha akiwa kalala kwenye jeneza
IMG-20210708-WA0012.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga na umaskini ni vitu vitakavyoendelea kuwatafuna waafrika milele. Muda wote huo, wanasubiri nini kuzika?
Mtu akifa inapaswa azikwe mara moja na mambo mengine ya kimaisha yaendelee.
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake, kuna maisha mengine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu, na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
Asante kwa hii Heaven Sent 👏
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake, kuna maisha mengine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu, na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
Nigeria na wanyakyusa wanaendana sana kuanzia huko kulia, kuimba, makanisa lundo, miili yao, kuigiza usanii balaa na vitu vingine vingi.
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake, kuna maisha mengine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu, na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
.
IMG-20210708-WA0087.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwanini yawe matambiko mkuu?
Hakuna matambiko ni taratibu tu wamejiwekea,by the way tar 11 ni Thanksgiving service, anazikwa kesho!

Nimejaribu kutafakari mbona wanachukua muda mrefu sana kumlaza katika wafu ilihali kafariki muda...

Btw mzima wewe Tina 😊
 
Kwa hilo waislam 2 wagalatia 0

5 bila mkuu, sio mbili bila.

Heaven Sent ameelezea vizuri sana. Kuna jamaa tulikua tunafanya nae kazi, tukatumiwa email amefiwa na Mama yake, kwenda asubuhi kazini, namkuta yupo na anaendelea na kazi. Tukashtuka, kumbe wao mazishi sio ghafla kama kwetu, wanaweza kukaa hata miezi miwili au mitatu.

Na wakati huo hapo katikati ni full ubwabwa na finyango za kutosha kutegemea na hadhi ya aliyefariki na uwezo wa familia.

Huo utamaduni nikasema sasa hapo unakuta mtu kafiwa na jamaa wa mbali hafiki ofisini anatuma sms tu, ukikuta boss kama huyo si anakushangaa?
Ndio nikaona umuhimu wa kujifunza na kuelewa tamaduni za wengine.
 
Back
Top Bottom