TB Joshua kuzikwa Julai 11

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
1625560513820.png

Mwili wa TB Joshua unatarajiwa kuzikwa Mwezi huu, Nchini Nigeria

Kwa Mujibu wa ripoti kutoka Nchini Humo TB Joshua atapumzishwa kwenye Makazi yake ya Milele Siku ya Jumapili (julai 11, 2021).

Ikumbukwe TB Joshua alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 57 mwaka huu juni, 5 nchini humo.

Taratibu za mazishi zitaanza hii leo saa 12 jioni kwa saa za Nigeria na kuruka live kupitia runinga ya Kanisa hilo ambayo ni Emmanuel TV.

TB Joshua ndiye mwanzilishi wa kanisa la Synagogue Church of All Nations (Scoan) na kituo cha televisheni cha Emmanuel TV ambacho amekuwa akikitumia katika mahubiri yake na kuwavutia watu wa mataifa mbalimbali.

PIA SOMA:
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake, kuna maisha mengine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu, na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
Duh, wanakaa na maiti mwezi mzima!. basi kama vipi wangemkausha tu ili wabaki nae milele.
Kuna matambiko yanaendelea muda wote huu ama!!
Mda wote huo. Walikua hawaamini ashakufa nn
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake kuna maisha mwngine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
Aisee!
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake, kuna maisha mengine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu, na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
Ahsante sana kwa maelezo mwanana. 🙏🙏
 
Yes. Nakumbuka George Tyson (ex mume) wa Monalisa alipofariki. Walimsafirisha hadi kwao Kenya, ila Monalisa pamoja na binti yao hawakufanikiwa kumzika kwa sababu walikuwa wanazika after a week, na binti alikuwa na mtihani wa darasa la 7 hivyo ikabidi warudi Tz. Asubuhi wafiwa walikuwa wanaendelea na shughuli zao, wanakutana jioni. Mazishi kwao ni celebration, watu wanakunywa na kucheza.
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake, kuna maisha mengine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu, na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
Kwa hilo waislam 2 wagalatia 0
 
Wenzetu Magharibi wanaamini mtu akifa sio mwisho wake, kuna maisha mengine baada ya kufa. Na mazishi yao huwa ni more of a celebration, kufurahia maisha ya mpendwa wao hapa duniani na kumtakia kheri kwenye maisha yake mapya. So anapokufa wanamfanyia the so called befitting burial. Kwa hiyo lazima wachukue muda kujipanga kumfanyia hiyo sherehe, na ndiyo hapo inategema kati ya mtu na mtu (titles). Nakumbuka first time nasikia hili, kuna Nigerian Actor alikuwa anaitwa Justus Esiri alikuwa amefariki; imepita miezi miwili ndiyo nakuja kusoma eti anazikwa. Baba yake Yemi Alade na yeye alifariki January akaja kuzikwa May n.k

Hiyo befitting burial ndiyo unakuta jeneza la gharama, Aso ebi (sare, kama mnavyojua mishono ya kinigeria) + grand party. Na naonaga wanakuwa wanaimba na kucheza haswa (nawazia kilio cha wanyaki). So kwa wenzetu wakifiwa ni stress mara mbili; kwanza mmempoteza ndugu yenu, na pili ni gharama za mazishi; inakuwa kama mashindano sasa nani alizikika kifahari zaidi. Lakini kwa Northeners ambao wengi ni Muslims, mazishi yao ni chapchap kama kawaida.
Well explained..
 
Back
Top Bottom