Tb Joshua alivyonipa utajiri

Tb Joshua alivyonipa utajiri

mwenzako ndicho anachoamini na matokeo yake ndo kama alivyosema. wewe kama huamini uchape tu lapa maana unapingana na ukweli ambao umedhihirika kwake. nyie watu wa jf mna matatizo na mnapenda kufuata mkumbo unacoment kwa kuangalia kwanza mwenzako kasmamia wapi. Angetoa post ya kumponda TBJ mngemuunga mkono asilimia zote. ila hapa huwezi kujua alikuwa amewekeza kiasi gani na akaja kuongeza kiasi gani wewe unakataa tu as if unamfahamu.

Mkuu si hivyo, hatuna mgogoro na TBJ. Tumechangia kwa kadiri ya maelezo yake. Akili ya mwanadamu yeyote ina utashi wa asili wa kutambua jambo, na hata hivyo inawezekana; kila maji yana mkondo wake.
 
Huu utapeli tu, mara unasema Ulikua husimamishi uume mara utajiri,hivi kweli Jamani unaweza Kujenga nyumba kama Nyumba sio kibanda kwa miezi 3??!!! kweli??? hvi nyie mnaojiita walokole kwanini mnapoteza watu hivyo??!! Tujiulize je ulienda kwa tatizo la UUME au Utajiri???!! je hayo maji yana mahusiano gani na Mungu /Yesu??!! huu ni utapeli tu na hakika nyie mtaungua sana siku ya Mwisho...
 
Sijawahi kuona Mkurya mlongo kama wewe poti mleta mada, tena usitumie hilo jina la Chacha unatuchafua sana...
 
Nipe ushahidi wa maadiko ndugu yangu acha utapeli.... waoneeni huruma watanzania maskini kwa kuwauzia vitu visivyo kuwa na maana yeyote kama anointing water kwa dola 50 na kuwadanganya kuwa hiyo ni damu ya Yesu.
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa ...."Hosea 4:6

kitaja umesema kwel kaka, kwa uelewa wangu wa biblia miujiza watu wa Mungu wanaifanya ili kondoo waliopotea wamrudie Mungu na sio kutajirika namna hiii.... people lets wake up na tujaribu kuridhika na tulivyonavyo...... basi kila Mtu atumie annointing water alafu tuone dunia itakuaje, and why do we have to buy the water!???????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom