BABU CHONDO
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 855
- 139
TB JOSHUA ni mtumishi wa Mungu. Anointing water ni damu halisi ya YESU
We tengua kauli yako Damu halisi ya yesu kivipi?
TB JOSHUA ni mtumishi wa Mungu. Anointing water ni damu halisi ya YESU
kuwa mfuasi mzuri wa Yesu haimaanishi kuwa mambo yako yatakuwa mazuri
Ni kweli, lakini hiyo spidi aliyopanda nayo inatisha kama ni kweli maelezo yake. Itabidi watu tusitoke jasho sana maana utajiri wa Yesu wa miezi minne tu, mtu wa kawaida anaweza asiupate kwa umri wake wote, wa labda miaka hata themanini hivi!
Hata kwa chembe hunidanganyi...wizi mtupu. Naigeria wasinge imba hata huo mziki kama kina davido Maana maji ya utajiri yapo. Zama hizi ni za mwisho kabisa.
Huu ni ushirikina kama mwingine tu.....:angry:
miezi 4 inakuwa milioni 240, kitu ambacho hakiwezekani.
ndiyo maana tunasisitiza watu wampokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yao
acha upuuzi wewe
bwana akusamehe
Nilichosema ni uhakika mtupu. Sijapunguza wala kuongeza neno. Mambo ya rohoni hayapaswi kuaminiwa na watu wa mwilini. Kwahiyo sipati shida ninapoona kuna idadi kubwa ya watu wanabishia ushuhuda wangu.
Kama utakumbuka, miezi miwili iliyopita nilikuja na post juu ya kutoa shukrani kwa Yesu kwa kumtumia mtumishi wa Mungu TB Joshua kuniponya tatizo langu la uvimbe sehemu za siri ambalo lilikuwa likinifanya kushindwa kusimamisha uume wangu kwa miaka zaidi ya 4. Uponyaji wa tatizo langu ulifanyika kupitia maji maarufu ya ANOINTING WATER yanayoandaliwa na kutolewa na TB JOSHUA MINISTRIES.
Leo nataka nikushirikishe juu ya jinsi maji hayo yalivyonipa FUSSO 2, COASTER 3, NYUMBA 2, na RESTAURANT 3.
Nilianza biashara yangu miezi 4 iliyopita. Kalikuwa ni kamgahawa kadogo tu lakini kwasababu niliamini kwenye nguvu iliyomo ndani ya Yesu, sikuwa na hofu yoyote kuwa mafanikio yanakuja.
Kabla ya hapo, nilisikia shuhuda za watu mbaimbali ambao walitajirika baada yakutumia ANOINTING WATER kwa imani. Nikaamua kuyatumia haya maji kwenye biashara yangu kwa imani kubwa. Nilichokifanya ni kupuliza haya maji kwenye milango na makabati ya chakula huku nikiamrisha wateja wafurike kwenye biashara yangu kwa jina la Yesu.
Huwezi kuamini, mauzo yalibadilika kutoka shs laki 2 kwa siku hadi milioni 2. Watu wanajaa kwenye restaurant hadi nikaamua kuweka viti na meza eneo la jikoni na bafuni. Wateja wako radhi hata kula huku wamesimama au wamechuchumaa. Inapofika muda wakufunga huwa inabidi niwafukuze wateja vinginevyo tunaweza kukesha.
Ndani ya miezi 3, nimejenga nyumba 2, nimenunua coaster 3, fusso 2 na niko mbioni kufungua restaurant nyingine 2.
ASANTE YESU. ASANTE TB JOSHUA
Huu ni ushirikina kama mwingine tu.....:angry:
Bwana akusamehe
Heading yako iko vizuri kuwa TB Joshua amekupa utajiri. Umekosea hapo mwishoni ulipomtaja Yesu kwani hakuna uhusiano wa anointing water na Neema ya Bure iliyotolewa na Yesu Kristo wala haiuzwi kwa bei yeyote. Hiyo anointing water ni ibada ya sanamu na ushirikina ambayo chanzo chake ni shetani. Shetani anasema ukinisusujudia na kunitumikia nitakupa milki yote ya dunia. Yesu anasema tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na haki yake na hayo yote mtazidishiwa...hapo usimmsingizie Yesu.
TB JOSHUA ni mtumishi wa Mungu. Anointing water ni damu halisi ya YESU