Tb Joshua alivyonipa utajiri

Tb Joshua alivyonipa utajiri

TB Joshua ni mchawi tu kama wengine huko Nigeria.

Bora sisi wapagani

Tuthibitishie mkuu. Great thinker ni lazima awakashfu au awadhalilishe watu.....! Mod sijui mnafanya kazi gani nyie
 
better is not good enough best is yet to come

sty tuned mpendwa.....nikupe ushuhuda nilitoa hapa ...nilitoka kwenye kampuni moja kwa mpango wa redenders nikapata kampuni moja kule arusha lakini ikiwa arusha ..nikawa kila ijumaa napanda gari la magazeti kuja na kurudi jumapili...nikapata ajali moja na hilo gari nilipona nikamshukuru mungu ...ijumaa yake ilikuwa mwisho wa mwezi nikaandika resignation letter nikaomba wasinilipe mshahara ...nikarudi dar kuona familia yangu

nilikaa wiki nikimuuliza mungu kama ni mpango wako basi nipate kazi dar......baada ya wiki mbili jumamosi dady ...tb joshua akiwa anahubiri akasema kwenye tv viewers all over the word naona kuna watu wana shida kwenye ndoa zao pesa..na kazi...akaanza wale wenye shida na kazi ...remove your past pic put your new pic in the office...akasema tuanze kuchora niko ofisini ,,niko na secretary na wengineo nikiwaongoza...baada ya kuchora akasema tuombe tukaomba

LEO UKIFIKA NYUMBANI KWANGU KUNA PIC KAMA SANAMU NIMECHORA MTU YUKO OFISINI NA SECR PEMBENI NIMEBANDIKA UKUTANI NI MI NA FAMILIA YANGU WANAJUA UMUHIMU WA ILE PIC

aikuwa kiini machompendwa baada ya wiki mbilinikaitwa kwenye kampuni moja nzuri tu ...kwenye interview baada ya hapo nikiwa kwenye interview nikakumbuka msemo wa dady una kemea na kuamuru adui zako wote washindwe kwa jina la yesu....


Tukiwa saba ilipofika saa saba mchana tukaitwa wanasubiri hr wa kampuni husika kutoka kenya

anatua saa tisa kumbe kuna watu walikimbia job wanaingia sananee...ilipofika saa nane tukabaki 4

ilipofika saa kumi tukaambiwa tuelekee serena hotel...waliposema vile wawili wakatoa all the best jamani sisi tunawahi kazini aikuwa mapenzi ya mungu

serena tukabaki wawili...tulipofika pale...kwenye itnerview tu kutaja jina langu kila mtu anashtuka

akaanza kusema kweli wewe unatufaa mwenzangu alipoitwa..tukasubiri hukumu

baada ya dk 25 wakatuita wakasema nimechaguliwa kuwa mana..... Na mungu ambariki mana of GOD TB JOSHUA

rember better is not good enough best is yet to come

Watu tuna testimony nyingi tu..watu wanadhani TB JOSHUA ni kama wa huku kwetu waliojawa na tamaa na sio God's opinion..

Hongera sana mkuu
 
milion 2 ndani ya miezi 3 ni milioni 180 (2 mara 90 = 180)! Inawezekana vipi kwa milion 180 uweze kununua fuso 2, coasta 3 pia ujenge nyumba 2, restraurant 3? Innocent chacha hebu fafanua vizuri.
Nilivyomuelewa mtoa mada ni mpinzani mkubwa wa kile anachofanya TB Joshua na wafuasi wake.Soma tena vizuri kisha tafakari,utajua yupo upande upi.
 
Last edited by a moderator:
better is not good enough best is yet to come

sty tuned mpendwa.....nikupe ushuhuda nilitoa hapa ...nilitoka kwenye kampuni moja kwa mpango wa redenders nikapata kampuni moja kule arusha lakini ikiwa arusha ..nikawa kila ijumaa napanda gari la magazeti kuja na kurudi jumapili...nikapata ajali moja na hilo gari nilipona nikamshukuru mungu ...ijumaa yake ilikuwa mwisho wa mwezi nikaandika resignation letter nikaomba wasinilipe mshahara ...nikarudi dar kuona familia yangu

nilikaa wiki nikimuuliza mungu kama ni mpango wako basi nipate kazi dar......baada ya wiki mbili jumamosi dady ...tb joshua akiwa anahubiri akasema kwenye tv viewers all over the word naona kuna watu wana shida kwenye ndoa zao pesa..na kazi...akaanza wale wenye shida na kazi ...remove your past pic put your new pic in the office...akasema tuanze kuchora niko ofisini ,,niko na secretary na wengineo nikiwaongoza...baada ya kuchora akasema tuombe tukaomba

LEO UKIFIKA NYUMBANI KWANGU KUNA PIC KAMA SANAMU NIMECHORA MTU YUKO OFISINI NA SECR PEMBENI NIMEBANDIKA UKUTANI NI MI NA FAMILIA YANGU WANAJUA UMUHIMU WA ILE PIC

aikuwa kiini machompendwa baada ya wiki mbilinikaitwa kwenye kampuni moja nzuri tu ...kwenye interview baada ya hapo nikiwa kwenye interview nikakumbuka msemo wa dady una kemea na kuamuru adui zako wote washindwe kwa jina la yesu....


Tukiwa saba ilipofika saa saba mchana tukaitwa wanasubiri hr wa kampuni husika kutoka kenya

anatua saa tisa kumbe kuna watu walikimbia job wanaingia sananee...ilipofika saa nane tukabaki 4

ilipofika saa kumi tukaambiwa tuelekee serena hotel...waliposema vile wawili wakatoa all the best jamani sisi tunawahi kazini aikuwa mapenzi ya mungu

serena tukabaki wawili...tulipofika pale...kwenye itnerview tu kutaja jina langu kila mtu anashtuka

akaanza kusema kweli wewe unatufaa mwenzangu alipoitwa..tukasubiri hukumu

baada ya dk 25 wakatuita wakasema nimechaguliwa kuwa mana..... Na mungu ambariki mana of GOD TB JOSHUA

rember better is not good enough best is yet to come

Mambo za tb Joshua hzo duuu
 
tobaaaa,kama ni damu ya yesu ingeitwa blood of jesus,ushasema alikupa maji yaitwayo anointing water. acha kujiuma uma huo ni ushirikina.

yesu alikufa msalabani miaka takriban 2000 iliyopita,leo umegaiwa damu yake inform of water.

Haya nayo yapaswa kuwa kivutio cha utalii tz

Teh teh...! Damu ilibaki kidogo TBJ akadilute na maji ili itoshe kunyweshwa Zombiz wote...!
Hadi huruma!
 
Kama utakumbuka, miezi miwili iliyopita nilikuja na post juu ya kutoa shukrani kwa Yesu kwa kumtumia mtumishi wa Mungu TB Joshua kuniponya tatizo langu la uvimbe sehemu za siri ambalo lilikuwa likinifanya kushindwa kusimamisha uume wangu kwa miaka zaidi ya 4. Uponyaji wa tatizo langu ulifanyika kupitia maji maarufu ya ANOINTING WATER yanayoandaliwa na kutolewa na TB JOSHUA MINISTRIES.

Leo nataka nikushirikishe juu ya jinsi maji hayo yalivyonipa FUSSO 2, COASTER 3, NYUMBA 2, na RESTAURANT 3.

Nilianza biashara yangu miezi 4 iliyopita. Kalikuwa ni kamgahawa kadogo tu lakini kwasababu niliamini kwenye nguvu iliyomo ndani ya Yesu, sikuwa na hofu yoyote kuwa mafanikio yanakuja.

Kabla ya hapo, nilisikia shuhuda za watu mbaimbali ambao walitajirika baada yakutumia ANOINTING WATER kwa imani. Nikaamua kuyatumia haya maji kwenye biashara yangu kwa imani kubwa. Nilichokifanya ni kupuliza haya maji kwenye milango na makabati ya chakula huku nikiamrisha wateja wafurike kwenye biashara yangu kwa jina la Yesu.

Huwezi kuamini, mauzo yalibadilika kutoka shs laki 2 kwa siku hadi milioni 2. Watu wanajaa kwenye restaurant hadi nikaamua kuweka viti na meza eneo la jikoni na bafuni. Wateja wako radhi hata kula huku wamesimama au wamechuchumaa. Inapofika muda wakufunga huwa inabidi niwafukuze wateja vinginevyo tunaweza kukesha.

Ndani ya miezi 3, nimejenga nyumba 2, nimenunua coaster 3, fusso 2 na niko mbioni kufungua restaurant nyingine 2.

ASANTE YESU. ASANTE TB JOSHUA

Kama ujatuadaa nasema Yesu mkubwa,ila kama vinginevyo waogo na wazinzi sehemu yao ni katika shimo la moto.
 
Ivi watu, lini tutaacha upuuzi? Lini tutajielewa?

Ivi wachungaji wangekua na uwezo huo kungeanzishwa hospitali kweli???????

Huyo Yesu ameshakufa, aliebaki ni Mungu, kwanini mnadai nguvu za mfu na kuzitukuza kuliko hata alivyokuwa hai?

Kama yeye muokozi kwanini alishindwa kujiokoa mwenyewe msalabani pale?????
:think: :think: :think:

Soma biblia kaka acha upotoshaji
 
Miezi 3, unasema unaingiza ghafla million mbili kwa siku, 3 X 30 X 2,000,000 = 180,000,000

Fuso moja mtumba ni Million 300, kama unabisha Muulize Mbowe wa Chadema au wafuasi wake , wewe si mmoja wapo?

Sasa hapo chalii hata fuso moja hazitimii hizo hesabu zako. Kajipange upya.

Ukiniambia kazi yako ni jambazi ntakubali, unaweza ingiza hata zaidi ya hivyo kwa ujambazi.

Wajinga ndio waliwao.

Sorry kwa kukuita akili mgando unayewaza kwa kutumia pua,ubongo huko tumboni,usipende kuchanganya mambo.ya mbowe ni full na vyombo vya kazi.ie speaker,generator nk.
 
Annointing Water ni Bure kama unasikiliza Emmanuel TV. Na kuna Tangazo linalojirudiarudia Mara kwa Mara likisisitizia kuwa "Annointing Water hupatikana Bure"
 
acheni ujinga TB.J ni mtumishi wa MUNGU think big peoples but kwa habari ya anoiting water siyaamini kabisa coz kuna mtu alipewa hakupona but alienda NGURUMO YA UPAKO akapona saa ile ile na ilitokea infront of my own eyes
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom