Mwadunda
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,058
- 1,775
TB Joshua ni mchawi tu kama wengine huko Nigeria.
Bora sisi wapagani
Tuthibitishie mkuu. Great thinker ni lazima awakashfu au awadhalilishe watu.....! Mod sijui mnafanya kazi gani nyie
TB Joshua ni mchawi tu kama wengine huko Nigeria.
Bora sisi wapagani
better is not good enough best is yet to come
sty tuned mpendwa.....nikupe ushuhuda nilitoa hapa ...nilitoka kwenye kampuni moja kwa mpango wa redenders nikapata kampuni moja kule arusha lakini ikiwa arusha ..nikawa kila ijumaa napanda gari la magazeti kuja na kurudi jumapili...nikapata ajali moja na hilo gari nilipona nikamshukuru mungu ...ijumaa yake ilikuwa mwisho wa mwezi nikaandika resignation letter nikaomba wasinilipe mshahara ...nikarudi dar kuona familia yangu
nilikaa wiki nikimuuliza mungu kama ni mpango wako basi nipate kazi dar......baada ya wiki mbili jumamosi dady ...tb joshua akiwa anahubiri akasema kwenye tv viewers all over the word naona kuna watu wana shida kwenye ndoa zao pesa..na kazi...akaanza wale wenye shida na kazi ...remove your past pic put your new pic in the office...akasema tuanze kuchora niko ofisini ,,niko na secretary na wengineo nikiwaongoza...baada ya kuchora akasema tuombe tukaomba
LEO UKIFIKA NYUMBANI KWANGU KUNA PIC KAMA SANAMU NIMECHORA MTU YUKO OFISINI NA SECR PEMBENI NIMEBANDIKA UKUTANI NI MI NA FAMILIA YANGU WANAJUA UMUHIMU WA ILE PIC
aikuwa kiini machompendwa baada ya wiki mbilinikaitwa kwenye kampuni moja nzuri tu ...kwenye interview baada ya hapo nikiwa kwenye interview nikakumbuka msemo wa dady una kemea na kuamuru adui zako wote washindwe kwa jina la yesu....
Tukiwa saba ilipofika saa saba mchana tukaitwa wanasubiri hr wa kampuni husika kutoka kenya
anatua saa tisa kumbe kuna watu walikimbia job wanaingia sananee...ilipofika saa nane tukabaki 4
ilipofika saa kumi tukaambiwa tuelekee serena hotel...waliposema vile wawili wakatoa all the best jamani sisi tunawahi kazini aikuwa mapenzi ya mungu
serena tukabaki wawili...tulipofika pale...kwenye itnerview tu kutaja jina langu kila mtu anashtuka
akaanza kusema kweli wewe unatufaa mwenzangu alipoitwa..tukasubiri hukumu
baada ya dk 25 wakatuita wakasema nimechaguliwa kuwa mana..... Na mungu ambariki mana of GOD TB JOSHUA
rember better is not good enough best is yet to come
Nilivyomuelewa mtoa mada ni mpinzani mkubwa wa kile anachofanya TB Joshua na wafuasi wake.Soma tena vizuri kisha tafakari,utajua yupo upande upi.
Tatizo ni umaskini wa akili na roho. Unadhani wote ni maskini wa akili kama wewe? Tuambie na kodi unalipa shilingi ngapi?
Tuthibitishie mkuu. Great thinker ni lazima awakashfu au awadhalilishe watu.....! Mod sijui mnafanya kazi gani nyie
better is not good enough best is yet to come
sty tuned mpendwa.....nikupe ushuhuda nilitoa hapa ...nilitoka kwenye kampuni moja kwa mpango wa redenders nikapata kampuni moja kule arusha lakini ikiwa arusha ..nikawa kila ijumaa napanda gari la magazeti kuja na kurudi jumapili...nikapata ajali moja na hilo gari nilipona nikamshukuru mungu ...ijumaa yake ilikuwa mwisho wa mwezi nikaandika resignation letter nikaomba wasinilipe mshahara ...nikarudi dar kuona familia yangu
nilikaa wiki nikimuuliza mungu kama ni mpango wako basi nipate kazi dar......baada ya wiki mbili jumamosi dady ...tb joshua akiwa anahubiri akasema kwenye tv viewers all over the word naona kuna watu wana shida kwenye ndoa zao pesa..na kazi...akaanza wale wenye shida na kazi ...remove your past pic put your new pic in the office...akasema tuanze kuchora niko ofisini ,,niko na secretary na wengineo nikiwaongoza...baada ya kuchora akasema tuombe tukaomba
LEO UKIFIKA NYUMBANI KWANGU KUNA PIC KAMA SANAMU NIMECHORA MTU YUKO OFISINI NA SECR PEMBENI NIMEBANDIKA UKUTANI NI MI NA FAMILIA YANGU WANAJUA UMUHIMU WA ILE PIC
aikuwa kiini machompendwa baada ya wiki mbilinikaitwa kwenye kampuni moja nzuri tu ...kwenye interview baada ya hapo nikiwa kwenye interview nikakumbuka msemo wa dady una kemea na kuamuru adui zako wote washindwe kwa jina la yesu....
Tukiwa saba ilipofika saa saba mchana tukaitwa wanasubiri hr wa kampuni husika kutoka kenya
anatua saa tisa kumbe kuna watu walikimbia job wanaingia sananee...ilipofika saa nane tukabaki 4
ilipofika saa kumi tukaambiwa tuelekee serena hotel...waliposema vile wawili wakatoa all the best jamani sisi tunawahi kazini aikuwa mapenzi ya mungu
serena tukabaki wawili...tulipofika pale...kwenye itnerview tu kutaja jina langu kila mtu anashtuka
akaanza kusema kweli wewe unatufaa mwenzangu alipoitwa..tukasubiri hukumu
baada ya dk 25 wakatuita wakasema nimechaguliwa kuwa mana..... Na mungu ambariki mana of GOD TB JOSHUA
rember better is not good enough best is yet to come
Hii mada yako imeileta sehemu isiyo sahihi. Usirudie tena.
tobaaaa,kama ni damu ya yesu ingeitwa blood of jesus,ushasema alikupa maji yaitwayo anointing water. acha kujiuma uma huo ni ushirikina.
yesu alikufa msalabani miaka takriban 2000 iliyopita,leo umegaiwa damu yake inform of water.
Haya nayo yapaswa kuwa kivutio cha utalii tz
kodi?????
Wewe ni tapeli tu mbona husemi hizo restaurant ziko wapi?huna fuso wala kibanda,bora umestukiwa tapeli mkomavu wewe.
Kama utakumbuka, miezi miwili iliyopita nilikuja na post juu ya kutoa shukrani kwa Yesu kwa kumtumia mtumishi wa Mungu TB Joshua kuniponya tatizo langu la uvimbe sehemu za siri ambalo lilikuwa likinifanya kushindwa kusimamisha uume wangu kwa miaka zaidi ya 4. Uponyaji wa tatizo langu ulifanyika kupitia maji maarufu ya ANOINTING WATER yanayoandaliwa na kutolewa na TB JOSHUA MINISTRIES.
Leo nataka nikushirikishe juu ya jinsi maji hayo yalivyonipa FUSSO 2, COASTER 3, NYUMBA 2, na RESTAURANT 3.
Nilianza biashara yangu miezi 4 iliyopita. Kalikuwa ni kamgahawa kadogo tu lakini kwasababu niliamini kwenye nguvu iliyomo ndani ya Yesu, sikuwa na hofu yoyote kuwa mafanikio yanakuja.
Kabla ya hapo, nilisikia shuhuda za watu mbaimbali ambao walitajirika baada yakutumia ANOINTING WATER kwa imani. Nikaamua kuyatumia haya maji kwenye biashara yangu kwa imani kubwa. Nilichokifanya ni kupuliza haya maji kwenye milango na makabati ya chakula huku nikiamrisha wateja wafurike kwenye biashara yangu kwa jina la Yesu.
Huwezi kuamini, mauzo yalibadilika kutoka shs laki 2 kwa siku hadi milioni 2. Watu wanajaa kwenye restaurant hadi nikaamua kuweka viti na meza eneo la jikoni na bafuni. Wateja wako radhi hata kula huku wamesimama au wamechuchumaa. Inapofika muda wakufunga huwa inabidi niwafukuze wateja vinginevyo tunaweza kukesha.
Ndani ya miezi 3, nimejenga nyumba 2, nimenunua coaster 3, fusso 2 na niko mbioni kufungua restaurant nyingine 2.
ASANTE YESU. ASANTE TB JOSHUA
TB JOSHUA ni mtumishi wa Mungu. Anointing water ni damu halisi ya YESU
Ivi watu, lini tutaacha upuuzi? Lini tutajielewa?
Ivi wachungaji wangekua na uwezo huo kungeanzishwa hospitali kweli???????
Huyo Yesu ameshakufa, aliebaki ni Mungu, kwanini mnadai nguvu za mfu na kuzitukuza kuliko hata alivyokuwa hai?
Kama yeye muokozi kwanini alishindwa kujiokoa mwenyewe msalabani pale?????
:think: :think: :think:
Miezi 3, unasema unaingiza ghafla million mbili kwa siku, 3 X 30 X 2,000,000 = 180,000,000
Fuso moja mtumba ni Million 300, kama unabisha Muulize Mbowe wa Chadema au wafuasi wake , wewe si mmoja wapo?
Sasa hapo chalii hata fuso moja hazitimii hizo hesabu zako. Kajipange upya.
Ukiniambia kazi yako ni jambazi ntakubali, unaweza ingiza hata zaidi ya hivyo kwa ujambazi.
Wajinga ndio waliwao.
\\\\\\\\\\\\\\\\\\miezi 4 inakuwa milioni 240, kitu ambacho hakiwezekani.
Soma biblia kaka acha upotoshaji