Beijing, China
RAIS HICHILEMA AIPIGIA CHAPUO TAZARA IKARABATIWE HARAKA
Shirika la Reli la Tanzania na Zambia TAZARA lawa agenda kubwa mezani wakati wa ziara ya rais wa Zambia.
Ambapo mbali ya kusaini mikataba kadhaa ya makubaliano ya MoU, suala la reli hii muhimu kwa bandari ya Dar es Salaam na usafirishaji mizigo toka bandarini Dar es Salaan kwenda Zambia na kutoka ukanda wa copper belt na dunia kupitia bandari ya Tanzania lilizungumzwa kwa uzito mkubwa kuwa mataifa ya Tanzania, Zambia na China yanakuja na mkakati thabiti mradi wa ukarabati na uendeshaji wa kisasa unaafikiwa na kuanza mara moja.
Source : ZNBC News
14 September 2023
Beijing, China
He says the revival of the TAZARA Railway will ensure Zambia is linked to markets, which is important for economic growth.President HICHILEMA was speaking when he held a meeting with the Group Chairman WANG JIANPING of China Railway Construction Company in Beijing China.
Source: ZNBC Today
RAIS HICHILEMA AIPIGIA CHAPUO TAZARA IKARABATIWE HARAKA
Shirika la Reli la Tanzania na Zambia TAZARA lawa agenda kubwa mezani wakati wa ziara ya rais wa Zambia.
Ambapo mbali ya kusaini mikataba kadhaa ya makubaliano ya MoU, suala la reli hii muhimu kwa bandari ya Dar es Salaam na usafirishaji mizigo toka bandarini Dar es Salaan kwenda Zambia na kutoka ukanda wa copper belt na dunia kupitia bandari ya Tanzania lilizungumzwa kwa uzito mkubwa kuwa mataifa ya Tanzania, Zambia na China yanakuja na mkakati thabiti mradi wa ukarabati na uendeshaji wa kisasa unaafikiwa na kuanza mara moja.
Source : ZNBC News
14 September 2023
Beijing, China
President HICHILEMA calls for TAZARA rehab.
President HAKAINDE HICHILEMA has called for the full rehabilitation and revival of Tanzania-Zambia Railway line -TAZARA-.President HICHILEMA says there is need to work on the integrity of the railway line to enhance speed and movement of people and goods.He says the revival of the TAZARA Railway will ensure Zambia is linked to markets, which is important for economic growth.He says the revival of the TAZARA Railway will ensure Zambia is linked to markets, which is important for economic growth.President HICHILEMA was speaking when he held a meeting with the Group Chairman WANG JIANPING of China Railway Construction Company in Beijing China.
Source: ZNBC Today