Tazama Diamond Platnumz akiandika wimbo wa Pawa alioimba Mbosso

Tazama Diamond Platnumz akiandika wimbo wa Pawa alioimba Mbosso

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,679
Reaction score
9,839

View: https://www.instagram.com/reel/DNKynyksZuT/?igsh=MXZ2Ym0zcGh1MDNjdQ==

Kuna wakati nilieleza kuhusu Diamond Platnumz kuandika hitsong ya Pawa ambayo imeimbwa na Mbosso nilioga matusi hapa.

Sasa kuna receipt hapa imepostiwa kwenye ukurasa wa Instagram wa media namba moja Tanzania.

Wasanii wasio na shukrani uwa hawasurvive muda mrefu kwenye game. Mbosso shukuru kwa mchango huu wa Diamond Platnumz.
 
Kwani kuna tofauti yoyote ya kilichofanyika hapo na session zingine za studio

Kwa mbele huyo ni Co-Writer
 
Kwani kuna tofauti yoyote ya kilichofanyika hapo na session zingine za studio

Kwa mbele huyo ni Co-Writer
Mbosso alikataa kuwa ajaandikiwa huu wimbo. Na akaleta dharau.
 
Yaani hawa mbwa wana kera sana kwa hiyo wanavyo dhani hakuna nyimbo huyo boss wao alio saidiwa au wanataka watu watoleane siri.
Yan mondi ndo zake usikute kawatuma wamuharibie dogo, kaona anakuwa wa moto halafu kamuachia bure 🤣🤣
 
Yan mondi ndo zake usikute kawatuma wamuharibie dogo, kaona anakuwa wa moto halafu kamuachia bure 🤣🤣
Yeah na hajamuachia Bure , Yule hawezi kumuachia mtu Bure Ile ni propaganda tu ,

Yule kamtoza pesa kibao hakutaraji kama dogo atalipa 🤣🤣

So kumbe Mwenzie alikuwa ameshajipanga wakampa pesa zake then dogo akasepa , Hapo ndio Jamaa akamind kaona dogo kamvimbia
 
Yaani wanatumia uchawa vibaya sio kila anayetoka kwenye iyo Lebo awe adui kwao.
Tatizo ni la Domo mwenyewe ana roho mbaya ila hupenda aonekane kuwa Yuko decent that's why Ali k hataki ushkaji Nae maana alikuwa anamfanyia fitna sana kama hizo ili Ali k apotee , Anamtindo mpaka wa kuhonga watangazaji na media au djs wasipige nyimbo za mtu ambaye hataki kumuona aki-shine

Hiyo tabia alijifunza Kwa ruge Babu tale na Said fella
 
Kuna msani Ana mzidi mondi kw drama
Cocainer kaishiwa kila siku drama tu...juzi mara watoto nalea watoto sio wangu...kaona stori imebuma, mara eti pawa kaiandika....wenzenu naija wanapasua anga msanii analipwa bilioni 7.5 Tsh kwa concert Moja tu..nyie mnafanya drama kiki mbuzi
 
Tatizo ni la Domo mwenyewe ana roho mbaya ila hupenda aonekane kuwa Yuko decent that's why Ali k hataki ushkaji Nae maana alikuwa anamfanyia fitna sana kama hizo ili Ali k apotee , Anamtindo mpaka wa kuhonga watangazaji na media au djs wasipige nyimbo za mtu ambaye hataki kumuona aki-shine

Hiyo tabia alijifunza Kwa ruge Babu tale na Said fella
Kama ni hivyo mbona Diamond anaonesha kwenye Dunia hana shida na Mbosso,kama usemayo ni kweli huyo kijana wa Tandale nae ni mwehu.Mbosso anaonekana si mtu wa shari na ni mtiifu kwa boss.
 
Si aimbe ya kwake mbagala, mke wa didy mbona msumbufu sana?? 😹
 
Mbosso alikataa kuwa ajaandikiwa huu wimbo. Na akaleta dharau.
usipotoshe mkuu…alijitokeza b levo akisema 50% ya pawa imeandikwa na diamond…mbosso akahojiwa kama ni kweli..? akasema kama ni b levo kasema hawez mjibu labda angesema diamond mwenyewe..
 
Cocainer kaishiwa kila siku drama tu...juzi mara watoto nalea watoto sio wangu...kaona stori imebuma, mara eti pawa kaiandika....wenzenu naija wanapasua anga msanii analipwa bilioni 7.5 Tsh kwa concert Moja tu..nyie mnafanya drama kiki mbuzi
Wanaferi
 
Back
Top Bottom