exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Katika wimbo wake wa (Mnyama) Alikiba ametumia mistari kazaa kumchana Diamond Platnumz
UCHAMBUZI WA MSITARI HUO
Unamjua simba mnyama? mnyama.
Sio yule wa insta mnyama... mnyama...
Huyo ni utopolo mnyama....mnyama...
Hapa ni wazi kamtaja diamond lakini kwa maoni yangu Alikiba hakukua na haja ya dongo hilo kwa msanii mwenzie kutokana na wimbo wenyewe unahusiana na nini
Wimbo ni mzuri lakini umeharibiwa na ka mstari hako tu
Yuda exalioth
jamiiforums
Geita Lulembela
UCHAMBUZI WA MSITARI HUO
Unamjua simba mnyama? mnyama.
Sio yule wa insta mnyama... mnyama...
Huyo ni utopolo mnyama....mnyama...
Hapa ni wazi kamtaja diamond lakini kwa maoni yangu Alikiba hakukua na haja ya dongo hilo kwa msanii mwenzie kutokana na wimbo wenyewe unahusiana na nini
Wimbo ni mzuri lakini umeharibiwa na ka mstari hako tu
Yuda exalioth
jamiiforums
Geita Lulembela