Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,642
HAPA ANAFANYA ufunguzi wa jengo la Bodi ya mapato Zanzibar
hapa ni ufunguzi wa jengo kwa ajili ya wataalamu wa afya kutoka nje ya nchiKWA UPANDE WA PILI
MH Dr kikwete na waombolezaji wengine wakiusubiri mwili wa marehemu Aziz SHEWEEN
hapa mh akihudhuria makusanyiko mengine ya mazishiMAONI YANGUHaya yote yanayofanywa na viongozi wetu ni mazuri,ni vyema but deep inside naamin mh Dr Kikwete he is way to much with that,naamin hata Zanzibar kuna misiba mingi tu ya muhimu ya kuhudhuria,napendekeza mh Dr kikwete ajikite zaidi katika mambo ya msingi zaidi(kuwatembelea wajane na mayatima ni vyema pia)ya kuisaidia hii nchi!Mwenyezi Mungu Ibariki Africa,Mwenyezi Mungu Ibariki Tanzania!