Tazama anachokifanya mh Dr shein na anachafanya aliyeapishwa kuwa raisi wa URT 2010

Blessed Keinerugaba

JF-Expert Member
Nov 16, 2011
4,711
4,642
HAPA ANAFANYA ufunguzi wa jengo la Bodi ya mapato Zanzibar hapa ni ufunguzi wa jengo kwa ajili ya wataalamu wa afya kutoka nje ya nchiKWA UPANDE WA PILI
az3.jpg
MH Dr kikwete na waombolezaji wengine wakiusubiri mwili wa marehemu Aziz SHEWEEN
attachment.php
hapa mh akihudhuria makusanyiko mengine ya mazishiMAONI YANGUHaya yote yanayofanywa na viongozi wetu ni mazuri,ni vyema but deep inside naamin mh Dr Kikwete he is way to much with that,naamin hata Zanzibar kuna misiba mingi tu ya muhimu ya kuhudhuria,napendekeza mh Dr kikwete ajikite zaidi katika mambo ya msingi zaidi(kuwatembelea wajane na mayatima ni vyema pia)ya kuisaidia hii nchi!Mwenyezi Mungu Ibariki Africa,Mwenyezi Mungu Ibariki Tanzania!
 
Mwaka uliopita Zanzibar wametembelewa na watalii zaidi ya 170,000... An all time record, big up to Dr Shein. Upande wa pili wameuza wanyama walio hai ili watalii wasijisumbue kuja kuwatazamia huku in future. Marais wote wawili ni Ma Dr na wanaabudu dini moja lakini mmoja ana weledi wakati mwingine ni mbabaishaji anayedhani mambo yatajiendea yenyewe huku serikali yake ikishindwa kulipa hata mishahara ya madaktari na askari kwa wakati
 
Mwaka uliopita Zanzibar wametembelewa na watalii zaidi ya 170,000... An all time record, big up to Dr Shein. Upande wa pili wameuza wanyama walio hai ili watalii wasijisumbue kuja kuwatazamia huku in future. Marais wote wawili ni Ma Dr na wanaabudu dini moja lakini mmoja ana weledi wakati mwingine ni mbabaishaji anayedhani mambo yatajiendea yenyewe huku serikali yake ikishindwa kulipa hata mishahara ya madaktari na askari kwa wakati
Hivi Kikwete (PhD-Heshima, UDOM, Uturuki) wana elimu sawa na Shein (PhD-Academic)? Aiseeee, mmenifumbua macho na akili. Nilikuwa nje ya mstari kabisa.
 
Nice analysis kwa kweli, nafikiri ni vema tukawa tunachagua watu wenye akili, he learned from a real president Mr Benjamin W. Mkapa
 
Ujinga mtupu... yaani wee katika yote umeona hakuna isipokuwa msiba wa Aziz Sheween. Weee unamjua marehemu alikuwa nani na una record zote za misiba ambayo Dr.Shein amehudhulia. Ujinga mwingine hata hauna kipimo. Upumbavu mtupu kwani kujenga jengo la mapato ndio maendeleo yanavyoyapimwa au unatakiwa kuonyesha ongezeko la mapato?
 
nitaonesha udhaifu wa hoja hii kwa faida yako na wengine wa aina yako!

Ujinga mtupu..........
udhaifu wa sentensi hii

  • hoja haiwi dhaifu(ujinga mtupu kama ulivyosema) kirahisi tu kwasababu yaliyoandikwa huyapendi,
  • kweli ungekuwa ni ujinga kama unavyotaka kuaminiwa mtu makini kama wewe(siamini kama wewe ni mtu makini)usingepoteya muda kuusoma na zaidi ya yote kuujibu,maana ni wazi kujibu ujinga utaandika ujinga zaidi na kama unatumia muda wako wa thamani kuandika ujinga ulimwengu huu hauwezi kukuhitaji
yaani wee katika yote umeona hakuna isipokuwa msiba wa Aziz Sheween.
udhaifu wa sentensi hii

  • nimeandika mengi pitia nyuzi mbalimbalia uthor gilo24.
  • si dhumuni la hoja hii kuuangalia msiba wa Ndg A Sheween individually hapana ndg yangu na hamna ubaya mtu kuwafARIJI WAJANE na mayatima ina thawabu mbinguni,lakini ni ipi busara zaidi kila siku kuhudhuria misiba (maana misiba haijaanza jana na haishi kesho)wakati nchi imekosa majibu kwa mfumuko wabei unaozidi kupanda,rushwa kukithiri,wahanga wa mafuriko mabondeni,baadhi ya wabunge wahuni walioenda bungeni kufanya bunge kitega uchumi,hay ni baadhi tu mengi unayajua
Weee unamjua marehemu alikuwa nani na una record zote za misiba ambayo Dr.Shein amehudhulia.


udhaifu wa hoja hii
  • ni kweli si mjui Bwn A SHeween,na naamin ni busara zaidi kutomoungelea MAREHEMU,tuMWACHE apumzike kwa amani.
  • kwa mju marehemu yeyote ni kwa faida ya nani
  • sikusema Mh Dr Shein ahudhurii misiba,lakini naamini mh KIkwete is giving it too much,ukiwana baba kwaenye nyumba ambaye anajua tu kuwabembeleaza watoto wanapopota shida bila kuwapatia mahitaji mengine we si baba wa maana
Ujinga mwingine hata hauna kipimo. Upumbavu mtupu
udhaifu wa hoja hii

  • hadi sasa haujauoneasha ujinga wa hoja hii lakini kwa mbali umefanikiwa kuuonesha ujinga wako(kuna msemo kwamba kla mtu ni mjinga wakati fulani lakini huu uzi umesababisha ushinwdwe kucontrol ujinga huo yenye maana kwama huu uzi una kitu kikubwa zaidi ya ujinga
kwani kujenga jengo la mapato ndio maendeleo yanavyoyapimwa au unatakiwa kuonyesha ongezeko la mapato?

udhaifu wa hoja hii

  • naamini kujenga majengo ni kitu chema na kizuri sana na si kipimo pekee cha maendeleo
ushauri wangu
reply yako inaonesha una hekima sehemu fulani use it
 
hivi ile taasisi ya REDET iliyokuwa inatoa analysis za uongo ili kumpigia japuo JK, mwenyekiti wake enzi hizo, Prof Mukandara, naye uprof wake ni wa UDOM au Uturuki?

nadhani IQ level pia ya jamaa yetu ni below 40
 
nitaonesha udhaifu wa hoja hii kwa faida yako na wengine wa aina yako!



udhaifu wa hoja hii

  • naamini kujenga majengo ni kitu chema na kizuri sana na si kipimo pekee cha maendeleo
ushauri wangu
reply yako inaonesha una hekima sehemu fulani use it
Mkuu nimekusoma kama navyozisoma hoja nyinginezo. Nilikusoma hadi mweisho ili nipate kuelewa unacholenga maana sibagui mada kwa sababu zozote. Mpumbavu pekee ndio anaweza
kuita mada Ujinga ikiwa hakuisoma na kuelewa...Hivyo nimekusoma kwa sababu nilitaka nikuelewe unachozungumzia hata kama kina mapungufu..


Sina sababu ya kukusoma sehemu nyingine ikiwa nachozungumzia ni mada hii, na pengine nisome mimi pia ktk mada nyinginezo nimekupa sifa ktk maandishi yako ama bandiko sichagui mtu wala elimu ya mtu bali ujinga huzungumziwa kama ujinga wa kutoelewa na ukielilimishwa utaelimika..

Mada hii haina mantiki hata kidogo maana unatuonyesha Dr.Shein akifungua jengo halafu unamwonyesha JK akihudhulia misiba..Jamani unahitaji degree kuelewa huu ni ujinga mtupu isipokuwa kwa mtu ambaye hakupenda ulichoandika!..

I mean sikupenda kipi? wewe nambie ambacho sikukipenda nadi maana nimeona ujinga..Hee! nani kati yetu asiyehudhulia misiba nani? Umeambiwa Dr.Shein hafiki misabani au JK hafungui majengo maana hata haieleweki unachojaribu kusema hapa..

Mkuu nazijua sifa nyingi za dr.Shein kama kiongozi lakini sii vitu ulivyoweka hapa ktk picha havielezi chochote ktk ufanisi wa utendaji kazi.. Hakuna!
 
Ujinga mtupu... yaani wee katika yote umeona hakuna isipokuwa msiba wa Aziz Sheween. Weee unamjua marehemu alikuwa nani na una record zote za misiba ambayo Dr.Shein amehudhulia. Ujinga mwingine hata hauna kipimo. Upumbavu mtupu kwani kujenga jengo la mapato ndio maendeleo yanavyoyapimwa au unatakiwa kuonyesha ongezeko la mapato?

Jazba hazijibu hoja. Huyu bwana ametoa mawazo yake kwa namna anavyofikiri yeye. Na kama unaona ni ujinga, acha nijijumuishe katika huo ujinga. Sidhani kama ni sahihi kwa mkeo kushabikia misiba kiasi akasahau kuwashushia chandarua wanao wakaugua malaria na wao wakafa. Hakuna asiyejua kufiwa, lkn this is too much. Kila msiba na bethdei hakosekani!

Hilo ongezeko la mapato unalioneshea uwanjani pale Manzese - Bakhresa au? Hilo jengo ni kitega uchumi, kwa hiyo ni maendeleo pia. Suala la marehemu alikuwa nani ndio ujinga. Kuwa kwake nani hakuhalalishi matumizi ya muda kwenye misiba zaidi ya shughuli za maendeleo. Karibu JF, jukwaa la wasio na jazba wala chuki. Ni vipande kwenda mbele. Ukiona ngumu kumeza, tema.
 
Si kweli kwamba kuhudhuria misiba si jambo la busara!Vilevile ufunguzi wa miradi si lazima ufanywe na raisi!
Sijaona mantiki ya hoja yako!
 
Mkuu nimekusoma kama navyozisoma hoja nyinginezo.......hili ndo kosa kubwa umefanya na unaendelea kufanya huu uzi si kama huzi mwingine tu ,Nilikusoma hadi mweisho ...........hukupuswa kumsoma mtu unapaswa kusoma hoja ili nipate kuelewa unacholenga maana sibagui mada kwa sababu zozote. Mpumbavu pekee ndio anaweza
kuita mada Ujinga ikiwa hakuisoma na kuelewa...Hivyo nimekusoma kwa sababu nilitaka nikuelewe unachozungumzia hata kama kina mapungufu..


Sina sababu ya kukusoma sehemu nyingine ikiwa nachozungumzia ni mada hii, na pengine nisome mimi ...........sina tabia ya kuwasoma watu nasoma hoja za watu pia ktk mada nyinginezo nimekupa sifa ktk maandishi yako ama bandiko sichagui mtu wala elimu ya mtu bali ujinga huzungumziwa kama ujinga wa kutoelewa na ukielilimishwa utaelimika..ulikosea kujib hoja nzito kabla ya kuondoa ujinga wako ktk hoja husika

Mada hii haina mantiki hata kidogo maana unatuonyesha Dr.Shein akifungua jengo halafu unamwonyesha JK akihudhulia misiba..Jamani unahitaji degree kuelewa huu ni ujinga mtupu isipokuwa kwa mtu ambaye hakupenda ulichoandika!..sure unahitaji degree tena zile za kupewa ambazo hu deserve ili uandike uliloandika

I mean sikupenda kipi? wewe nambie ambacho sikukipenda nadi maana nimeona ujinga..Hee! nani kati yetu asiyehudhulia misiba nani? Umeambiwa Dr.Shein hafiki misabani au JK hafungui majengo maana hata haieleweki unachojaribu kusema hapa..

Mkuu nazijua sifa nyingi za dr.Shein kama kiongozi lakini sii vitu ulivyoweka hapa ktk picha havielezi chochote ktk ufanisi wa utendaji kazi.. Hakuna!
hujaweza kuona sababu hukujiandaa kuona sasa huu uzi utazidi kuwemo humu siku utakapoamua kuona uje na utaona

dont let yourself to be this cheap we una thamani zaidi ya hiki unachoonesha
 
Kwa sababa anatawala marehemu lazima afurahie misiba,huo ni ushauri aliyopewa na Sheikh Yahaya marehemu.
 
hebu tuache kupotosha jamii.si kweli kwamba kiongozi akihudhuria msiba ndo anapoteza muda wa kazi na si kweli kwamba anapoteza muda badala ya kufanya kazi za maendeleo.rais anafanya kazi kwa ratiba na kwa kuthamini michango ya wananchi wote ndio maana anakuwa karibu nao wakati wa raha na shida.sisi huku kila mkoa una jengo la TRA wewe ulieona kufungua hilo jengo leo ni dili sana,kwa taarifa yako serikali ya tanzania ilishaliona hilo miaka 20 iliyopita.kikwete ni mtu wa watu haachi kushiriki kwenye matatizo ya watu wake kwa sababu ya chuki na husuda zenu.
 
Kwa sababa anatawala marehemu lazima afurahie misiba,huo ni ushauri aliyopewa na Sheikh Yahaya marehemu.

marehemu ni wewe na mke wako,watanzania sio marehemu tunamshukuru mungu kwa kutujalia uzima tunaendelea kuishi ispokuwa wewe usiye na shukrani lau ya huo uhai alokupa mungu.
 
Nice analysis kwa kweli, nafikiri ni vema tukawa tunachagua watu wenye akili, he learned from a real president Mr Benjamin W. Mkapa
Big up saana Dr. Shein..... ni rais aliyetulia na anayefanya mambo kiakili.

Mkapa? huyu rais mwizi kuliko wote katika historia ya Tanzania..... tuondoleeni upuuzi wenu hapa!!
 
Back
Top Bottom