mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,858
- 106,100
Niliitwaga kwenye fursa 1 hivi
Ilikuwa kwenye mgahawa mmja hapo
Mlimani city,mmiliki naye alikuwa naye yuko kwenye fursa
Nkawasikilizaaaaaaaa.........kumbe mm nlikuwa nshawajua
Issue sasa ikawa nije ntoe hela
Nkawapanga kwa sasa sina hela maana nmepoteza id zangu,bank nk
Nkawqmbia mln 3 syo issue ntaitoa
Ila sasa nkamwambia mmja wao pale aniazime laki 3 niweze kuishi huku nafanya mpango wa hela zao ntarudisha pamoja na ile Mln 3
Wakanipa laki 3,ahhh nliondoka nayo mazimaaaaaa
Baada ya muda huko nyuma wakiyoweka hela nasikia maumivu tu
Kwao
Ova