Tayari Watu wameshapigwa huko!

Tayari Watu wameshapigwa huko!

Duuuh jamaa kajiamini Hadi kubadili rangi ya bendera.
JamiiForums-1203339598.jpg
 
Wabongo asilimia kubwa ni wajinga
Na bado wataendelea kupigwa
Maana hawasikiii,hawaelewi

Ova
Tatizo la wabogo wana akili fupi wanajua kufanikiwa maisha ni jambo jepesi hawajui kufanikiwa ni mchakoto mrefu wenye misukosuko mingi.
 
Kila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!

Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
Waendelee kupigwa sana. Watanzania wanaamini shortcut. Baadhi hawataki kujibiidisha wala kujiongeza.
 
Mkuu wapigaji wenyewe wanajisifu kwamba WAJINGA hawaishi maana wakiisha wao watakufa NJAA.

Kama mdau anavyosema watu hawajajifunza huko nyuma kwenye DECI , Faida Investment etc hayo mambo ya 2006-2008 lakin hadi leo miaka 14 after watu wanaendelea kupigwa.
Kabisa,wapigaji wanaamini wajinga hawaishi

Ova
 
Kila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!

Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920

Aondoke na hiyo picha ya mama samia kama kumbukumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom