Tayari Watu wameshapigwa huko!

Kila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!

Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
wacha wapigwe GENTAMYCINE
 
Kila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!

Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
Katika hii video, kuna hiyo Certificate of Incorporation imeonekana, nadhani ni feki. Wenye certificate hizi mpya za tarakimu 9, angalieni saini, mlinganishe na hii ya kwenye hii video
 
Kila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!

Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
Tufanye kazi hakuna pesa rahisi hivo. Pole kwa walio pigwa.🤯
 
Hamna hela ya urahisi chini ya jua. Mungu alishasema mtakula kwa jasho, wewe ni nani hadi umpinge Mungu na kanuni zake?
Bwana Wee! Wanaamini utapata hela kwa Kuclick Mausi ya Computer. Jamaa wanafikiria kuwa na usajiri wa Brela basi sio Matapeli. Mama kwenye hii video kapigwa zaidi ya 5M na Bado watu wengine waliopanda 10M na kuendelea- ila wamewaachia viatu na Tai
 
Bwana Wee! Wanaamini utapata hela kwa Kuclick Mausi ya Computer. Jamaa wanafikiria kuwa na usajiri wa Brela basi sio Matapeli. Mama kwenye hii video kapigwa zaidi ya 5M na Bado watu wengine waliopanda 10M na kuendelea- ila wamewaachia viatu na Tai
Wabongo asilimia kubwa ni wajinga
Na bado wataendelea kupigwa
Maana hawasikiii,hawaelewi

Ova
 
Back
Top Bottom