fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,724
- 2,627
Teyari
Uhoire mbane?Tigha bhatemwe tata!!
Mb changamoto sijaicheki hadi mwisho, kwan kuna shida gani hapo kwa huyo mmama anayeonekena kuvurugwa?
KILA SIKU TUNAWAMBIA LAKINI HAWAELEWI...
wacha wapigwe GENTAMYCINEKila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!
Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
Katika hii video, kuna hiyo Certificate of Incorporation imeonekana, nadhani ni feki. Wenye certificate hizi mpya za tarakimu 9, angalieni saini, mlinganishe na hii ya kwenye hii videoKila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!
Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
Tufanye kazi hakuna pesa rahisi hivo. Pole kwa walio pigwa.🤯Kila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!
Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
braza naomba connection nimeshapigwa sana
Good morning bilioneaNmewakumbuka wale jamaa wa QNet sijui, nina jirani yangu hapa alipigwa 4M 😆😆😆 sijui kwa nini hatujifunzi
Bwana Wee! Wanaamini utapata hela kwa Kuclick Mausi ya Computer. Jamaa wanafikiria kuwa na usajiri wa Brela basi sio Matapeli. Mama kwenye hii video kapigwa zaidi ya 5M na Bado watu wengine waliopanda 10M na kuendelea- ila wamewaachia viatu na TaiHamna hela ya urahisi chini ya jua. Mungu alishasema mtakula kwa jasho, wewe ni nani hadi umpinge Mungu na kanuni zake?
Wabongo asilimia kubwa ni wajingaBwana Wee! Wanaamini utapata hela kwa Kuclick Mausi ya Computer. Jamaa wanafikiria kuwa na usajiri wa Brela basi sio Matapeli. Mama kwenye hii video kapigwa zaidi ya 5M na Bado watu wengine waliopanda 10M na kuendelea- ila wamewaachia viatu na Tai