Hiyo website yao ni feki wamekibumba bumba tuHata siwajui kiundani, Niliwagugo nikaona ni kampuni ya umeme huko ulaya. Nikaachia hapo hapo 😂
Unaweza kuwa umesoma lakini bado ni MJINGAA tena mjinga aliesoma afadhali yule mjinga wa la saba B...!!
amang'ana ghasarikileTigha bhatemwe tata!!
Mkuu ndo hiyo kampuni ishawapiga watu mamilioni wamewaachia tai na leseni feki ofisini kwaoNa ukiwaambia ni wabishi hao, jamaa yangu kanitumia link sijui scatec wale wanajiita kampuni toka Sweden sijui Norway.. Kapagawa kajiunga kapewa elfu 6, anasema akiweka pesa atakuwa anapata 15% kila wiki 😂, anataka aweke milioni awe anavuna 150k kila wiki.
Basi nimemaliza nyimbo zoote kumuelewesha nahisi ananiona kama mchawi wake kwwa sasa, hanicheki tena, mawasiliano yamepungua, nasubiri apigwe nimtafute, kama jamaa yangu wa Qnet alivyokula za uso, hadi huruma ila ukikumbukka walivyllluwa wanakuona wewe mshamba, kizingiti cha wao kutoboa, unacheka huku unasikitika, 😂
DuhMkuu ndo hiyo kampuni ishawapiga watu mamilioni wamewaachia tai na leseni feki ofisini kwao
Omonto weito.. tigha bhatemweTigha bhatemwe tata!!
instagram.com
Kwa kweli hii ni aibu hata kwa Serikali its very shame hatuko makini kabisa .Kampuni mpk inafanya mambo yote hayo Serikali haina habari sasa wangalikuwa magaidi je ?serikali inatakiwa itoe list za foreign company zilizosajiliwa ktk mtandao wao wa Serikali .Dah hii kitu mbaya sana ,jamani hakuna pesa za bure au rahisi tufanyeni kazi wacheni tamaaa tamaaa .Kila wakati watu wenye akili timamu wakijaribu kuupinga huu utapeli hapa JF watu hawaelewi wanaziba kabisa masikio!,haya sasa tayari huko watu wanalia!
Bado hao waliokuja kwa kasi ya upepo hivi sasa hapa Dar waliojaza mabango yao barabarani na kujidai wao sio matapeli,muda ni rafiki mzuri naamini vilio vitasikika.View attachment 2364920
Watu wanavutiwa maji marefu hapo, ukijichanganya umezama.Hiyo website yao ni feki wamekibumba bumba tu
Hata Hawa scatec walikuwa wa ukweli. Mwanzoni wanaanza Kama wa ukweli, mwishoni ndio wanageuka.
Kumbe yule dogo chazlee anshirikiana na matapeli
Kuna mikono ya wazito humoSasa mbona haya mambo ya DECI, Foreverliving, GNLD, Qnet ya Kigwangwallah na zinginezo tunazipigia sana kelele humu?
![]()
Scatec Tza (@scatectza) • Instagram photos and videos
432 Followers, 381 Following, 28 Posts - See Instagram photos and videos from Scatec Tza (@scatectza)instagram.com
View attachment 2365289
View attachment 2365292
Safi sanaaaSio kama wanaanza kama wakweli ,ndio strategy ya upigaji inavyokuwa ,kwanza unaweka chambo kunasa "MAZUZU" ,kuna sehemu watu walishawai kulizwa mchana kweupe.
Jamaa walikuja sehemu wakakodisha nyumba nzima wakalipia miezi mitatu ,wakaweka fenicha fresh,computer printer etc ,wakaja na issue ya kupanda mbegu baada ya wiki unavuna mara tatu yake,wakawatoa watu 6 kama chambo hivi ili kuaminisha umma.
Wale jamaa sita kweli waliweka pesa baada ya wiki wakipgwa mara tatu yake,week inayofuata wakaja watu wa kutosha kuwekeza mipunga,wengine wakaweka hadi 10m ,ndani ya week wakakusanya mtonyo tu wa kutosha aiseee ,baada ya kuona mission imekamilika WAKASEPA na KIJIJI nyuma wakaacha MAYOWE.
Safi sanaaa
Maana wajinga ni wengi na bado
Hawasikii
Ova