We unaishi wapi? kwa London hawa watu wanaeleweka na hakuna mtanzania makini atakae associate na hawa watu kwa sababu ya sifa zao, Lema alitakiwa kufanya uchunguzi kabla ya kuvamia na kujisalimisha kwa hawa jamaa, as result hakuna wanachama waliojiandikisha zaid ya wenyewe
Simply hawa jamaa wanajulikana uliza wenyeji watakuambia.
Baada ya Ndugu Godbless Lema kukosa msaada ya pesa toka kwa Meya Boris Johson wa London, aliamua kuomba misaada makanisani kwa ajili ya Chadema, Jpili ijayo, Mr. Lema anategemea kufanya harambee ya michango ya chama katika kanisa la Kiswahili pale Westminster.
Kama kawaida ya Lema na chadema, walikurupuka na kuamua kuanzisha tawi la chadema mjini London kwenye baa ya wakenya, ni baa hii ambayo Muheshimiwa Chenge aliitumia ku-sign mikataba fisadi.
Tawi hili la Chadema nimefunguliwa na watu wasio zidi 15 pamoja na ndugu zak, na limefanikiwa kuandikisha wanachama 3 pekee.
Wengi walio hudhuria na kuliongoza tawi hilo ni wauza unga wanaojulikana na MI5 na walevi mashuhuri hapa London walio na kawaida ya kukesha kwenye baa hiyo
Lema na Chama chake, walishindwa kabisa kuwashawishi wasomi na watanzaia makini waliopo London- INASIKITISHA!!!
Kashafungua matawi saba aliyotangaza atafungua Uingereza?
Kashakutana na Meya wa London kama alivyosema?
Baada ya Ndugu Godbless Lema kukosa msaada ya pesa toka kwa Meya Boris Johson wa London, aliamua kuomba misaada makanisani kwa ajili ya Chadema, Jpili ijayo, Mr. Lema anategemea kufanya harambee ya michango ya chama katika kanisa la Kiswahili pale Westminster.
Kama kawaida ya Lema na chadema, walikurupuka na kuamua kuanzisha tawi la chadema mjini London kwenye baa ya wakenya, ni baa hii ambayo Muheshimiwa Chenge aliitumia ku-sign mikataba fisadi.
Tawi hili la Chadema nimefunguliwa na watu wasio zidi 15 pamoja na ndugu zak, na limefanikiwa kuandikisha wanachama 3 pekee.
Wengi walio hudhuria na kuliongoza tawi hilo ni wauza unga wanaojulikana na MI5 na walevi mashuhuri hapa London walio na kawaida ya kukesha kwenye baa hiyo
Lema na Chama chake, walishindwa kabisa kuwashawishi wasomi na watanzaia makini waliopo London- INASIKITISHA!!!
Baada ya Ndugu Godbless Lema kukosa msaada ya pesa toka kwa Meya Boris Johson wa London, aliamua kuomba misaada makanisani kwa ajili ya Chadema, Jpili ijayo, Mr. Lema anategemea kufanya harambee ya michango ya chama katika kanisa la Kiswahili pale Westminster.
Kama kawaida ya Lema na chadema, walikurupuka na kuamua kuanzisha tawi la chadema mjini London kwenye baa ya wakenya, ni baa hii ambayo Muheshimiwa Chenge aliitumia ku-sign mikataba fisadi.
Tawi hili la Chadema nimefunguliwa na watu wasio zidi 15 pamoja na ndugu zak, na limefanikiwa kuandikisha wanachama 3 pekee.
Wengi walio hudhuria na kuliongoza tawi hilo ni wauza unga wanaojulikana na MI5 na walevi mashuhuri hapa London walio na kawaida ya kukesha kwenye baa hiyo
Lema na Chama chake, walishindwa kabisa kuwashawishi wasomi na watanzaia makini waliopo London- INASIKITISHA!!!
Hapa jinsi unavyoonyesha kuwa ni mfuatiliaji wa kila hatua inayopigwa na Chadema, ungekuwa unatumia muda huo kufuatilia kila hatua inayopigwa na makampuni ya uchimbaji madini hapa Tanzania, hakika tusingeibiwa hata kilo moja ya dhahabu yetu.
Ufuatiliaji huu ungeuelekeza kwenye shughuli zinazofanywa na mafisadi, hakika Tanzania ingekuwa tajiri sana maana hakuna ambaye angejaribu kuiba pesa za umma.
Lakini, kama kawaida, ufuatiliaji unaelekezwa kufuatilia wauza unga wa London, na kujua kama wamejiunga na Chadema.
We uko london au ndo magamba?unatititiw
yote tisa,kumi?2015 tunawaaga,jasho itawatoka mpk kwenye menoooo!