- Thread starter
- #61
Wanangu mnachosema ni ukweli au propaganda za kisanii za kibongo? Haiwezekani watu wauze unga London waendelee kutanua. Jaribu kutofautisha wauza unga wa kwenu wanaokula na polisi. Sijaona hoja yenye mashiko ya kunishawishi kukubaliana na mtoa hoja zaidi ya kuona propaganda za kichovu. Tupeni ushahidi tuweze kuamua sisi ni watu wazima wenye akili timamu.
Mkuu; Baadhi ya organiser walishawai kufungwa, kwa taarifa yako, we kaa usubiri ushahidi hapa jf! Lema analijua lakini yeye na chadema shida yao ni kuchangisha 5Billion bila kujali zinatoka wapi, alianza kuchangisha makanisani London baada ya kunyimwa msaada na meya wa London.