Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Kuna mvuje hii sana wanatumiwa kuwafunga watoto wadogi mkononi kama saa utaona kafungwa kitambaa cheusi na ndani mna kama kijiwe ile ni mvuje
Pia kwa ushauri wale wanaoibiwa pesa kwa mazingira ya ajabu ndani ya droo umeuza hela haionekani kanunue mvuje sio ya unga chukua ya vijiwe weka ndani ya droo hela haitatoka
Duh. Mbaula linaelekezwa mtaroni Sasa.
 
Sawa ustadh ila la msingi ni kuwapa mawaidha kuwa mbuzi atafute mbuzi mwenziwe na ole wake mbuzi akaoa tembo ndio matokeo ya kutafuta hizo haltiti kukuza mbuzi kumfikia tembo elimu itolewe kuwa watu watafute sazi zao
Kumbuka mzinifu haoi ila mzinifu mwenziwe
Mkuu hiyo size yako utaijuaje bila kufanya majaribio? Na ukisema ufanye majaribio tunarudi kulekule kwenye uzinzi maana utaonja sehemu nyingi ili kupata size yako. Kama una mbinu nyingine tusaidie ambao bado hatujaoa
 
Haya nilikuelekeza jinsi ya kutumia au bado mkuu.

Jana na leo nilibanwa sana na wagonjwa sikupata nafasi kabisa ya kuwa JF.

Karibu Sana mkuu.
Kwani ustadh siwez kuchua dhakari mara moja kisha nikaingiza hiyo hartiti.... Kwanini nichue mara tatu??
 
Mkuu hiyo size yako utaijuaje bila kufanya majaribio? Na ukisema ufanye majaribio tunarudi kulekule kwenye uzinzi maana utaonja sehemu nyingi ili kupata size yako. Kama una mbinu nyingine tusaidie ambao bado hatujaoa
Ni kutafuta bikra ili ufungue njia kwa saizi yako hata kama chako ni saizi ya kidole basi utafungua njia kwa saizi hiyo na amani furaha itapatikana
 
Ustadh hapa napata taabu kidogo hivi kuwa kubwa ndio heshima furaha na amani hupatikana kwenye nyumba?
Na si utulivu wa nafsi kuaminiana kupendana na kutulizana maisha yaendelee...
Laweza kuwa kubwa na amani utulivu na furaha isipatikane kwenye nyumba
Asante sana kiongozi mimi nafikiri kuwa kubwa sio suluhisho la Amani,wala fraha ya mwanamke tusiongee kwa ubinafisi na kuweka fkira sehemu moja.shemeji zetu njooni mtusaidie nikweli ukubwa wa(.x) ndo chanzo cha aman na fraha kwa mwenzio???
 
Asante sana kiongozi mimi nafikiri kuwa kubwa sio suluhisho la Amani,wala fraha ya mwanamke tusiongee kwa ubinafisi na kuweka fkira sehemu moja.shemeji zetu njooni mtusaidie nikweli ukubwa wa(.x) ndo chanzo cha aman na fraha kwa mwenzio???
Unaweza kuwa na kubwa lakini ukawa mnyanyasaji mtu wa kupiga mke au mlevi kupita kiasi hata nyumbani hupatikani ukiulizwa ni ugomvi hapo je kutakuwa na amani utulivu na furaha? Hata uwe na mguu wa meza mke hatakuwa na amani furaha wala upendo
Mm nadhani suluhu ya furaha amani na upendo ndani ya nyumba ni wewe mwenyewe jinsi ya kumtunza mkeo na si ukubwa wa mashine mkuu naomba kuwasilisha
 
Mkuu hiyo size yako utaijuaje bila kufanya majaribio? Na ukisema ufanye majaribio tunarudi kulekule kwenye uzinzi maana utaonja sehemu nyingi ili kupata size yako. Kama una mbinu nyingine tusaidie ambao bado hatujaoa
Hapana mkuu hata kwa macho waweza kujua au hata kwa kuihisi utahisi tu kuwa kuna mabadiliko kiongozi.

Sidhani kama ni lazma mtu afanye uzinzi ndio ujue size imeongezeka mkuu.

Lakini pia tunashauri watu waoe mbona wapo wengi siku hizi wanahitaji ndoa kuolewa wala hakuna sababu ya kufanya uzinzi.

Karibu Sana.
 
Kwani ustadh siwez kuchua dhakari mara moja kisha nikaingiza hiyo hartiti.... Kwanini nichue mara tatu??
Kwenye kuchua unafanya kama unaivuta vuta kwa kuelekea chini kiongozi.

Sasa kuifanya kwa mara kadhaa inapelekea dhakari kuongezeka urefu kwa kiasi kikubwa sasa kwa mara moja unaweza kuchukua muda mref.

Kuna wengine wameuliza kama wanaweza kufanya zaidi ya mara tatu pia nimewaambia ni sawa tu na ni bora zaidi pia.

Karibu Sana mkuu.
 
Asante sana kiongozi mimi nafikiri kuwa kubwa sio suluhisho la Amani,wala fraha ya mwanamke tusiongee kwa ubinafisi na kuweka fkira sehemu moja.shemeji zetu njooni mtusaidie nikweli ukubwa wa(.x) ndo chanzo cha aman na fraha kwa mwenzio???
Haya watakuja kuleta ushuhuda hapa mkuu.
 
Ustadhi ninauwakika na dawa yako kufanya kazi, maama wengi humu wataweka number zao ili tuwatafute sante sana doctor ,ngoja mrejesho japo yakwangu siyo kibamia ila kuongezea siyo mbaya
 
Asee mkiendekeza hyo mishipa ya mboo inalegea kuna mwana alikua anatymia mafuta ya tembo bolo lilirefuka majimama yalikua yanamfuata akawashughurikie tatizo mshipa wa mboo kulegea na kuuma
 
Asee mkiendekeza hyo mishipa ya mboo inalegea kuna mwana alikua anatymia mafuta ya tembo bolo lilirefuka majimama yalikua yanamfuata akawashughurikie tatizo mshipa wa mboo kulegea na kuuma
Hivi hayo mafuta yanapatikana wapi???
 
Kwenye kuchua unafanya kama unaivuta vuta kwa kuelekea chini kiongozi.

Sasa kuifanya kwa mara kadhaa inapelekea dhakari kuongezeka urefu kwa kiasi kikubwa sasa kwa mara moja unaweza kuchukua muda mref.

Kuna wengine wameuliza kama wanaweza kufanya zaidi ya mara tatu pia nimewaambia ni sawa tu na ni bora zaidi pia.

Karibu Sana mkuu.
Mara tatu maanayeke ni asubuhi,mchana na usiku?.Tafadhali fafanua kidogo Ustadh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom