Kuna tapeli linatumia namba ya simu imesajiliwa warid warid, ni tapeli la Tanga. Tapeli njaaa linachukua hadi elfu 3,000huyu tapeli kaeni nae mbali
Mbona kajiunga leo leo ,wee umemjulia wapi?
Kuna tapeli linatumia namba ya simu imesajiliwa warid warid, ni tapeli la Tanga. Tapeli njaaa linachukua hadi elfu 3,000huyu tapeli kaeni nae mbali
Mbona kajiunga leo leo ,wee umemjulia wapi?
Waongo na majizi tu hayo yanayotanguliza namba za simuDawaa zao wanakusafirishia unalipa nusu kabla ya kupata mzigo...bei ni sh 28000 tzsh.....
Nadhani ni 7inch kuja chiniKwani hakuna aliejaribu mpaka sasa alete ushuhuda?
ndo huyu ndugu wa tangaKuna tapeli linatumia namba ya simu imesajiliwa warid warid, ni tapeli la Tanga. Tapeli njaaa linachukua hadi elfu 3,000
Mkuu, mafuta ya Zaituni mkuu huwezi kulinganisha na mafuta ya nazi hata kidogo mkuu waweza kupita kwenye hii link hapa chini kuweza kuona kati ya mafuta ya nazi na Zaituni yapi ni bora zaidi ya mengine mkuu...Labda hujanielewa , nilichokuwa namaanisha hivyo vitu vina nini ndani yake why watu watumie hizo ingredients, kitaalamu kuna madini gani hasa ambayo yanasababisha runguleeee likue.
Ni akili tu na upeo unatofautiana jinsi gani tu utakavyoweza kufikirisha bongo wako.Kazi kweli mkuu, kama hiyo hartit najua kama kiungo cha chakula sa kwenye tiba sijui imefika vipi
Soma hiyo post ya juu hapo inakuhusu pia.Waganga ni matapeli wakubwa sana. Nliona jamaa ananywesha watu viungo toka uarabuni, vina harufu nzuri sana anadai ni kinga yani hakulogi mtu.
Alichokosea alifungua kichupa nikiona kwamba kimetoka kiwandani akachana kikaratasi chake.
Kwani mpaka hapo ulipo umeshaingizwa ngapi mpaka leo...?Mnaoweka dawa za kisanii ndo mnafanya wasijiamini! kikubwa namna gani unatumia ulichonacho tuu basi! maana unaweza ukawa na "kubwa jinga" ila mwenye " dogo machachari hufui dafu kwake" jikubali na ulichonachooo yupo atayekipenda
Doctor Tulia hebu tulia ndugu. Ulikuwa wapi siku zote kama ulikuwa unajua hizo dawa unazo kwa nini usije kusaidia watu hapa...?Dawa nyingine ni kiberit .upele ..mtama mweupe ..pilipili barid....asal i na mvunge i.. dr tuliane nitafute kupitia 0744068527
Haya nilikuelekeza jinsi ya kutumia au bado mkuu.Nilifika nikawaambia wanipe unga wa hartiti kuhusu kutofautiana kwa chupa sijachunguza sana mkuu
Asante Sana mkuu.Hongera ustadhi, ni elimu ya kutosha sana kwa wenye tatizo hilo
Shukran sana mkuu, watu wengine sio wastaarabu kama alivyosema member mwenzetu Makuta ila jambo kubwa ni kuwa siku zote kibaya huwa kinajitembeza ndio kama anavyofanya tuliane.huyu jamaa anatumia id mbali mbali na ana namba zaidi ya moja na hii ninayo id ikibuma anafungua nyingine kama namwongopea aje hapa kusibitisha
Shukran sana mkuu kwa kuliona hilo kuweni nao makini sana watu kama hao wakuu.ustadh
mtu poa sana..
hawa mnao ingilia uzi huu na kuweka
manamba yenu ya sim kaeni pembeni bana
acheni utapeli...Papuchi nyie
Hapana mkuu.Hahahaha sasa ustadhi itakua na ukubwa gani baada ya kupaka hio dawa...ikipitiliza ikawa kama punda.?
0404