Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,078
Wanaita maduka ya Sunnah!Mimi sio kwamba nataka kuuza hizo dawa mkuu laa hasha.
Waweza kuuliza kwenye duka lolote tu linalouza dawa za kiarabu utapata ndugu yangu.
Shukran.
Hongera
Wanaita maduka ya Sunnah!Mimi sio kwamba nataka kuuza hizo dawa mkuu laa hasha.
Waweza kuuliza kwenye duka lolote tu linalouza dawa za kiarabu utapata ndugu yangu.
Shukran.
Na pia uwakumbushe mungu alimuumba mwanamke na bikra na maana ya bikra kila mtu afungue kwa kiasi chake mwenye ndogo atafungua kwa udogo wake na itambana na mwenye kubwa atafungua kwa kiasi chake na wote watasikia raha na bila kujali ni kubwa au ndogoNaamini Mungu alimpa kila mtu kiasi chake,unaweza'sononeka kwamba una uume mdogo ila still ni mkubwa na tosha na bora mno kwa mwanamke utakaempata,wengine hadi wanakimbia anakaa siku anakutafuta mwenyewe wala sio kwamba unamuhonga hapana,amekukubali kwa shughuli yako.my point is...kijana usijihisi una maumbile madogo hali hii itakuvunja moyo upate matatizo mengine bure,jikubali jinsi ulivyo muhimu kula vizuri,mazoezi kidogo ndiyo maisha ni magumu ila tupunguze stress hakuna saa tutaacha kuwaza nikuyakubali tu maisha ili uweze kuzilinda nguvu zako zisitetereke.@allustadh umesahau kuwaambia kaka kwamba ni vizuri wakiowa maana uzinzi sio mzuri hata kidogo.
Mbona waarabu wenye mizeituni na hiyo Hartiti hawasifiki kuwa na dushe kubwa?Mimi sio kwamba nataka kuuza hizo dawa mkuu laa hasha.
Waweza kuuliza kwenye duka lolote tu linalouza dawa za kiarabu utapata ndugu yangu.
Shukran.
sasaiv tupo zama zingine mkuu.mambo ya bikra sasaiv hayapo na ni adimu.muache ustadhi atoe elimuNa pia uwakumbushe mungu alimuumba mwanamke na bikra na maana ya bikra kila mtu afungue kwa kiasi chake mwenye ndogo atafungua kwa udogo wake na itambana na mwenye kubwa atafungua kwa kiasi chake na wote watasikia raha na bila kujali ni kubwa au ndogo
Lakini hivi sasa watu wanajua kuna kubwa na ndogo kwa kuwa uzinzi umekuwa mkubwa kiasi ukimpata aliyepitiwa na inch 12 urefubna upana wa mzunguko inch 10 wewe mwenye inch 6 na mzunguko ni inch 4 utasikia raha gani ? Ni lazma uonekane ni ndogo lakini hiyo hiyo ukimpata mwenye bikra utaonekana kubwa kwa kua funguo imechonga njia yake mpya
Nasisitiza acheni uzinzi huu uzinzi ndio unatupeleka kujua hii ni kubwa na hii ni ndogo wakati tumeekewa bikra ili kila mtu afungue njia kwa saizi yake
Hakuna cha hatiti wala haltoto acha kuzini tafuta jiko jipya fungua njia kwa saizi yako raha ni ile ile anayopata wavinch 12
Sio suala la kushindana kuoneshana nani kamzidi mwenzake laa.Daaakeki mwaka huu lazma muwafikie wa west Africa kwa Mi ukuni
Uliwahi kuliona Mkuu?? HatareeeeMbona waarabu wenye mizeituni na hiyo Hartiti hawasifiki kuwa na dushe kubwa?
Ahsante ustadhiSio suala la kushindana kuoneshana nani kamzidi mwenzake laa.
Ila ni kufanya tu kusaidiana walau heshima, furaha, amani na upendo viendelee kuwepo ndani ya nyumba.
Hilo ndio lengo wala si kushindana.
Hahaha kazi kwao, japo najua wataliwa na watabaki kma walivyoLazima wakutajie vitu ambavyo havipo bara wala visiwani ili uwatafte
Word...mzigo ukiwa mkubwa sana..erection inakuwa sio ya maana..ndembe ndembe..haina maana.Kuna faida gani ya kuwa na uume mkubwa halafu ni mlaini kama bamia.
Ustadh hapa napata taabu kidogo hivi kuwa kubwa ndio heshima furaha na amani hupatikana kwenye nyumba?Sio suala la kushindana kuoneshana nani kamzidi mwenzake laa.
Ila ni kufanya tu kusaidiana walau heshima, furaha, amani na upendo viendelee kuwepo ndani ya nyumba.
Hilo ndio lengo wala si kushindana.
Hivi kuna dawa za kupunguza uume kama ni mkubwa....Ahsanta.
Ni majina tu mkuu wengine huita hivyo au maduka ya dawa za asili au kienyeji au dawa za kiarabu yote ni sahihi tu kiongozi.
Nafkiri ulichokiandika umeshajijibu mwenyewe mkuu.Na pia uwakumbushe mungu alimuumba mwanamke na bikra na maana ya bikra kila mtu afungue kwa kiasi chake mwenye ndogo atafungua kwa udogo wake na itambana na mwenye kubwa atafungua kwa kiasi chake na wote watasikia raha na bila kujali ni kubwa au ndogo
Lakini hivi sasa watu wanajua kuna kubwa na ndogo kwa kuwa uzinzi umekuwa mkubwa kiasi ukimpata aliyepitiwa na inch 12 urefubna upana wa mzunguko inch 10 wewe mwenye inch 6 na mzunguko ni inch 4 utasikia raha gani ? Ni lazma uonekane ni ndogo lakini hiyo hiyo ukimpata mwenye bikra utaonekana kubwa kwa kua funguo imechonga njia yake mpya
Nasisitiza acheni uzinzi huu uzinzi ndio unatupeleka kujua hii ni kubwa na hii ni ndogo wakati tumeekewa bikra ili kila mtu afungue njia kwa saizi yake
Hakuna cha hatiti wala haltoto acha kuzini tafuta jiko jipya fungua njia kwa saizi yako raha ni ile ile anayopata wavinch 12
Aisee mimi niko vizuri mkuu.Kila mtu ana tatizo lake vile alivyoumbwa lakini hakuna tatizo lilokosa utatuzi ndugu.
Kwani una uume ambao umelegea mkuu...?.