dadu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 475
- 332
Mwambie kama twamsaidia mungubkuumba watu wasingepelekwa mahospitalini navwengine kufanyiwa operation tungewaacha tu maana ukiweka surgery yoyote utakuwa unaingilia kazi za munguMungu hasaidiwi ndugu ila yeye ndio anatusaidia viumbe wake kwa kuelekea maarifa na tiba kama hizi ndugu.
Karibu Sana.
Hivyo sivo mungu ametupa maradhi alafu akatupa na dawa
Mkuu hiyo ndio dawa yake