Tatua tatizo la uume mdogo

Tatua tatizo la uume mdogo

Jamani, nnani kawaloga nyie watu?? Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi jameni. Acheni kuingiza mavitu ya kigeni huko. Hapa hapa niliwahi soma ati kuna watu hutia moshi wa ganja ukeni. Fikiri jinsi watu wamewehuka leo. Unaenda kutia unga kwenye shimo la uume, wapi na wapi hiyo kitu. Mkiziba mikojo mnasingizia njia nyembamba kumbe mmezibisha wenyewe.
Tumia hicho kibamia chako kwa ufundi na uhakika (Confidence) kama hujamtoa kamasi mke wa mwenye gobore. Tupeni skuli ya mchezo huo si kutuelekeza kuzibisha mikojo.
 
Mkuu mm kutokana na huu unene wangu naona imepotea kabisa sasa kwa njia hiyo inaweza nisaidia?
Pole sana kiongozi kupotea huko imepoteaje mkuu imepotea kabisa yani huna dhakari kabisa au inakuwaje mkuu, sjakuelewa.

Hebu jaribu kufafanua kwa uzuri nifaham angalau...?
 
Ustadhi ninauwakika na dawa yako kufanya kazi, maama wengi humu wataweka number zao ili tuwatafute sante sana doctor ,ngoja mrejesho japo yakwangu siyo kibamia ila kuongezea siyo mbaya
Nashkuru ndugu yangu tuko pamoja sana kiongozi.

Yafaa kuongeza mkuu ili heshima iongezeke kiongozi.

Karibu Sana.
 
Asee mkiendekeza hyo mishipa ya mboo inalegea kuna mwana alikua anatymia mafuta ya tembo bolo lilirefuka majimama yalikua yanamfuata akawashughurikie tatizo mshipa wa mboo kulegea na kuuma
Huyo itakuwa alikuwa na tatizo jingine kiongozi.
 
Mara tatu maanayeke ni asubuhi,mchana na usiku?.Tafadhali fafanua kidogo Ustadh.
Mara 3 sio asubuhi, mahaba, jioni kiongozi ni mara 3 kwa muda huo unaokuwa unafanya zoezi husika.

Kwa siku unafanya mara moja kwa muda wa siku 21 kiongozi.

Karibu Sana.
 
Back
Top Bottom