sijuikitu
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 286
- 12
i never imagine still kuna watu wenye mtizamo mgando,ukilaza wa mtu katika utendaji hauhusiani na chuo alichosoma,wake up guys lets focus...
wazungu wanasema "you are what you read"......yaani chuo ulichosoma kina affect saaaaaannnnaaaaa utendaji wako.....muone nanihii anavyofanya mambo yake.