Tatizo si Kikwete na uelewa wake bali chuo kikuu alichosoma!

i never imagine still kuna watu wenye mtizamo mgando,ukilaza wa mtu katika utendaji hauhusiani na chuo alichosoma,wake up guys lets focus...


wazungu wanasema "you are what you read"......yaani chuo ulichosoma kina affect saaaaaannnnaaaaa utendaji wako.....muone nanihii anavyofanya mambo yake.
 
UDSM wamewahi kuvumbua nini?

wamewahi kuvumbua vitu, sio vilaza kiasi hicho....duh!.....mi sikumbuki walivumbua nini, ila wana wa UD wenyewe watatueleza.....ila nadhani kuna kitu wamefanya.

ni kwa bahati mbaya tu kwenye maswala ya uongozi mambo sio shwari kivileee
 
PAPA D unaonekana umesoma chuo cha SANAA BAGAMOYO ndo maana hata hoja yako imejengwa juu ya premise ambayo huwezi kuijustify! kwetu sisi tunasema UMELIPUKA! MLIMANI is uncomparable na hivyo vyuo vya kati visivyokuwa vyuo VIKUU! ukilaza wa JK ni wa kwake alikuwa nao hata kabla hajaenda chuo! ni pamoja na wengine wote! hawa wote pamoja nawe hata kama tungewapeleka "HAVARD" bado ingekuwa holaaaaaaaaaaaa!:A S 112:
 
mi nipo UD sasa hivi, ngoja niingie kwenye pepa nika DESE, halafu nikitoka nasubiri BUMU....halafu shule ikiisha natafuta kazi...... ninasoma ile course ambayo kila mtu anaikimbilia bila kujua kama nchi inaihitaji, na bila kujua nikigraduate nitafanya nini.

wenzangu wananidanganya tu, kitu ambacho ni cha kawaida....nitaenda kutafuta dili la chapchap nitoke....halafu basi.....zaidi ya hapo nitakuwa natoa longolongo tu.....kiingereza chenyewe ndio hivyo tena.
 
wazungu wanasema "you are what you read"......yaani chuo ulichosoma kina affect saaaaaannnnaaaaa utendaji wako.....muone nanihii anavyofanya mambo yake.

siyo wazungu mzee, ila umetumia lugha ya kiingereza...!
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

Ulisoma chuo gani? Ulifanya utafiti wapi? tunaomba utuletee ripoti kamili ya utafiti wako ili tujue weredi wako. La sivyo omba msamaha kwa kuanzisha maneno ya porojo porojo hapa.
 
ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa chuo kikuu cha dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu mzumbe au dit ni bora kuliko mhitimu wa mlimani!! Poleni sana wahitimu wa mlimani!!

unahasira sana mzee ila na kushauri ukazane huko uliko ili ujaribu kutumia matokeo yako ya degree ya huko uliko uombe tena kujoin udsm undergraduate kwa vi gpa vyenu utapata tu
 
mi nipo UD sasa hivi, ngoja niingie kwenye pepa nika DESE, halafu nikitoka nasubiri BUMU....halafu shule ikiisha natafuta kazi...... ninasoma ile course ambayo kila mtu anaikimbilia bila kujua kama nchi inaihitaji, na bila kujua nikigraduate nitafanya nini.

wenzangu wananidanganya tu, kitu ambacho ni cha kawaida....nitaenda kutafuta dili la chapchap nitoke....halafu basi.....zaidi ya hapo nitakuwa natoa longolongo tu.....kiingereza chenyewe ndio hivyo tena.

MpO PAKA UD LAKINI MKIENDA SAUT MTABAKISHWA KUWA WAALIMU HUKO. NIPO SECOND YEAR UDSM ILA NAAMINI NIKIENDA SAUT NAWEZA KUWAPIGISHA PINDI WAKANIKUBALI VIBAYA MNO
 
Vyuo hivyo vina walimu waliosoma UD.

simple logic: kama vyuo hivyo vina walimu waliotoka UD halafu vyuo bado havina ubora THEN mwenye tatizo ni hao walimu na watawala ambao wengi wao ni UD graduates.

Inamaanisha wameshindwa kuonyesha UBUNIFU wao.
 
simple logic: kama vyuo hivyo vina walimu waliotoka UD halafu vyuo bado havina ubora THEN mwenye tatizo ni hao walimu na watawala ambao wengi wao ni UD graduates.

Inamaanisha wameshindwa kuonyesha UBUNIFU wao.

Ni kweli atuletee profile ya malecture wa vyuo vya DIT na Mzumbe na IFM kabla hajaanza kuponda. Kwa elimu ya sasa ni mtu binafsi si chuo. Ukipigwa lecture unatakiwa ukasome Library sasa huko ndio unapata elimu sio kulishwa kama sekondari.
 
Mbowe na slaa wamesoma wapi?
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
mmmmh naona mheshimiwa kama wewe ndie unayechanganya mambo!Mzumbe kiliwahi kuwa Chuo cha Uongozi kabla ya kupewa hadhi ya Chuo Kikuu.
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

Hawa baadhi umewasahau

Marry nagu
Tundu lissu
Zitto kabwe
James mbatia
Halima mdee.........:.............list ni ndefu!
Explore ur IQ!
 
Inawezekana ikawa kweli japo tafiti hazijafanyika, lakini mimi kitaaluma ni mwalimu mwenye shahada huku makazini pia tunaona jinsi walimu walio maliza UDSM walivyo waoga wa hata kudai haki zao, na ndio maana UDOM inaogopwa sana kuwa ni ngome ya CHADEMA ni kwa sababu ya uthubutu wao wa kudai haki zao japo UDSM nao wana figures ambazo lazima zipewe heko kwa kuwa wameonyesha mambo mengi katika nchi hii.
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

Ndio tatizo la kusoma vyuo vya kata..Uwezo wa kupambanua mambo unakuwa mdogo.Mfumo mzima wa elimu nchi hii umeoza sio UD pekee..
 
Back
Top Bottom