Tatizo si Kikwete na uelewa wake bali chuo kikuu alichosoma!

Kama ni chuo cha vilaza mbona huwa kinachukua cream yote, hafu mtu akikosa mlimani ndo anafikiria kwenda vyuo vingine, kwa nini?

Dah, hii topic in aushabiki sana, nilikuwa nje ya mitandao kwa kazi nyingi so sikuweza kuiona hii thread!. Naona bado ushabiki wa vyuo unaendelea. Mkuu hayo ya kukosa UDSM na kwenda kwingine ni ya kizamani, hope unajua nini maana ya TCU na kazi zake, kuna watu wana Div I na wanapelekwa UDOM, au UDSM au Mzumbe hata IFM.

Pili, kuna wahitimu baadhi wa Mzumbe, UDSM, IFM, IAA, MUCOBS na kwingineko, ni majembe mbaya, na wengine ni vilaza tu. Tusipende k-generalise hii issue.
 
MpO PAKA UD LAKINI MKIENDA SAUT MTABAKISHWA KUWA WAALIMU HUKO. NIPO SECOND YEAR UDSM ILA NAAMINI NIKIENDA SAUT NAWEZA KUWAPIGISHA PINDI WAKANIKUBALI VIBAYA MNO
upo second year then una mawazo eti ya kupigisha pindi saut are u serious?TATIZO LA WENGI WENU MNA PIGA DOMO TU ILA ACTION IS NOTHING,UTOTO WAKO WA KUTUMIA FALLACY OF GENERALIZATION KUONA SAUT WOTE NI VILAZA NA WEWE NDIO JINIAZ ONE DAY VITAKU COST
 
MpO PAKA UD LAKINI MKIENDA SAUT MTABAKISHWA KUWA WAALIMU HUKO. NIPO SECOND YEAR UDSM ILA NAAMINI NIKIENDA SAUT NAWEZA KUWAPIGISHA PINDI WAKANIKUBALI VIBAYA MNO

Usijidanganye, vyuo vyote hata vya "kata", standard ya kuwa Lecturer ni Kuwa na Overall GPA ya 3.8! Sasa wewe cheza halafu uone, biga shule dogo tunawahitaji huku tujenge taifa!
 
I don't think it is right to compare UD and any of the Universities in TZ and in EA. Unachanganya uwezo wa watu binafsi na generalisation. Kwa mwaka 2013, UDSM iko ranked ya 6 kati ya vyuo 100 Africa na imekuwa among the top ten for so long. Rank ya 1 to 10: 1st. University of Cape Town (SA); 2nd University of South Africa; 3rd University of Pretoria (SA); 4th University of Stellenbosch (SA); 5th University of Witwatersrand (SA); 6th University of Dar es Salaam (Tanzania); 7th Cairo University (Egypt); 8th University of Kwazulu Natal (SA); 9th The American University in Cairo (Egypt); 10th Makerere University. Kwa bahati mbaya Mzumbe, IFM, UDOM, havimo hata kwenye vyuo 100 bora Africa. Source Top 100 Universities in Africa | 2013 World University Ranking (2013 World University Web Ranking- Top 100 Universities and Colleges in Africa).
 
Pengine waanzishaji wa uzi huu, wangetuleza huo utafiti umefanyika wapi na lini, kama kuna watu wachache vilaza sio kwa sababu wamesoma UD، ila wengi ni matokeo ya mfumo wa elimu yetu,
Lakini ni vizuri pia kutambua kuwa vyuo vingine huwa zina utaratibu wa kuwatumia wahadhiri kutoka chuo kikuu cha Dsm (guest lecturers) kwahiyo kama ubovu ni walimu basi huenda wakapeleka huo ubovu kwenye hivyo vyuo vingine.
ukweli ni kwamba unafundishaji kwenye universities zetu zina matatizo watu wamekua wengi kiasi kwamba kuna baadhi ya vyuoo hata seminars zimefutwa، maswali ni multiple choices kurahisisha usahishaji,
mjadala tungeulekeza kujadili sababu ya kushuka kwa competence ya wahitimu badala ya kusema chuo kile au hiki vilaza.

Nawasilisha.............
 
Very interesting observation sir!!.... am off for now...!!

UDSM wanaongoza kwa kutoa vyeti kwa Mapenzi,rushwa,Ukabila zaidi kabisa ni vya kigezo cha Udini.Mfumo kristo umejikita barabara hapo.Hata mwenyekiti wa NECTA ni prof wa UDSM.Sio baadhi ni woote vilaza tu.
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!
Tatizo si chuo alichosomea mheshimiwa Rais.Wewe mleta mada una agenda yako ya siri.Maana mada za DIT,MZUMBE na UDSM zimezungumziwa sana hapa jamii Forum.Sasa naona hujaridhika na yaliyozungumziwa kwenye mada zilizopita ukahamua kuileta kwa namna yako mwenyewe unayoijua.Uongozi hauangalii ni chuo gani ulichosomea.Inaonyesha wewe mleta mada upeo wako wa kufikiria ulivyo mdogo.
 
Dah, hii topic in aushabiki sana, nilikuwa nje ya mitandao kwa kazi nyingi so sikuweza kuiona hii thread!. Naona bado ushabiki wa vyuo unaendelea. Mkuu hayo ya kukosa UDSM na kwenda kwingine ni ya kizamani, hope unajua nini maana ya TCU na kazi zake, kuna watu wana Div I na wanapelekwa UDOM, au UDSM au Mzumbe hata IFM.

Pili, kuna wahitimu baadhi wa Mzumbe, UDSM, IFM, IAA, MUCOBS na kwingineko, ni majembe mbaya, na wengine ni vilaza tu. Tusipende k-generalise hii issue.
Mkuu ukiona hivi jua tunaongea na watoto ambao bado wanasoma vyuoni na hawajajua hatima yao ya maisha ya baadaye.Badala ya kuanzisha topic za kujadili watakavyokabiliana na maisha baada ya kumaliza vyuo wanabakia kushabikia vyuo.UDSM itabaki kama UDSM na DIT itabaki kama DIT ni wewe mhitimu wa hivyo VYUO kujipanga jinsi ya kukabiliana na changamoto za maisha zilizoko huku mtaani baada ya kumaliza chuo.Je na wale ambao wameishia darasa la saba na hawakwendi vyuoni kabisa na wameajiri wahitimu wa vyuo vikuu naO wasemeje?
 
Kuna tatizo kidogo kwenye thread yako. Chuo unachokisema ni cha 6 kwa ubora afrika,chuo kinachofuatia nchini ni HKairuki katika nafasi ya 98 afrika. Tatizo la mtu mmoja hailwezi kuchukuliwa kuwa nai tatizo la wote. rekebisha thread yako tukupe tatizo hasa liko wapi.
 
Sisi waajiri huwa tunaprefer vijana wa AIA,TIA,MZUMBE,IFM hasa kwenye mambo ya UHASIBU NA UTAWALA maana they can deliver sasa sijui ni mtaala wanaoutumia au kuna kingine.
Ila kwa fani kama za Engineering the only option huwa ni UDSM bado sijafanikiwa kuwa na vijana toka vyuo vyengine.
Pia ukilaza ni wa mtu sio chuo!
Kama bogus ni bogus tuu ata uende soma HARVARD
 
UDSM haipo hata kwenye 40 bora za africa na haipo kwenye first 2000 in the World. imejitahidi kwenye kiswahili tu ambapo inachukua nafasi ya pili baada ya chuo kimoja kenya (sikikumbuki)!
mtaukataa huo ukweli lakni ndo wenyewe.

Kuna tatizo kidogo kwenye thread yako. Chuo unachokisema ni cha 6 kwa ubora afrika,chuo kinachofuatia nchini ni HKairuki katika nafasi ya 98 afrika. Tatizo la mtu mmoja hailwezi kuchukuliwa kuwa nai tatizo la wote. rekebisha thread yako tukupe tatizo hasa liko wapi.
 
Wewe papa d ulikosa nafac UDSM kwa yako matokeo mabovu..so relax lipapa d and move on!
 
hizi mada huwa sichangii coz kila aliyesoma udsm anaamini ndo chuo bora tanzania nzima!!!bado wanabebwa na historia....endeleen wazee
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!

Pole kwa kufeli mtihani wa kidato cha sita!
 
Juzi nilikuwa nasoma CV ya Dr. Sally Kosgey, Waziri wa viwanda wa Kenya, nikashangaa kuona amesoma UDSM, nilipofuatilia nikagundua kuna wanasiasa na viongozi wengi wa Kenya wamesoma UDSM akiwemo AG Amos Wako, Bado mtasema UDSM ni ya Vilaza, UDSM ni chuo Bora Africka Mashariki, wapende wasipende!
ni bora Africka,lakin sio bora AFRICA!!!
 
Ukweli ni kwamba wahitimu wengi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam ni vilaza/wababaishaji [Si kikwete tu!]. Hii inatokana na jinsi wanavyofundishwa [wanakaririshwa na si kueleweshwa] watu wa aina hiyo huishia kuwa wenye nadharia nyingi kuliko utendaji. Mwisho wa safari huwa walalamishi wazuri sana. Chanzo kikuu cha kutoa vilaza ni kwamba Walimu/professors wa mlimani wamejaa wivu na husda!!!

Mwanafunzi aliyehitimu Mzumbe au DIT ni bora kuliko mhitimu wa Mlimani!! POLENI SANA WAHITIMU WA MLIMANI!!




shida kweli kweli huna adabu wewe
 
Back
Top Bottom