assalam alaykum wana jf mmi ni kijana wa miaka 21 nimemaliza kidato cha nne mwaka kwa kipindi chote hicho sikwaga na bahati ya kuwavutia wasichana kwa hiyo mimi nina nini jamani na vilevile uongea sijui na ishia kutamani nisaidieni
assalam alaykum wana jf mmi ni kijana wa miaka 21 nimemaliza kidato cha nne mwaka kwa kipindi chote hicho sikwaga na bahati ya kuwavutia wasichana kwa hiyo mimi nina nini jamani na vilevile uongea sijui na ishia kutamani nisaidieni
kijana wasichana/wanawake hawavutiwi na wanaume na hata kama amevutiwa ni wachache watakufuata na kukuomba urafiki. Mwanaume inatakiwa utongoze unayempenda au unahisi unampenda bila kujali kama yeye amevutiwa na wewe au hapana. usiogope kukataliwa ni kitu cha kawaida hicho kwa mwanaume. tena hii age yenu vijana mna raha sana kuna facebook, simu, twiter lol nyenzo kibao za kutongozea halafu unabaki kulalamika.
kijana wasichana/wanawake hawavutiwi na wanaume na hata kama amevutiwa ni wachache watakufuata na kukuomba urafiki. Mwanaume inatakiwa utongoze unayempenda au unahisi unampenda bila kujali kama yeye amevutiwa na wewe au hapana. usiogope kukataliwa ni kitu cha kawaida hicho kwa mwanaume. tena hii age yenu vijana mna raha sana kuna facebook, simu, twiter lol nyenzo kibao za kutongozea halafu unabaki kulalamika.
Hahahahahahhh duh we kiboko!!!!!!
Huyu utoto unamsumbua kwanza anatakiwa asome.. anamaliza form 4 halafu anataka kuwavutia washichana... si ajabu hata hajabalehe!!!!!!!!!!:A S 465:
shule nimepiga chini
assalam alaykum wana jf mmi ni kijana wa miaka 21 nimemaliza kidato cha nne mwaka kwa kipindi chote hicho sikwaga na bahati ya kuwavutia wasichana kwa hiyo mimi nina nini jamani na vilevile uongea sijui na ishia kutamani nisaidieni