Muikizu muelewa
Member
- Jul 28, 2021
- 35
- 31
Ni kushindwa kuchakata papuchi ipasavyo
Acha uongo, alikutafuta una hela ?kula dona! kula nyama choma, noah! fanya mazoezi, hata kutembea ni mazoezi! anyway sikumbuki vizuri, lakini mara ya mwisho kuonana na demu niliacha BAO TISA, mpaka leo bado ananitafuta turudie tena! muache chips kabisaaaaaa! goli moja hata kama ni viwango vya juu huwezi kumaliza haja za mwanamke, kama ni hivyo basi BAA TUNGEKUNYA MOJA TUU BASI!
Hela Kama sh ngapi?Tafuta hela acha uboya
Ooh! Sawa mkuu kiasi flan nimeelewa.Japo wadau wanasema dawa ya nguvu za kiume ni Hela.
Lakini dawa zipo na hizo ulizo taja si za kuongeza siku moja bali za kukujenga na huwezi linganisha na Viagra.
Kwa msaa Zaidi kutana na MziziMkavu na mkuu Mshana Jr
Mkuu ndo maana halisi ya watu hatufanani nazani ukitembea kwenye jukwaa la biashara uchumi na ujasilia Mali utakua thread zangu kule za kibiashara. Wakati huu naandika hii thread nipo ndo wakati nimetoka kukusanya mauzo yangu hapa nawaza niingie chimbo gani nikajipoze na kitimoto swafi kabisa.kweli watu hutafuta kile wanachokitaka! Wakati mi nawaza kuongeza miburungutu ya fedha huyu anawaza kukomoa papuchi..
Hongera mkuuMkuu ndo maana halisi ya watu hatufanani nazani ukitembea kwenye jukwaa la biashara uchumi na ujasilia Mali utakua thread zangu kule za kibiashara. Wakati huu naandika hii thread nipo ndo wakati nimetoka kukusanya mauzo yangu hapa nawaza niingie chimbo gani nikajipoze na kitimoto swafi kabisa.
Asante sana: nimepost kwa wema kwa kua maisha ya kunyanduana yapo na hayakwepeki na huwezi kunyanduana bila kua imara mkuu. Ukipata ufafanuzi wa kutosha hapa naiman shemej yangu atakufurahia vizuri zaid ila uwe na hela SasaHongera mkuu
JF hairuhusu kufuta post wewe labda waifute wao au iunganishwe.Naona ni ishu ya mtandao nimepost mala ya kwanza ikagoma mikazima data nika rudia ikakubari acha Ni fute hii post.