Piga nyeto at least mara 3 kwa siku!MWANAUME MWENZENU NAANGAMIA, MSAADA TAFADHARI...
Wakuu mi ni kijana kabisa wa kiume, usidhani ati ni kijana wa kisiasa kama UVCCM, hapana ni kijana kabisa wa miaka 20's. Tatizo linalonisumbua ni kuwahi kufika mshindo na uume kulala kabla ya tendo( kwenye maandalizi pale).
Shida ilianza kitambo kidogo, mwanzo nlikua nikikutana na msichana nashindwa hata kusimamisha sijui ilikua hofu sijui ni nini, lakini kadri muda ulivoenda na kujaribu kwenda kwa madada poa kidogo kiwango kikapanda, nikawa naweza simamisha mara moja moja na kuwahi kufika yaani kama kuku vile dakika moja ni nyingi nshafika mshindo.
Hii hali Inaboa na kuumiza sana, sometimes mwenza anataka kupelekewa moto lakini mimi sasa ndo tatizo kubwa.
Uwezo wa kumuandaa mwanamke yeyote ninao mkubwa na anaweza kua wet akalegea kabisaa ila kumla sasa ndo ivo sekunde tu pwaaa ama lah nkimuandaa kwa muda kidogo mashine inalala na haiamki.
Wakuu mimi sio mdau wa chaputa, na bahati mbaya zaidi hata cha pili kuja ni baada ya muda mrefu hata dakika 20/30. Usidhani eti cha pili ndo madakika kibao, hapana ni sekunde hizo hizo wakuu.
Kwasasa nimekubali kuwa nina tatizo, nimeikubali hali yangu japo sijaipenda kabisa. Na sidhani kama eti nimeipata kwa sababu ya uraibu fulani katika huu ukubwa wangu, kwasababu tangu nimeanza mapenzi sijawahi kumudu tendo. Nadhani ni eidha nimezaliwa hivyo ama katika mkuzi yangu nikalivagaa hilo bila kujua ama ni ulaji wangu nikiwa nabalehe.
Wakuu,
Kwasasa sina pesa za kuwa naweza kwenda hospital nikapata matibabu ya hili tatizo, Naomba kama kuna njia sisizo na gharama/zenye gharama nafuu za kuweza kutatua tatizo langu hili.
Niwakumbushe tu wakuu tatizo langu ni kuwahi kufika kileleni yaani mapema mnooo ,kushindwa kuendelelea baada ya kupizi, na pia sometimes uume kulala wakati wa kuandaana tu. Naomba pia kama kuna namna ya kuimarisha uume naomba kujuzwa wakuu.
Inawezekana kuna wale waliowahi kupona kwa kufanya mambo mbalimbali, Jama Jama naomba basi mnishirikishe njia mlizotumia na mimi nifurahie tendo kama nyie jama.
Yafuatayo ni hiari yako kusoma/kuburudika/ kusikitika nami...
Acha niweke visa kadhaa vya aibu vilivyonipata kwa baadhi ya madem.
1. Huyu ni manzi portable mwenye kaumbo kake kazuri tu, nilimtaman mno. Basi bna siku ikaandaliwa akaja geto.... Kilichofuata ni aibu aibu aibu. Mtoto nmemuandaa fresh kabisa kalegea so poa bna bna mjegeje ukaniumbua haukusimama!!!. Yaani katikat ya maandalizi ngoma ndiiii ikalala mazima.
Daah nlisikitika na kupanick sana sana nikaishia tu kumchezea . Huyu aliniacha kwa hii sababu japo alinipenda sana na mimi bahati mbaya sikuwahi kumwambia ukweli kua nna tatizo akasepa akijua mi sina hisia nae/namuona mbaya/ nna madem wengi hivo sioni uzuri wake/ sivutiwi nae na sababu kama hizo.
2. Hiki kisa ni cha majuzi tu, huyu manzi yeye ni wa mtaa wa pili tu hapo. Nilimtongoza (sijisifu ila kipaji cha kutongoza ninacho aisee sio rahisi manzi kuchomoa), basi siku ya siku akanitunuku mbususu, daah aibu ikanikumba tena ila hii nilipiga km kuku chaaaap wazungu haooo. Kwasababu nilimuandaa mno nadhan aliridhika kwa hicho hicho cha kuku.
3. Huyu ndo hadi aliacha kunitafuta kabisa, huyu nae alitimba geto maandalizi finyu na kama kawaida chaap wazungu hao, kiukweli huyu hata mi niliona kabisa hajaridhika zaidi zaidi nimemuongezea genye tu.
4. Aisee hii pia ni aibu ya karne, sio aibu tu bali ni aibu iliyoandamana na hasara kubwa. Huyu bidada hakutaka kuonekana kitaa kua anakuja geto so ikabidi tuende mbali kidogo, huko nikaingiwa na hasara ya chakula na vinywaji+ pesa ya gesti.
Usiombe yakukute mwanaume, ile siku jololoo haikusimama ndgu msomaji, iligoma katakata , sasa unadhani nikafanyaje basi ikabidi mtoto nimrudishe kwao bila kupata kilichoniingiza gharama ivo.
Note: Usidhani eti Mmanyanigho ni kitombi sana, sasa ukitombi nautolea wapi na hali yangu ndgu zangu. Ni vile tu najaribu labda huyu ntadumu ama huyu itakua tofauti ila ndo ivo kote bilabila. Kuna kipindi mpaka nikataka nivute jani kwa kusikia eti litanipa stamina ya hatari, ila nashkuru Mungu sikuingia huko.
Sasa hivi nimeona tu hali yangu ndio hii, nimeanza mazoezi ya kegel taratibu taratibu labda ntapata matokeo chanya.
Mkuu kama nilivosema, ishu ilianza kitambo. Sema sasa hivi nimepanga nisake doo na kama kutakua na njia za kujitibu nizifanye taratibu taratibuMkuu kwani we sio graduate,huna madeni na ni mwoga wa madeni,au ni mtu wa kuogopa skendo kama yote hayo unayo shida sio nguvu za kiume ila una hofu na maisha
KakaJambazi usiombe yakukute ni AIBU AIBU AIBU.Wekeza kwenye ujenzi sasa, wenzako tunatafuta kulogwa Ivo na hatulogwi.
Hiyo naiogopa mkuu nahisi ni kujiongezea tatizo tena.Piga nyeto at least mara 3 kwa siku!
Sinyetuki mkuu.Tatizo la kunyetuka humaliza nguvu ya taifa.
Yaani vijana wanaangamia kwa kuendekeza puchu.
Tatizo isia zote umehamishia mkononi na povu la sabuni.
Duuh pole mkuu, hilo tatizo zaidi sasa.Mimi nikiiona tu papuchi kwa mbali huwa namwaga hapohapo.
Bei ya hiyo kitu ikoje mkuu.??Tumia viagra upate siku moja then upate confidence hapo bila ya ivyo litakuwa kingine ukitumia mara moja usirudie utakuwa una confidence
Ni dawa ila haitumiki kwa namna ilio zoeleka kuvuta na inatibu zaidi ya magonjwa 40 kama matatizo presha, ubongo (kifafa, presha ya macho, nk) na njia ya upumuaji ila sio reproducion system. Na elimu inahitajika juu ya matibabu yake siokirahu.nivute jani
Nyeto.umeioneaMWANAUME MWENZENU NAANGAMIA, MSAADA TAFADHARI...
Wakuu mi ni kijana kabisa wa kiume, usidhani ati ni kijana wa kisiasa kama UVCCM, hapana ni kijana kabisa wa miaka 20's. Tatizo linalonisumbua ni kuwahi kufika mshindo na uume kulala kabla ya tendo( kwenye maandalizi pale).
Shida ilianza kitambo kidogo, mwanzo nlikua nikikutana na msichana nashindwa hata kusimamisha sijui ilikua hofu sijui ni nini, lakini kadri muda ulivoenda na kujaribu kwenda kwa madada poa kidogo kiwango kikapanda, nikawa naweza simamisha mara moja moja na kuwahi kufika yaani kama kuku vile dakika moja ni nyingi nshafika mshindo.
Hii hali Inaboa na kuumiza sana, sometimes mwenza anataka kupelekewa moto lakini mimi sasa ndo tatizo kubwa.
Uwezo wa kumuandaa mwanamke yeyote ninao mkubwa na anaweza kua wet akalegea kabisaa ila kumla sasa ndo ivo sekunde tu pwaaa ama lah nkimuandaa kwa muda kidogo mashine inalala na haiamki.
Wakuu mimi sio mdau wa chaputa, na bahati mbaya zaidi hata cha pili kuja ni baada ya muda mrefu hata dakika 20/30. Usidhani eti cha pili ndo madakika kibao, hapana ni sekunde hizo hizo wakuu.
Kwasasa nimekubali kuwa nina tatizo, nimeikubali hali yangu japo sijaipenda kabisa. Na sidhani kama eti nimeipata kwa sababu ya uraibu fulani katika huu ukubwa wangu, kwasababu tangu nimeanza mapenzi sijawahi kumudu tendo. Nadhani ni eidha nimezaliwa hivyo ama katika mkuzi yangu nikalivagaa hilo bila kujua ama ni ulaji wangu nikiwa nabalehe.
Wakuu,
Kwasasa sina pesa za kuwa naweza kwenda hospital nikapata matibabu ya hili tatizo, Naomba kama kuna njia sisizo na gharama/zenye gharama nafuu za kuweza kutatua tatizo langu hili.
Niwakumbushe tu wakuu tatizo langu ni kuwahi kufika kileleni yaani mapema mnooo ,kushindwa kuendelelea baada ya kupizi, na pia sometimes uume kulala wakati wa kuandaana tu. Naomba pia kama kuna namna ya kuimarisha uume naomba kujuzwa wakuu.
Inawezekana kuna wale waliowahi kupona kwa kufanya mambo mbalimbali, Jama Jama naomba basi mnishirikishe njia mlizotumia na mimi nifurahie tendo kama nyie jama.
Yafuatayo ni hiari yako kusoma/kuburudika/ kusikitika nami...
Acha niweke visa kadhaa vya aibu vilivyonipata kwa baadhi ya madem.
1. Huyu ni manzi portable mwenye kaumbo kake kazuri tu, nilimtaman mno. Basi bna siku ikaandaliwa akaja geto.... Kilichofuata ni aibu aibu aibu. Mtoto nmemuandaa fresh kabisa kalegea so poa bna bna mjegeje ukaniumbua haukusimama!!!. Yaani katikat ya maandalizi ngoma ndiiii ikalala mazima.
Daah nlisikitika na kupanick sana sana nikaishia tu kumchezea . Huyu aliniacha kwa hii sababu japo alinipenda sana na mimi bahati mbaya sikuwahi kumwambia ukweli kua nna tatizo akasepa akijua mi sina hisia nae/namuona mbaya/ nna madem wengi hivo sioni uzuri wake/ sivutiwi nae na sababu kama hizo.
2. Hiki kisa ni cha majuzi tu, huyu manzi yeye ni wa mtaa wa pili tu hapo. Nilimtongoza (sijisifu ila kipaji cha kutongoza ninacho aisee sio rahisi manzi kuchomoa), basi siku ya siku akanitunuku mbususu, daah aibu ikanikumba tena ila hii nilipiga km kuku chaaaap wazungu haooo. Kwasababu nilimuandaa mno nadhan aliridhika kwa hicho hicho cha kuku.
3. Huyu ndo hadi aliacha kunitafuta kabisa, huyu nae alitimba geto maandalizi finyu na kama kawaida chaap wazungu hao, kiukweli huyu hata mi niliona kabisa hajaridhika zaidi zaidi nimemuongezea genye tu.
4. Aisee hii pia ni aibu ya karne, sio aibu tu bali ni aibu iliyoandamana na hasara kubwa. Huyu bidada hakutaka kuonekana kitaa kua anakuja geto so ikabidi tuende mbali kidogo, huko nikaingiwa na hasara ya chakula na vinywaji+ pesa ya gesti.
Usiombe yakukute mwanaume, ile siku jololoo haikusimama ndgu msomaji, iligoma katakata , sasa unadhani nikafanyaje basi ikabidi mtoto nimrudishe kwao bila kupata kilichoniingiza gharama ivo.
Note: Usidhani eti Mmanyanigho ni kitombi sana, sasa ukitombi nautolea wapi na hali yangu ndgu zangu. Ni vile tu najaribu labda huyu ntadumu ama huyu itakua tofauti ila ndo ivo kote bilabila. Kuna kipindi mpaka nikataka nivute jani kwa kusikia eti litanipa stamina ya hatari, ila nashkuru Mungu sikuingia huko.
Sasa hivi nimeona tu hali yangu ndio hii, nimeanza mazoezi ya kegel taratibu taratibu labda ntapata matokeo chanya.
Hapo ulipoacha kuvuta jani ndipo ulipoharibu.MWANAUME MWENZENU NAANGAMIA, MSAADA TAFADHARI...
Wakuu mi ni kijana kabisa wa kiume, usidhani ati ni kijana wa kisiasa kama UVCCM, hapana ni kijana kabisa wa miaka 20's. Tatizo linalonisumbua ni kuwahi kufika mshindo na uume kulala kabla ya tendo( kwenye maandalizi pale).
Shida ilianza kitambo kidogo, mwanzo nlikua nikikutana na msichana nashindwa hata kusimamisha sijui ilikua hofu sijui ni nini, lakini kadri muda ulivoenda na kujaribu kwenda kwa madada poa kidogo kiwango kikapanda, nikawa naweza simamisha mara moja moja na kuwahi kufika yaani kama kuku vile dakika moja ni nyingi nshafika mshindo.
Hii hali Inaboa na kuumiza sana, sometimes mwenza anataka kupelekewa moto lakini mimi sasa ndo tatizo kubwa.
Uwezo wa kumuandaa mwanamke yeyote ninao mkubwa na anaweza kua wet akalegea kabisaa ila kumla sasa ndo ivo sekunde tu pwaaa ama lah nkimuandaa kwa muda kidogo mashine inalala na haiamki.
Wakuu mimi sio mdau wa chaputa, na bahati mbaya zaidi hata cha pili kuja ni baada ya muda mrefu hata dakika 20/30. Usidhani eti cha pili ndo madakika kibao, hapana ni sekunde hizo hizo wakuu.
Kwasasa nimekubali kuwa nina tatizo, nimeikubali hali yangu japo sijaipenda kabisa. Na sidhani kama eti nimeipata kwa sababu ya uraibu fulani katika huu ukubwa wangu, kwasababu tangu nimeanza mapenzi sijawahi kumudu tendo. Nadhani ni eidha nimezaliwa hivyo ama katika mkuzi yangu nikalivagaa hilo bila kujua ama ni ulaji wangu nikiwa nabalehe.
Wakuu,
Kwasasa sina pesa za kuwa naweza kwenda hospital nikapata matibabu ya hili tatizo, Naomba kama kuna njia sisizo na gharama/zenye gharama nafuu za kuweza kutatua tatizo langu hili.
Niwakumbushe tu wakuu tatizo langu ni kuwahi kufika kileleni yaani mapema mnooo ,kushindwa kuendelelea baada ya kupizi, na pia sometimes uume kulala wakati wa kuandaana tu. Naomba pia kama kuna namna ya kuimarisha uume naomba kujuzwa wakuu.
Inawezekana kuna wale waliowahi kupona kwa kufanya mambo mbalimbali, Jama Jama naomba basi mnishirikishe njia mlizotumia na mimi nifurahie tendo kama nyie jama.
Yafuatayo ni hiari yako kusoma/kuburudika/ kusikitika nami...
Acha niweke visa kadhaa vya aibu vilivyonipata kwa baadhi ya madem.
1. Huyu ni manzi portable mwenye kaumbo kake kazuri tu, nilimtaman mno. Basi bna siku ikaandaliwa akaja geto.... Kilichofuata ni aibu aibu aibu. Mtoto nmemuandaa fresh kabisa kalegea so poa bna bna mjegeje ukaniumbua haukusimama!!!. Yaani katikat ya maandalizi ngoma ndiiii ikalala mazima.
Daah nlisikitika na kupanick sana sana nikaishia tu kumchezea . Huyu aliniacha kwa hii sababu japo alinipenda sana na mimi bahati mbaya sikuwahi kumwambia ukweli kua nna tatizo akasepa akijua mi sina hisia nae/namuona mbaya/ nna madem wengi hivo sioni uzuri wake/ sivutiwi nae na sababu kama hizo.
2. Hiki kisa ni cha majuzi tu, huyu manzi yeye ni wa mtaa wa pili tu hapo. Nilimtongoza (sijisifu ila kipaji cha kutongoza ninacho aisee sio rahisi manzi kuchomoa), basi siku ya siku akanitunuku mbususu, daah aibu ikanikumba tena ila hii nilipiga km kuku chaaaap wazungu haooo. Kwasababu nilimuandaa mno nadhan aliridhika kwa hicho hicho cha kuku.
3. Huyu ndo hadi aliacha kunitafuta kabisa, huyu nae alitimba geto maandalizi finyu na kama kawaida chaap wazungu hao, kiukweli huyu hata mi niliona kabisa hajaridhika zaidi zaidi nimemuongezea genye tu.
4. Aisee hii pia ni aibu ya karne, sio aibu tu bali ni aibu iliyoandamana na hasara kubwa. Huyu bidada hakutaka kuonekana kitaa kua anakuja geto so ikabidi tuende mbali kidogo, huko nikaingiwa na hasara ya chakula na vinywaji+ pesa ya gesti.
Usiombe yakukute mwanaume, ile siku jololoo haikusimama ndgu msomaji, iligoma katakata , sasa unadhani nikafanyaje basi ikabidi mtoto nimrudishe kwao bila kupata kilichoniingiza gharama ivo.
Note: Usidhani eti Mmanyanigho ni kitombi sana, sasa ukitombi nautolea wapi na hali yangu ndgu zangu. Ni vile tu najaribu labda huyu ntadumu ama huyu itakua tofauti ila ndo ivo kote bilabila. Kuna kipindi mpaka nikataka nivute jani kwa kusikia eti litanipa stamina ya hatari, ila nashkuru Mungu sikuingia huko.
Sasa hivi nimeona tu hali yangu ndio hii, nimeanza mazoezi ya kegel taratibu taratibu labda ntapata matokeo chanya.