Erick msangi
Member
- Oct 2, 2011
- 9
- 1
Poa mdau ngoja nijaribu nitakupa majibu
ndugu wa JF huwa nasumbuliwa na mapele baada ya kunyoa ndevu maana nina ndevu mpaka kwenye shingo, sasa kama kuna njia au dawa inayoweza kunisaidia naombeni msaada wenu.
N.B kama mada ilishajadiliwa sio mbaya mkinisaidia na mimi, nawasilisha
pole mkuu mimi mwenyewe ilishawahi kunitokea nakumbuka nilizunguka kwenye maduka makubwa hapa Dar na mahospital makubwa Regency,AAR na Hospital ya wachina Sinza bila mafanikio nilienda kuponea sehemu moja Iringa kuna saloon ya kiume wana dawa wanaitengeneza wenyewe wanaiita Dudu Killer inamaliza matatizo yote nilinunua vichupa vinne kila kichupa ilikuwa 5000. huwezi amini nilitumia week mbili mapele yote yalikauka. unanyoa ndevu zote Saloon unajioya vizuri halafu unachukua pamba unajichua kidogo tu japo ina maumivu makali lakini ni kiboko ngoja nicheki na huyo kinyozi kama bado anazo halafu nitakujulisha na anaweza kukutumia kwenye basi na wewe unamtumia pesa yake kwa tigo pesa tu... bahati mbaya zangu zote nilizigawa kwa watu na wao wote wamepona fresh kabisa
Mr Nokla pole sana kwa tatizo lako. Hakuna mtu anayependa mapele ila tu huwa watu wanakuwa hawafahamu njia sahihi za kuepukana nayo. Usipende kutumia Spirit na Aftershave unazoziona kwenye saloon. Tumia GENTLEMAN'S PRIDE. Ina Alovera iliyo nzuri kupakwa baada ya kunyoa. Ni aftershave ambayo haina alcohol. Ni nzuri sana kupaka kwenye ngozi ya aina yoyote ile baada ya kunyoa. Huondoa athari zote mbaya zitokanazo na kunyoa ndevu na wembe kwenye uso, shingo na sehemu nyingine za mwili. Tuwasiliane kwa email: healthwealthfirst@gamil.com pia weweza kunipigia kwa namba 0713889162
pole mkuu mimi mwenyewe ilishawahi kunitokea nakumbuka nilizunguka kwenye maduka makubwa hapa Dar na mahospital makubwa Regency,AAR na Hospital ya wachina Sinza bila mafanikio nilienda kuponea sehemu moja Iringa kuna saloon ya kiume wana dawa wanaitengeneza wenyewe wanaiita Dudu Killer inamaliza matatizo yote nilinunua vichupa vinne kila kichupa ilikuwa 5000. huwezi amini nilitumia week mbili mapele yote yalikauka. unanyoa ndevu zote Saloon unajioya vizuri halafu unachukua pamba unajichua kidogo tu japo ina maumivu makali lakini ni kiboko ngoja nicheki na huyo kinyozi kama bado anazo halafu nitakujulisha na anaweza kukutumia kwenye basi na wewe unamtumia pesa yake kwa tigo pesa tu... bahati mbaya zangu zote nilizigawa kwa watu na wao wote wamepona fresh kabisa
Ukinyoa na chochote either wembe au machine, ukimaliza nenda nawa na sabuni pia jisugue vizuri na either dodoki au kitambaa then pakaa anti fungi cleam yoyot.