MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,484
- 20,437
Wakati mwanasiasa Lucas Mwashamba akiridhika na hali ya upatikanaji wa umeme kwa sababu kazi yake ya uagent wa costa hauhitaji umeme kijana mdogo Sam Junior anapoteza 170000 kila siku kutokana na kukatika umeme.
Kijana huyu anamwaga kuku 20 kila siku.
TRA wamemwambia kodi yao waikute mezani.
Kijana huyu anamwaga kuku 20 kila siku.
TRA wamemwambia kodi yao waikute mezani.