samalanga
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 336
- 244
Tunamshukuru Sasa hivi Tanzania porn wamefungaUna tatizo lililotokana na kuathirika kwa kupiga punyeto ambapo umefikia ile ahatua iitwayo "Addiction/Uraibu"
Ushauri wangu waone wataalamu wakusaidie haraka iwezekanavyo.
Dawa ya punyeto ni kufunga na kuomba sana maana kuna mapepo yaliyojikita hiyo sehemu kupitia hii mitandao ya kijamii kama porn stars, pornography.
Ukiaweza kuanza, pia unaweza kumaliza, yani kila chenye mwqnzo, basi lazima kiwe na mwisho.