Nasumbuliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa haraka sana pamoja na uume kuwa mlegevu.
Baada kuhangika sana madawa ya kila aina nikaamua kujaribu hii dawa wanaiita vumbi la congo, Kwa kweli haikuleta majibu mazuri. Ila nimeweza kupata matokea haya matatu kwa mida tofauti.
Mda mwengine nawahi kukojoa hata kama nimepaka
Mda mwengine nikishapaka uume unapoteza nguvu kabisa na kulala
Lakini mda mwengine hua unasimama ila unakua na maumivu sana, Nikiingiza ndani ya uke napata maumivu, na hata akiushika kwa mkono nahisi maumivi pia
Sasa hili la maumivu naomba kujua sababu hasa ni nini kwa wenye uzoefu naomba mawazo yenu wakuu.
Baada kuhangika sana madawa ya kila aina nikaamua kujaribu hii dawa wanaiita vumbi la congo, Kwa kweli haikuleta majibu mazuri. Ila nimeweza kupata matokea haya matatu kwa mida tofauti.
Mda mwengine nawahi kukojoa hata kama nimepaka
Mda mwengine nikishapaka uume unapoteza nguvu kabisa na kulala
Lakini mda mwengine hua unasimama ila unakua na maumivu sana, Nikiingiza ndani ya uke napata maumivu, na hata akiushika kwa mkono nahisi maumivi pia
Sasa hili la maumivu naomba kujua sababu hasa ni nini kwa wenye uzoefu naomba mawazo yenu wakuu.