Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,100
- 313
Tatizo la maji mjini Arusha sasa limekuwa sugu. Inakuwaje maji yanakatwa kwa zaidi ya siku tatu bila accountability yoyote? Shida hasa ni nini?
Kumekuwa na mvua za kutosha Arusha na mikoa yote kwa ujumla kwa hiyo suala la upungufu wa maji isiwe kisingizio.
Kwa kweli hii hali haikubaliki hata kidogo. Ingekuwa ni siku moja ingeeleweka japo nayo sio sahihi.
Tunahitaji majibu sahihi kutoka kwa wahusika ikiambatana na usitishaji wa hii karaha.
Kumekuwa na mvua za kutosha Arusha na mikoa yote kwa ujumla kwa hiyo suala la upungufu wa maji isiwe kisingizio.
Kwa kweli hii hali haikubaliki hata kidogo. Ingekuwa ni siku moja ingeeleweka japo nayo sio sahihi.
Tunahitaji majibu sahihi kutoka kwa wahusika ikiambatana na usitishaji wa hii karaha.