RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Mdau ameeleza kwamba licha ya mamlaka husika kutoa tangazo kuwa kuna hitilafu ya miundo mbinu nakutoa ratiba ya maji kutoka imekuwa kiini macho NI kivuli cha ratiba kuwa yanatoka huku hamna watu wengi wamelalamikia mamlaka hiyo lakini imeziba masikio hakuna kinachofangika watu wanaoga maji ya kwenye madimbwi hata madimbwi hayo inaelezwa kwamba yamekauka,
Mamlaka husika zinazotoa huduma hiyo swala Hili lilifanyie kazi kwa haraka na kutoa taarifa za kweli kwa umma.
Mamlaka husika zinazotoa huduma hiyo swala Hili lilifanyie kazi kwa haraka na kutoa taarifa za kweli kwa umma.