ldd
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 790
- 128
Aslalekum,
Naleta mada hii ya shida ya maji hapa Bomang'ombe na viunga vyake. Anayesimamia huu mradi (Engineer Shoo) ndio tatizo sijui kwanini hajiongezi.
Kwa mkoa wa Kilimanjaro kukosa maji miezi mitatu au miwili mfulilizo hii ni kudhibitisha kwamba huyu ndugu yetu Shoo huu mradi umemshinda na nivema Trustees or Serekali mkatafuta namna yakuuendesha huu mradi, huyu Bwana sidhani kama hata anaelewa wilaya ya siha (Kwa wasomali) hakuna shida ya maji ambayo katutengenezea watu wa Boma.
Huyu ni jipu tumbueni mapema au huu mradi uchukuliwe na Muwasa!
Thanks
Mkerekaji
Naleta mada hii ya shida ya maji hapa Bomang'ombe na viunga vyake. Anayesimamia huu mradi (Engineer Shoo) ndio tatizo sijui kwanini hajiongezi.
Kwa mkoa wa Kilimanjaro kukosa maji miezi mitatu au miwili mfulilizo hii ni kudhibitisha kwamba huyu ndugu yetu Shoo huu mradi umemshinda na nivema Trustees or Serekali mkatafuta namna yakuuendesha huu mradi, huyu Bwana sidhani kama hata anaelewa wilaya ya siha (Kwa wasomali) hakuna shida ya maji ambayo katutengenezea watu wa Boma.
Huyu ni jipu tumbueni mapema au huu mradi uchukuliwe na Muwasa!
Thanks
Mkerekaji