Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Nijuavyo mimi ukiona mpaka mtu ameleta hapa tatizo lake ukae ukijuwa amehakwenda Hospitali kujaribu kultatuwa sasa imeshindikana huko hospitali ndio maana ameleta hapa. Kuna Maradhi ambaya hayawezi kutibika Mahospitalini na yanaweza kutibika kwa tiba mbadala mkuu tpaul hata huko Hospitali kuu ya Muhimbili kuna kitengo cha Dawa Mbadala nenda mwenyewe utajionea.
Maneno yako sahihi mkuu anaebisha mwache abishe lakini ukweli ndo huo na utabaki kua hvyo tu
Shaitwani ana nafasi kubwa ya kumtia maradhi binaadamu hata vitabu vyote vinatuambia.
 
Last edited by a moderator:
ndo ujinga gani huu sasa
Hapana sio ujinga hapa tupo kwaajili ya kuelekezana na kupeana faida kama mtu hatumii lugha nzuri ya stara ni haki yetu kumuelewesha mkuu. Nadhani ungesoma last coment tena kwa umakini nahisi ungefahamu nimekusudia nini.
 
Nijuavyo mimi ukiona mpaka mtu ameleta hapa tatizo lake ukae ukijuwa amehakwenda Hospitali kujaribu kultatuwa sasa imeshindikana huko hospitali ndio maana ameleta hapa. Kuna Maradhi ambaya hayawezi kutibika Mahospitalini na yanaweza kutibika kwa tiba mbadala mkuu tpaul hata huko Hospitali kuu ya Muhimbili kuna kitengo cha Dawa Mbadala nenda mwenyewe utajionea.

Pamoja sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Pamoja sana mkuu.
Tatizo nimesha wasaidia sana bure wakisha pona huwa hawaleti Feedback wasipopona ndio wanakuja juu kuweka Thread ya kunilaumu mimi kana kwamba mimi ndie niliye wapa huo ugonjwa. Sasa nimeamuwa mtu akiwa na Tatizo anitafute kwa pembeni tukisha elewana ndio nitampa dawa yangu tpaul
 
Last edited by a moderator:
mara nyingi matatizo haya husabishwa na sheitwan

Sheitwani huyo humpa mtu usingizi mzito na kusababisha baadhi ya mishipa ya fahamu (nervs) kushindwa kudhibitiwa na ubongo wa kati (sereblum) hupelekea baadhi ya valvu aina ya (sphincter) kuruhusu kupitisha kitu pasipo idhini ya mawimbi ya fahamu ya ubongo kupitia nervs (brain waves)
Kuna aina flani ya valvu ndogo (uretisphicter) iliyopo kwa ndani ya tezi (prostate) ambayo yenye kushuilikia mrija wa mkojo (urethra) nayo hiyo uretisphicter ina muscles controler ambazo ndani yake zimesheheni nervs.
Nervs hizo zinapopoteza mawimbi ya ubongo (brain waves) hupelekea zile muscles kupoteza udhibiti wake (controlizer) na kuruhusu mkojo utoke.
Kwahivyo sheitwani huenda kujikita katika tabaka hilo la ubongo na kupoteza udhibiti wa muscos sphincte.

Tuna safari ndefu sana kupata maendeleo kama mitizamo ya wananzengo ndio hii.
 
ndo ujinga gani huu sasa
Umemuelewa vibaya yeye alikuwa anasahihisha tu. nakushauri nunua simu yenye alarm 20,000 tu. mtegee muda awe anaamka usiku kaMa mara mbili hivi. baada ya miezi kadhaa kama minne au mitano usimuwekee alarm na uangalie matokeo.
 
Umemuelewa vibaya yeye alikuwa anasahihisha tu. nakushauri nunua simu yenye alarm 20,000 tu. mtegee muda awe anaamka usiku kaMa mara mbili hivi. baada ya miezi kadhaa kama minne au mitano usimuwekee alarm na uangalie matokeo.

Asante mkuu
 
Ikishindikana kuna dawa ya kutibu depression/sonona inaitwa amitriptyline. Ikitumika kwa dozi ndogo husaidia hii shida.
 
Achemshe ndevu za mahindi anywe maji yake ni tiba tosha, tafuta kitabu cha turejee edeni utaelewa mengi.

anywe kwa muda wa siuku saba asubuhi na jioni glasi moja anaweza kuendelea ,pia awe ana mpaka mafuta ya zaituni wakati wa kulala.Na awe msafi kuoga kabla ya kulala sio analala na mavumbi ya kutwa nzima.kwa uwezo wa mungu atapona
 
Also mnaweza jaribu kumsikiliza sheikh Mustapher Songoro through Youtube na topic kuhusu vitimbi vya majini kuna mifano mingi sana kaelezea kuhusu hilo suala na jinsi linavyo affects jamii nzima.Hi topic ni very serious sana na inagusa wengi ktk jamii zetu.M/Mpamba.
 
na umri gani?

Home remedy:

Aache kunywa vimiminika mida ya jioni meaning akomee kunywa saa 12 na alale saa 4 baada ya kukojoa. Tafiti zaonyesha kwamba wengi hukojoa vitandani kuanzia saa 7-9 so ukiweza kumfanyia timing ukamuamsha midsa hiyo utatatua tatizo kwa asilimia 98.
 
Kama ni mtoto kuwa na kawaida ya kumuasha akojoe mara kadhaa nyakati za usiku itasaidia.
 
Usinywe vimiminika (maji, uji, soda, togwa, supu n.k) baada ya jua kuzama, lala baada ya saa 5 usiku, set alarm ikuamshe saa 7 na 9 usiku ili ukajisaidie. Ndio mwisho wa kuitwa KIKOJOZI mkuu.
 
Habari za majukumu,

Mimi naomba kuleta kwenu tatizo linalomsumbua mdogo wangu mwenye umri wa miaka 27 sasa.

Anasumbuliwa na tatizo la kujikojolea ila sio mara kwa mara but tukio moja baada ya mwez au miezi kadhaa na hua inamtokea akiwa kalala usiku na pengine mchana ila sana ni usiku.

Nini tiba yake au ni dawa ipi ni sahihi kwa matumizi?

Je, dawa aina ya amitiptrin ndo tiba ake? Mana kuna mtu alimwambia aitumie.
 
Mdogo wangu pia alikuwa ivyo ila nikaambiwa awe anakunywa maji ya mchele. Ukoshe mchele wako vizuri then acha ulowe vizuri halafu yale maji mpe anywe itamsaidia.
 
Back
Top Bottom