Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Kama hana tatizo kwenye bladder, sphincter muscles au mfumo mzima wa kutoa mkojo basi litakuwa either tatizo la kisaikolojia tu au la kiroho na yanatibika.

Nina shuhuda za watu wengi waliachia kukojoa ukubwani baada ya kupata ushauri wa kisaikoloja. Na walitumia haya madawa ya kienyeji bila mafanikio.

Kama ni mtu wa Imani, nakushauri pia uende kanisani kwa maombi kwa sababu linaweza kusababishwa na hawa spiritual husbands & wives. (nina ushuhuda mwingi pia kuhusu hili na wengi walipona).
 
Zipo dawa za miti shamba, kwani nakumbuka wakati nikiwa nasoma kwa wanachemba skwadi pale Dom kuna dogo alikua anatililisha mikojo kinomanoma ila baada ya kukutana nae baada ya miaka 5 alikua amepona na anadai alitumia mitishamba.
 
(Dawa ya Mtoto wako anakojowa kitandani si umkamate umpeleke Polisi tu nakutania ) Dawa ya Mtoto kukojowa Kitandani Fanya hivi Mkuu Polisi

Pata Kwato la N'gombe tiya ndani yake kaa la Moto kisha huyo Mtoto wako alinuse hilo kwato lililo na Moto kisha Avue nguo awe uchi apande juu ya Mti kisha huko juu ya Mti akojee Mkojo na akisha maliza kukojowa ashuke avae nguo zake Afanye hiyo Dawa kwa muda wa siku 7 atapona inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu . Fanya hivyo Mkuu Polisi kisha utanijibu baada ya Siku 7 Hakuna Dawa ya Kutibu mtoto anaye kojowa Kitandani Mahospitalini. Usikose kunipa (Thanks) Bonyeza pembeni hapo asante Phd. MziziMkavu.
Hahaha sasa yeye si amesema ni mtu mzima kheee akikutwa uchi juu ya mti ni kesi nyingine hee hatari saaana
 
(Dawa ya Mtoto wako anakojowa kitandani si umkamate umpeleke Polisi tu nakutania ) Dawa ya Mtoto kukojowa Kitandani Fanya hivi Mkuu Polisi

Pata Kwato la N'gombe tiya ndani yake kaa la Moto kisha huyo Mtoto wako alinuse hilo kwato lililo na Moto kisha Avue nguo awe uchi apande juu ya Mti kisha huko juu ya Mti akojee Mkojo na akisha maliza kukojowa ashuke avae nguo zake Afanye hiyo Dawa kwa muda wa siku 7 atapona inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu . Fanya hivyo Mkuu Polisi kisha utanijibu baada ya Siku 7 Hakuna Dawa ya Kutibu mtoto anaye kojowa Kitandani Mahospitalini. Usikose kunipa (Thanks) Bonyeza pembeni hapo asante Phd. MziziMkavu.


Mateso yote ya nn na YESU anaponya
 
Mhhhh!! Mpe Pole Saana!! KUNA Mzee Alikuwa Anajua Hizo Dawa!! SIJUI Kama Bado Yuko Hai, Alimsaidia Binti Ya Brother!!! KAMA Vp Nitaulizia Na Nitakujuza Kule PM!!!! NI Aibu Saana!!
 
Mdogo wangu ana hili tatizo la kukojoa kitandani na sasa yupo form 1. Kutokana na tatizo hili, sasa hadi wanataka kumrudisha nyumbani.

Naomba msaada wenu wakuu.
 
Washa moto wa mkaa au kuni ukolee vizuri,akojolee moto huo uzimike huku akinuia kuacha kukojoa.

Anywe maji ya kuoshea mchele,chemsha ndevu za mahindi anywe hayo maji.

Apunguze kunywa maji mida ya jioni wakati akikaribia kulala. Ajizoeshe kuamka usiku hata kwa alarm hii itamsaidia kuset mind yake na ataanza kuamka mwenyewe na kwenda kukojoa
 
Back
Top Bottom