kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 5,993
- 9,086
Upo mkoa gani
Mkuu kama wale wa kijijini wana round bush kukamilisha haja itakueaje.Mwambie awe makini, akaona choo kwenye ndoto asikitumie kwzni huo utakuwa mtego!
Hahaha sasa yeye si amesema ni mtu mzima kheee akikutwa uchi juu ya mti ni kesi nyingine hee hatari saaana(Dawa ya Mtoto wako anakojowa kitandani si umkamate umpeleke Polisi tu nakutania ) Dawa ya Mtoto kukojowa Kitandani Fanya hivi Mkuu Polisi
Pata Kwato la N'gombe tiya ndani yake kaa la Moto kisha huyo Mtoto wako alinuse hilo kwato lililo na Moto kisha Avue nguo awe uchi apande juu ya Mti kisha huko juu ya Mti akojee Mkojo na akisha maliza kukojowa ashuke avae nguo zake Afanye hiyo Dawa kwa muda wa siku 7 atapona inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu . Fanya hivyo Mkuu Polisi kisha utanijibu baada ya Siku 7 Hakuna Dawa ya Kutibu mtoto anaye kojowa Kitandani Mahospitalini. Usikose kunipa (Thanks) Bonyeza pembeni hapo asante Phd. MziziMkavu.
Mkuu Muhat Nimeshapata dawa ya Mtu kwa anayetaka Dawa mttoto kukojoa kitandani au mtu mzima anaweza kunitafuta.hahaha sasa yeye si amesema ni mtu mzima kheee akikutwa uchi juu ya mti ni kesi nyingine hee hatari saaana
(Dawa ya Mtoto wako anakojowa kitandani si umkamate umpeleke Polisi tu nakutania ) Dawa ya Mtoto kukojowa Kitandani Fanya hivi Mkuu Polisi
Pata Kwato la N'gombe tiya ndani yake kaa la Moto kisha huyo Mtoto wako alinuse hilo kwato lililo na Moto kisha Avue nguo awe uchi apande juu ya Mti kisha huko juu ya Mti akojee Mkojo na akisha maliza kukojowa ashuke avae nguo zake Afanye hiyo Dawa kwa muda wa siku 7 atapona inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu . Fanya hivyo Mkuu Polisi kisha utanijibu baada ya Siku 7 Hakuna Dawa ya Kutibu mtoto anaye kojowa Kitandani Mahospitalini. Usikose kunipa (Thanks) Bonyeza pembeni hapo asante Phd. MziziMkavu.
Unataka dawa ya kukojoa kitandani ili uwe unakojoa kitandani?Mdogo angu ana hili tatizo yuko form 1 sasa hadi wanataka kumrudisha nyumbani naomba msaada wenu wakuu