Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,554
Kwa umeme huu, hao CCM wanaosema watajenga viwanda labda ivo viwAnda viwe vinatumia power bank!!
Mkuu umefikiri sana na umenena
Kwa umeme huu, hao CCM wanaosema watajenga viwanda labda ivo viwAnda viwe vinatumia power bank!!
UKAWA mtawapata wapumbavu na malofa wenzenu. Wenye akili wanajua nini kinaendelea
UKAWA mtawapata wapumbavu na malofa wenzenu. Wenye akili wanajua nini kinaendelea
Kila kitu kimeharibika kwa kukosa umeme. siku zisogee tu haraka tumuingize Rais wetu Lowassa Madarakani
UKAWA mtawapata wapumbavu na malofa wenzenu. Wenye akili wanajua nini kinaendelea
Kwa hali ilivyo ni aibu kubwa kwa ccm, haiwezekani kuanzia mwezi wa sita nchi iko kwenye mgao wa umeme wakutisha alafu bado waziri na viongozi wa tanesko kwao ni business as ussual.
Umeme umeathiri uchumi kwa taifa hili kwa kiwango kikubwa sana kuna viwanda vimepunguza wafanyakazi mpaka hivi sasa, na ajira za watu zimepotea kwa uzembe huu.
CCM msahau kupata kura za watanzania, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa rais Kikwete kwa kufanikisha zoezi hili kwa jitihada zake kubwa alizotumia kuhakikisha taifa halina umeme na kushindwa kuwachukulia hatua za haraka wahusika huku viwanda vikiendelea kupunguza wafanyakazi na hizi ndio zile dalili ambazo Mungu anatukumbusha watanzania ili tujuwe CCM hawafadhiliki kura tulizowapa na bado wanaendelea kutudanganya ebu fikirini.
Umeme wakuwasha matumizi tu yakawaida haupo huo anaoongelea Magufuli wa viwanda utatoka wapi?
CCM mmelikoroga na sasa October 25/2015 lazima mtalinywa.
Asanteni
Kwahili suala la umeme kwa UKAWA ni kete ya dhahabu!
Hakuna sehemu ambayo hakuna malalamiko ya umeme.
Hata kama ipo/zipo basi haifiki hata 10% dhidi yetu sisi tunaotaabika na janga la mgao wa umeme.
#October25Tutawaadhibu
Lowasa alijiondokea miaka 8 iliyopita akawaacha na li Richmond lao, wakalibadili jina wakaliita dowans wakalisifiaaa wakaendelea kupiga dili, wakalibadilisha jina tena wakaliita symbion wakamleta na raisi wa marekani awasaidie kulisifia , wanaendelea kupiga dili . Mitambo mibovu chakavu ya Richmond ipo pale ubungo sasa inaitwa mitambo ya symbion.Lowasa ndiye alisababisha tatizo la umeme tz na richmond yake hafai ata kidogo...