profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,134
Kuna jamaa yangu ana IST, cc1490, 1NZ engine, akiiacha gari inaunguruma na silence ya kawaida,ghafla unashangaa imejiongeza lesi na kuwa juu, halafu baada ya dakika 4, inashuka kuwa normal, shida nini wakuu?
Msaada tafadhali.
Msaada tafadhali.