Tathmini na tafsiri ya uteuzi wa Baraza la mawaziri

Tathmini na tafsiri ya uteuzi wa Baraza la mawaziri

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
1. Waziri mkuu
Mwigulu Nchemba

Huyu amewekwa kufanya propaganda za utamaduni wa Magufuli ili wananchi wawe na Imani na Serikali
Hapa tutarajie ziara za kushitukiza na tumbua tumbua nyingi

2 Wizara ya Afya

Mchengerwa
Huyo kifua kipana ameweka hapo ili kuthibiti habari za vifo na maiti za waandamanaji tu, zisisambae mtandaoni,
Ila baadaye atarudishwa TAMISEMI au wizara ya Ulinzi

3 Wizara ya Fedha
Khamis Omary

Huyu ni Mzanzibar yupo hapo kimkakati, hapa pesa za Watanganyika zitahamia kujenga na kukuza Zanzibar
Tutarajie fedha kuchotwa na mafisadi

4 Wizara wa mambo ya ndani
George Simbachawene

Huyu ni kachero mzoefu kuliko Bashungwa aliyekuwepo, nadhani wanamtandao Kuna kitu wamekiona kwenye wizara hii hakiko sawa.
Hasa utekaji na mauaji vinavyoacha alama kuwa wametenda police

5. Wizara ya mawasiliano
Angela Kairuki

Huyu dada Yuko smart sana kichwani.
Nadhani amewekwa hapo ili TCRA iwe ovyo na kuleta sheria za kudukua mawasiliano

6. Wizara ya habari sanaa na michezo

Kabudi
Mwana FA
Bashite

Hapa Kabudi hatakaa hapo hata miezi 6,
Bashite Yuko sub ili kudhibiti vyombo vya habari hasa online media pia kuleta propaganda za Simba na Yanga ili kuwapumbaza Gen z

7 Wizara ya utumishi wa umma
Ridhiwani Kikwete

Hii wizara imejimbia kwenye wizara zote
Hapa Rizimoko kateuliwa kama Naibu waziri mkuu tu
Atakuwa anahakikisha wanamtandao wanapata amani ya kutosha ya kula keki ya taifa bila kelele

8. Wizara ya Mambo ya nje
Balozi Kombo

Hapa amekaa Mzanzibar kimkakati tu
Yaani Kizimkazi hamwamini yeyote zaidi ya home boy ili akamsifie huko kimataifa

9 Wizara ya Elimu

Prof Mkenda
Wanu

Hii wizara haipo kimkakati, ni kati ya wizara nyepesi mno

Hapo Wanu binti Samia ambaye Nina wasiwasi na elimu yake, Kawekwa ili kuzua mjadala Mitandao na atahamishiwa wizara ya Ulinzi au wizara ya fedha siku za usoni

10. Wizara ya Ulinzi
Nyashaho

Huyu bwana simfahamu vyema.
Nikipata taarifa sahihi kama katokea Zanzibar ndo nitatia neno
Ila kimsingi simjui hata kidogo na sijui Coach anataka kumtumia vipi
 
1. Waziri mkuu
Mwigulu Nchemba

Huyu amewekwa kufanya propaganda za utamaduni wa Magufuli ili wananchi wawe na Imani na Serikali
Hapa tutarajie ziara za kushitukiza na tumbua tumbua nyingi

2 Wizara ya Afya

Mchengerwa
Huyo kifua kipana ameweka hapo ili kuthibiti habari za vifo na maiti za waandamanaji tu, zisisambae mtandaoni,
Ila baadaye atarudishwa TAMISEMI au wizara ya Ulinzi

3 Wizara ya Fedha
Khamis Omary

Huyu ni Mzanzibar yupo hapo kimkakati, hapa pesa za Watanganyika zitahamia kujenga na kukuza Zanzibar
Tutarajie fedha kuchotwa na mafisadi

4 Wizara wa mambo ya ndani
George Simbachawene

Huyu ni kachero mzoefu kuliko Bashungwa aliyekuwepo, nadhani wanamtandao Kuna kitu wamekiona kwenye wizara hii hakiko sawa.
Hasa utekaji na mauaji vinavyoacha alama kuwa wametenda police

5. Wizara ya mawasiliano
Angela Kairuki

Huyu dada Yuko smart sana kichwani.
Nadhani amewekwa hapo ili TCRA iwe ovyo na kuleta sheria za kudukua mawasiliano

6. Wizara ya habari sanaa na michezo

Kabudi
Mwana FA
Bashite

Hapa Kabudi hatakaa hapo hata miezi 6,
Bashite Yuko sub ili kudhibiti vyombo vya habari hasa online media pia kuleta propaganda za Simba na Yanga ili kuwapumbaza Gen z

7 Wizara ya utumishi wa umma
Ridhiwani Kikwete

Hii wizara imejimbia kwenye wizara zote
Hapa Rizimoko kateuliwa kama Naibu waziri mkuu tu
Atakuwa anahakikisha wanamtandao wanapata amani ya kutosha ya kula keki ya taifa bila kelele

8. Wizara ya Mambo ya nje
Balozi Kombo

Hapa amekaa Mzanzibar kimkakati tu
Yaani Kizimkazi hamwamini yeyote zaidi ya home boy ili akamsifie huko kimataifa

9 Wizara ya Elimu

Prof Mkenda
Wanu

Hii wizara haipo kimkakati, ni kati ya wizara nyepesi mno

Hapo Wanu binti Samia ambaye Nina wasiwasi na elimu yake, Kawekwa ili kuzua mjadala Mitandao na atahamishiwa wizara ya Ulinzi au wizara ya fedha siku za usoni

10. Wizara ya Ulinzi
Nyashaho

Huyu bwana simfahamu vyema.
Nikipata taarifa sahihi kama katokea Zanzibar ndo nitatia neno
Ila kimsingi simjui hata kidogo na sijui Coach anataka kumtumia vipi
Hivi waislamu na wakristo ratio ikoje
 
Nyansaho ni mkurya toka serengeti, ni mtumishi safi kabisa. Cv yake haina utata.
Huyu ndye alitakiwa kuwa mbunge wa kuchaguliwa toka serengeti
 
1. Waziri mkuu
Mwigulu Nchemba

Huyu amewekwa kufanya propaganda za utamaduni wa Magufuli ili wananchi wawe na Imani na Serikali
Hapa tutarajie ziara za kushitukiza na tumbua tumbua nyingi

2 Wizara ya Afya

Mchengerwa
Huyo kifua kipana ameweka hapo ili kuthibiti habari za vifo na maiti za waandamanaji tu, zisisambae mtandaoni,
Ila baadaye atarudishwa TAMISEMI au wizara ya Ulinzi

3 Wizara ya Fedha
Khamis Omary

Huyu ni Mzanzibar yupo hapo kimkakati, hapa pesa za Watanganyika zitahamia kujenga na kukuza Zanzibar
Tutarajie fedha kuchotwa na mafisadi

4 Wizara wa mambo ya ndani
George Simbachawene

Huyu ni kachero mzoefu kuliko Bashungwa aliyekuwepo, nadhani wanamtandao Kuna kitu wamekiona kwenye wizara hii hakiko sawa.
Hasa utekaji na mauaji vinavyoacha alama kuwa wametenda police

5. Wizara ya mawasiliano
Angela Kairuki

Huyu dada Yuko smart sana kichwani.
Nadhani amewekwa hapo ili TCRA iwe ovyo na kuleta sheria za kudukua mawasiliano

6. Wizara ya habari sanaa na michezo

Kabudi
Mwana FA
Bashite

Hapa Kabudi hatakaa hapo hata miezi 6,
Bashite Yuko sub ili kudhibiti vyombo vya habari hasa online media pia kuleta propaganda za Simba na Yanga ili kuwapumbaza Gen z

7 Wizara ya utumishi wa umma
Ridhiwani Kikwete

Hii wizara imejimbia kwenye wizara zote
Hapa Rizimoko kateuliwa kama Naibu waziri mkuu tu
Atakuwa anahakikisha wanamtandao wanapata amani ya kutosha ya kula keki ya taifa bila kelele

8. Wizara ya Mambo ya nje
Balozi Kombo

Hapa amekaa Mzanzibar kimkakati tu
Yaani Kizimkazi hamwamini yeyote zaidi ya home boy ili akamsifie huko kimataifa

9 Wizara ya Elimu

Prof Mkenda
Wanu

Hii wizara haipo kimkakati, ni kati ya wizara nyepesi mno

Hapo Wanu binti Samia ambaye Nina wasiwasi na elimu yake, Kawekwa ili kuzua mjadala Mitandao na atahamishiwa wizara ya Ulinzi au wizara ya fedha siku za usoni

10. Wizara ya Ulinzi
Nyashaho

Huyu bwana simfahamu vyema.
Nikipata taarifa sahihi kama katokea Zanzibar ndo nitatia neno
Ila kimsingi simjui hata kidogo na sijui Coach anataka kumtumia vipi
Mkuu umesema sahihi kabisa haswa hapo kwa Ridhwan hiyo wizara ndio Ulinzi wa serikali ilivyo madarakani ulipo, haswa ile idara Yao.
Kama Hali itaendelea hivi hivi Ridhwan ni Rais ajae ipo wazi kabisa
 
1. Waziri mkuu
Mwigulu Nchemba

Huyu amewekwa kufanya propaganda za utamaduni wa Magufuli ili wananchi wawe na Imani na Serikali
Hapa tutarajie ziara za kushitukiza na tumbua tumbua nyingi

2 Wizara ya Afya

Mchengerwa
Huyo kifua kipana ameweka hapo ili kuthibiti habari za vifo na maiti za waandamanaji tu, zisisambae mtandaoni,
Ila baadaye atarudishwa TAMISEMI au wizara ya Ulinzi

3 Wizara ya Fedha
Khamis Omary

Huyu ni Mzanzibar yupo hapo kimkakati, hapa pesa za Watanganyika zitahamia kujenga na kukuza Zanzibar
Tutarajie fedha kuchotwa na mafisadi

4 Wizara wa mambo ya ndani
George Simbachawene

Huyu ni kachero mzoefu kuliko Bashungwa aliyekuwepo, nadhani wanamtandao Kuna kitu wamekiona kwenye wizara hii hakiko sawa.
Hasa utekaji na mauaji vinavyoacha alama kuwa wametenda police

5. Wizara ya mawasiliano
Angela Kairuki

Huyu dada Yuko smart sana kichwani.
Nadhani amewekwa hapo ili TCRA iwe ovyo na kuleta sheria za kudukua mawasiliano

6. Wizara ya habari sanaa na michezo

Kabudi
Mwana FA
Bashite

Hapa Kabudi hatakaa hapo hata miezi 6,
Bashite Yuko sub ili kudhibiti vyombo vya habari hasa online media pia kuleta propaganda za Simba na Yanga ili kuwapumbaza Gen z

7 Wizara ya utumishi wa umma
Ridhiwani Kikwete

Hii wizara imejimbia kwenye wizara zote
Hapa Rizimoko kateuliwa kama Naibu waziri mkuu tu
Atakuwa anahakikisha wanamtandao wanapata amani ya kutosha ya kula keki ya taifa bila kelele

8. Wizara ya Mambo ya nje
Balozi Kombo

Hapa amekaa Mzanzibar kimkakati tu
Yaani Kizimkazi hamwamini yeyote zaidi ya home boy ili akamsifie huko kimataifa

9 Wizara ya Elimu

Prof Mkenda
Wanu

Hii wizara haipo kimkakati, ni kati ya wizara nyepesi mno

Hapo Wanu binti Samia ambaye Nina wasiwasi na elimu yake, Kawekwa ili kuzua mjadala Mitandao na atahamishiwa wizara ya Ulinzi au wizara ya fedha siku za usoni

10. Wizara ya Ulinzi
Nyashaho

Huyu bwana simfahamu vyema.
Nikipata taarifa sahihi kama katokea Zanzibar ndo nitatia neno
Ila kimsingi simjui hata kidogo na sijui Coach anataka kumtumia vipi
Wanamtandao wanaelea kama sii kubembea na nyeti.
 
Wizara za muungano ni tatu tu, Ulinzi, Mambo ya nje na ya ndani hivyo kuteua wazanzibari kwenye wizara tofauti na hizo ni batili kabisa na inafanya kilio cha kutaka muungano ufutwe kuzidi kuongezeka kila kukicha.
 
Nyansaho ni mkurya toka serengeti, ni mtumishi safi kabisa. Cv yake haina utata.
Huyu ndye alitakiwa kuwa mbunge wa kuchaguliwa toka serengeti
Mie nachanganya na yule mkugenzi aliyekufa kwa ajari ya gari, kaacha watoto 15, si walisema nae mtia nia.

Nilistuka nilipoona jina hili, nikasema kheeeh hakufa au. Lol
 
Back
Top Bottom