Tetesi: Tarimba aangukia pua Kinondoni!

Tetesi: Tarimba aangukia pua Kinondoni!

Status
Not open for further replies.
Mbunge Mstaafu Wa K'ndoni ameangukia pua. Baada ya kuwa namba 3. Asubirie huruma Kamati Kuu kupitia Mwenyekiti wa Mtandao hatari

1. Nyamwija
2. Idd Azzan,
3. Tarimba A. aka ......
Mama Abdul ameshindwa kumsaidia na kumtetea kote kule Abdul?
Ukweli ni kwamba sasa hivi ukijifanya uko karibu na Samia watu wanakupiga za uso
 
Mhhhh BADO usishangae akarudishwa Hawa jama huwa hawataki WATU wenye akili. Wale madiwani walikua WAMESHA PIGWA chini SI warirudishwa TENA MPAKA WATU kuandamana..


Kwishaaaaaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom