kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
Ndio hivyo tena hatuwezi kubadili historia.Tunaijutia sana siku hii
Kama ulipiga kura usijuteTunaijutia sana siku hii
Bila shaka mwezetu ulisha kandamizwa vya kutosha. Hebu tupe uzoefu wako mkuuNa bado.wa msoga kasema.muendelee kukandamizwa
Sikumpigia kuraKama ulipiga kura usijute
Wenye akili tunaona matokeo na tunajivunia.Tunaijutia sana siku hii
Hata sina uhakika kama kura yangu ilihesabiwa kulingana na matakwa yangu.Tarehe kama ya leo tulifanya maamuzi ya kidemokrasia kama taifa katika uchaguzi mkuu na kupata serikali iliyoko madarakani sasa. Je wewe mdau wa maendeleo ya taifa lako unasemaje, unatembea kifua mbele na kujipongeza kwa uchaguzi wako kwa kutumia kura yako ama unajutia kwa kupeleka kura yako ulikoipiga,