Tarehe 28/7/2020 yaweza kuwa siku ya kuvunja rekodi ya mahudhurio ya watoa heshima kwenye jeneza la kiongozi wa Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
123,589
234,213
Taarifa ya Tundu Lissu na viongozi wengine wa Chadema ya kuhudhuria uagwaji na utoaji wa heshima za mwisho wa Marehemu Mkapa kesho imesababisha hamasa kubwa ya umati wa watu kuhudhuria tukio hilo kiasi ambacho kinatarajiwa kuvunja rekodi (mimi pia kwa mara ya kwanza nitahudhuria)

Natoa wito kwa askari wa usalama wa barabarani kuongeza juhudi za kudhibiti lundo la magari yatakayofika eneo hilo.
 
Mwanaume amefika
Kesho ni SIKU YA KUMKUMBUKA MHE.CHACHA WANGWE aliyeuliwa tarehe 28.7.2008 na Mhusika wake Mkuu Bw. DISMAS MALYA alipotaka kufunguka zaidi Mbowe akampa Cheo ndani ya CHADEMA kuzima uvumi. Watanzania welevu bado wanakumbuka na wataendelea kulaani mauaji ya kulinda Ulaji wa Mwenyekiti wa Ufipa. Poleni wana Kemakorere lkn hongereni mlichomfanya huyu muuuaji hatosahau milele. RIP kaka CHACHA
 
Kesho ni SIKU YA KUMKUMBUKA MHE.CHACHA WANGWE aliyeuliwa tarehe 28.7.2008 na Mhusika wake Mkuu Bw. DISMAS MALYA alipotaka kufunguka zaidi Mbowe akampa Cheo ndani ya CHADEMA kuzima uvumi. Watanzania welevu bado wanakumbuka na wataendelea kulaani mauaji ya kulinda Ulaji wa Mwenyekiti wa Ufipa. Poleni wana Kemakorere lkn hongereni mlichomfanya huyu muuuaji hatosahau milele. RIP kaka CHACHA
Na serikali ipo na inajua haya usemayo nayo imekaa kimya kaaz kwelikweli
 
Kesho ni SIKU YA KUMKUMBUKA MHE.CHACHA WANGWE aliyeuliwa tarehe 28.7.2008 na Mhusika wake Mkuu Bw. DISMAS MALYA alipotaka kufunguka zaidi Mbowe akampa Cheo ndani ya CHADEMA kuzima uvumi. Watanzania welevu bado wanakumbuka na wataendelea kulaani mauaji ya kulinda Ulaji wa Mwenyekiti wa Ufipa. Poleni wana Kemakorere lkn hongereni mlichomfanya huyu muuuaji hatosahau milele. RIP kaka CHACHA
Unaweza kuisaidia serikali kuwachukua hatua waliohusika na mauaji ya Chacha Wangwe.
 
Taarifa ya Tundu Lissu na viongozi wengine wa Chadema ya kuhudhuria uagwaji na utoaji wa heshima za mwisho wa Marehemu Mkapa kesho imesababisha hamasa kubwa ya umati wa watu kuhudhuria tukio hilo kiasi ambacho kinatarajiwa kuvunja rekodi ( mimi pia kwa mara ya kwanza nitahudhuria )

Natoa wito kwa askari wa usalama wa barabara kuongeza juhudi za kudhibiti lundo la magari yatakayofika eneo hilo .
CCM zingekuwa ni kura au mkutano, wangewasafirisha watu kutoka kila kona. Sijui kinawashinda nini kuwasafirisha kwenda kumuaga Mwenyekiti mstaafu. Hapo ndipo huwa nashindwa kuwaelewa CCM....!!
 
Taarifa ya Tundu Lissu na viongozi wengine wa Chadema ya kuhudhuria uagwaji na utoaji wa heshima za mwisho wa Marehemu Mkapa kesho imesababisha hamasa kubwa ya umati wa watu kuhudhuria tukio hilo kiasi ambacho kinatarajiwa kuvunja rekodi ( mimi pia kwa mara ya kwanza nitahudhuria )

Natoa wito kwa askari wa usalama wa barabara kuongeza juhudi za kudhibiti lundo la magari yatakayofika eneo hilo .
Kesho ni siku ya viongozi wakuu na wageni wa kimataifa kutoa heshima za mwisho.

Tundu Lisu atajumuika na wananchi kufuatilia yanayojiri!
 
Kesho ni SIKU YA KUMKUMBUKA MHE.CHACHA WANGWE aliyeuliwa tarehe 28.7.2008 na Mhusika wake Mkuu Bw. DISMAS MALYA alipotaka kufunguka zaidi Mbowe akampa Cheo ndani ya CHADEMA kuzima uvumi. Watanzania welevu bado wanakumbuka na wataendelea kulaani mauaji ya kulinda Ulaji wa Mwenyekiti wa Ufipa. Poleni wana Kemakorere lkn hongereni mlichomfanya huyu muuuaji hatosahau milele. RIP kaka CHACHA
umeweka uongo bila kuwa na kumbukumbu , aliyekuwa dereva wa Wangwe aliitwa Deus Mallya ambaye alikamatwa na kuhukumiwa , lakini alikuja kuachiwa kwa msamaha wa Rais wa ccm .

Hii JF si mahali pa kuleta uongo .
 
umeweka uongo bila kuwa na kumbukumbu , aliyekuwa dereva wa Wangwe aliitwa Deus Mallya ambaye alikamatwa na kuhukumiwa , lakini alikuja kuachiwa kwa msamaha wa Rais wa ccm .

Hii JF si mahali pa kuleta uongo .
Sema mmempa Cheo gani baada ya kutekeleza maagizo ya mwenyekiti, usilete porojo.
 
Kesho ni SIKU YA KUMKUMBUKA MHE.CHACHA WANGWE aliyeuliwa tarehe 28.7.2008 na Mhusika wake Mkuu Bw. DISMAS MALYA alipotaka kufunguka zaidi Mbowe akampa Cheo ndani ya CHADEMA kuzima uvumi. Watanzania welevu bado wanakumbuka na wataendelea kulaani mauaji ya kulinda Ulaji wa Mwenyekiti wa Ufipa. Poleni wana Kemakorere lkn hongereni mlichomfanya huyu muuuaji hatosahau milele. RIP kaka CHACHA
Mbowe ni killer
 
Kila nikitahidi kuona nyomi zako unazoandika humu haishia kucheka tu.

Nyomi la watu elfu mbili Kati ya wa TZ milioni 60. Haaaa unachekesha.
 
Back
Top Bottom