Hatari sana ..Mwanaume amefika
Pumbavu sana YuleNaunga hoja mkono na hii ni ishara tosha kwa makonda kwamba ajui kazi mkurupukaji hivi leo kama angeli kuwa yeye ndie RC wa Dar ndugu zetu wangelikuwa katika hali gani?
nikujibu lipi sasa ?Dereva wa Lisu yuko wapi?
Kwa nini hatujashitakiwa MIGA?
Mmeo hakuwa mwanaume sio?Mwanaume amefika
Mpaka rahaMwanaume amefika
Akili yako ndogo sana weweKila nikitahidi kuona nyomi zako unazoandika humu haishia kucheka tu.
Nyomi la watu elfu mbili Kati ya wa TZ milioni 60. Haaaa unachekesha.
Bora iwe hivyo. Vinginevyo wale jamaa wangeingia gharama za kukodi malori ili kubeba watu ili kujaza uwanja.Taarifa ya Tundu Lissu na viongozi wengine wa Chadema ya kuhudhuria uagwaji na utoaji wa heshima za mwisho wa Marehemu Mkapa kesho
Mbona ulificha ukweli kwamba alishtakiwa, akafungwa, akapewa msamaha?
siku ya j 5 ni mapumziko kitaifaKukosa kutenga hata siku moja ya mapumziko kwa ajili ya kuwapa nafasi Watanzania kwenda kumuaga Rais aliyewaongoza kwa miaka kumi ni kumkosea heshima hayati Benjamin Mkapa.
Anyway kila la heri kwa watakaokwenda kesho.
Kwa hiyo serikali inafahamu chadema kuna wauaji lakini haiwachukulii hatua zozote?Kesho ni SIKU YA KUMKUMBUKA MHE.CHACHA WANGWE aliyeuliwa tarehe 28.7.2008 na Mhusika wake Mkuu Bw. DISMAS MALYA alipotaka kufunguka zaidi Mbowe akampa Cheo ndani ya CHADEMA kuzima uvumi. Watanzania welevu bado wanakumbuka na wataendelea kulaani mauaji ya kulinda Ulaji wa Mwenyekiti wa Ufipa. Poleni wana Kemakorere lkn hongereni mlichomfanya huyu muuuaji hatosahau milele. RIP kaka CHACHA
Nimeshinda hapo tangu juzi, kesho nitakuwepo na masasi nitaenda.Karibu Taifa kesho
Hii ni October 28, siku ya kupiga kura.siku ya j 5 ni mapumziko kitaifaView attachment 1519009
asante mkuu nilichanganya mafailiHii ni October 28, siku ya kupiga kura.
Yako ni robo ya yangu.Akili yako ndogo sana wewe
Na sisi jeMwanaume amefika
Bila shaka ulipata elimu ya hapa na pale.siku ya j 5 ni mapumziko kitaifaView attachment 1519009