Taratiiiibu tunaanza kumkumbuka Lowassa

Taratiiiibu tunaanza kumkumbuka Lowassa

LAZIMA AANZE KUKUMBUKWA, vijana wa 4UMovement na M4C wanakufa njaa kitaani, wengine wanatelekeza familia zao sababu mitija imekatwa na jamaa kama pato limeshuka hivi, maana kawasahau majihadists wake!
 
Tanzania ya magufuli ni Tanzania ya viwanda. Nashangaa uwanda wa pwani hauna Kiwanda hata kimoja cha samaki. Yule ni mzee wa kushangaa. Itafika 2020 atashangaa wakati unavyokimbia ukiwa madarakani bila kutimiza ahadi
Akili za bavicha hizi mnaziweza wenyewe! Pumba kabisa na ni aibu hujipi hata sekunde ya kufikiri, kama umejipa basi wewe ni nunda wa kiwango cha juu sana.
 
Wewe shoga kuhusisha wazazi kwenye issue ambazo haziwahusu umezitoa wapi???
Nakuandalia matusi muda si mrefu!!!
shoga mwenyewe sasa tukana kenge maji.....pamoja Na chama chenu cha mazombi
 
Hivi Tanzania ni Dar tu? mbona huyu Rais anafanya kazi za mkuu wa mkoa wa Dar?
 
kabisa mkuu

huyu ni mimi, nitasimamia ukweli no matter unatokea wapi na kwa nani.....ita majina yote i dont care

pole inauma, you aimed kuwa mkuu wa wilaya under lowassa?? hata ukatibu mkuu haukufikiriwa? pole mkuu

rusha tusi lingine....maana najua uko kwenye majonzi

tujenge taifa utakuwa na amani sana; mkipost utumbo siwaachi katu
Dah
Yaani ushamtaja na Lowasa tayari.
 
W

we shamba unatafutia DAR... mzima kweli we jamaa
Nijuze Shamba linatafutwaje? Ninachojua bila fedha Shamba hupati nielekeze wanapotafuta mashamba bure niende leo hii! Wakulima na wafugaji wanauana kisa ardhi , mkoa gani una ardhi yenye rutuba na hivyo ardhi haina mwenyewe?
 
Kuna watu huko Dar kwenu wanajua vijijini kuna mashamba, hakuna mashamba ndungu zangu yametengwa kwa ajiri ya wawekezaji, na kilimo kina hitaji mtaji na elimu kuwaza kwamba kilimo ni kazi ya mtu aliyekosa kazi ni akiri finyu
 
Ninamkumbuka sana Lowassa kwa ufisadi aliolifanyia taifa.

Politically, Lowassa is finished!

You're having a laugh and pipe dream!

Lowassa kwa sasa yuko kwenye mapito ya kisiasa aliyopitia Augustino Mrema.

Wake up and smell the coffee!
mchumba wa siasa.jpg
 
Unawaambia vijana wakalime umewatengenezea soko la mazao na wakati huko tanga machungwa yanaoza. Tunataka Rais awe na maono makubwa
 
mradi wa dege eco village umesimama na pale kulikua na vijana wa kitanzania wasiopungua 400 inamaana mpaka sasa awana kibarua. mzigo wa kwanza huo
wale waliokua wamekopa ela na kuwekeza kwenye pool wajipatie riziki nayo imepigwa stop. mzigo wa pili
kulingana na mwenendo wa uchumi wetu kuna hatari ya makampuni yetu kupunguza wafanyakazi (bakhressa yuko mbioni)
nida kapunguza vijana kibao na sijui kipindi anaajiri akuzingatia mahitaji ama la
uchumi supermarket hoi.
sasa group lote hili linaenda wap?
mwenye kaya kasema wakalime je mashamba wanayo?
na kipindi cha kampeni alikua akitoa ahadi za kufufua viwanda je viko wapi na ilifikia hatua mpaka akawa anaapa kwa jina la mungu atashughulikia ajira za vijana leo kawageuka kulikoni?
mkuu fikiria kwa umakini uyafanyayo maana sijaona manufaa ya wewe kutumbua vipele vya joto wakati majipu unayaacha(escrow) hilo tu hayo mengine utayajua mwenyewe
na usidili na dar tu wakati kuna morogoro pale viwanda vya asante moproco na komoa soap watu wanafugia mbuzi. hawa vijana wa moro unajua walipo?
mkuu kumbuka awa wanaokusifia kutwa kuchwa ndio wa kwanza kulalama utakapoanza kuvurunda 2020 sio mbali
watakaokuchukia ni wengi kuliko watakaokupenda.
kumbuka watu awaendi kwa ahadi hewa
wengi wanajitambua sasa
Pengine kama alikupa pesa wakati wa kampeni utamkumbuka
 
Katiba ya Tanzania ndiyo iliobaka demokrasia Tanzania.
 
Huko monduli hakuna wasio na ajira?angeanzia huko kuwapa ajira mende wewe
 
Hivi zile hospital zarufaa kila mkoa zinaanza kujengwa lini?

Je lowasa angeweza kuzujenga kwa miezi minne tu?acheni mitindio ya ubingo na kulishwa vitu visivyo na tija ilimradi muongee tuu!
 
Back
Top Bottom