Taratiiiibu tunaanza kumkumbuka Lowassa

Taratiiiibu tunaanza kumkumbuka Lowassa

Kwanini wana chadema wenzangu mnalalamika sana aisee....mm niliwahi kuwaambia rafik zangu Magufuli ata akiingia madarakan akaharibu mm haitoniuma sababu hakupata kura yangu na pia siwez poteza mda wangu kumuongela Magufuli ....kitu kingine unaweza kujudge vipi uwezo wa raisi ambae ajafikia ata miaka miwili....ebu tukae chini tuangalie tunajenga vipi chadema sio kuchunguza kila siku Magufuli anafanya nini
 
Unamkumbuka katika ndoto endelea kuota ukiamka utajikuta si rizki
 
mradi wa dege eco village umesimama na pale kulikua na vijana wa kitanzania wasiopungua 400 inamaana mpaka sasa awana kibarua. mzigo wa kwanza huo
wale waliokua wamekopa ela na kuwekeza kwenye pool wajipatie riziki nayo imepigwa stop. mzigo wa pili
kulingana na mwenendo wa uchumi wetu kuna hatari ya makampuni yetu kupunguza wafanyakazi (bakhressa yuko mbioni)
nida kapunguza vijana kibao na sijui kipindi anaajiri akuzingatia mahitaji ama la
uchumi supermarket hoi.
sasa group lote hili linaenda wap?
mwenye kaya kasema wakalime je mashamba wanayo?
na kipindi cha kampeni alikua akitoa ahadi za kufufua viwanda je viko wapi na ilifikia hatua mpaka akawa anaapa kwa jina la mungu atashughulikia ajira za vijana leo kawageuka kulikoni?
mkuu fikiria kwa umakini uyafanyayo maana sijaona manufaa ya wewe kutumbua vipele vya joto wakati majipu unayaacha(escrow) hilo tu hayo mengine utayajua mwenyewe
na usidili na dar tu wakati kuna morogoro pale viwanda vya asante moproco na komoa soap watu wanafugia mbuzi. hawa vijana wa moro unajua walipo?
mkuu kumbuka awa wanaokusifia kutwa kuchwa ndio wa kwanza kulalama utakapoanza kuvurunda 2020 sio mbali
watakaokuchukia ni wengi kuliko watakaokupenda.
kumbuka watu awaendi kwa ahadi hewa
wengi wanajitambua sasa
Taratibu tumeanza kumsahau Lowassa na sio kumkumbuka,kwa lipi tumukumbuke?
 
amekufa au?? kumkumbuka mtu ambaye hajawahi kuwa rais akatenda lolote ni maajabu maana kuongea kila mtu anaweza ongea
 
Umeonaee eeeh! ila mm kuna kitu mh. Kaniudhi nipo Geita makao makuu ya mkoa kuna hosptal teule ya rufaa lakin duka la MSD limejengwa Chato kama km 40 kutoka hapa
Hayo ndo matatizo ya nchi hii.Katiba hii ndo inabidi ibadilishwe kuwe na utaratibu mwingine na sio mawaziri kuwa wabunge,hii ndo inaleta yote haya na mengine mengi tu.
 
mradi wa dege eco village umesimama na pale kulikua na vijana wa kitanzania wasiopungua 400 inamaana mpaka sasa awana kibarua. mzigo wa kwanza huo
wale waliokua wamekopa ela na kuwekeza kwenye pool wajipatie riziki nayo imepigwa stop. mzigo wa pili
kulingana na mwenendo wa uchumi wetu kuna hatari ya makampuni yetu kupunguza wafanyakazi (bakhressa yuko mbioni)
nida kapunguza vijana kibao na sijui kipindi anaajiri akuzingatia mahitaji ama la
uchumi supermarket hoi.
sasa group lote hili linaenda wap?
mwenye kaya kasema wakalime je mashamba wanayo?
na kipindi cha kampeni alikua akitoa ahadi za kufufua viwanda je viko wapi na ilifikia hatua mpaka akawa anaapa kwa jina la mungu atashughulikia ajira za vijana leo kawageuka kulikoni?
mkuu fikiria kwa umakini uyafanyayo maana sijaona manufaa ya wewe kutumbua vipele vya joto wakati majipu unayaacha(escrow) hilo tu hayo mengine utayajua mwenyewe
na usidili na dar tu wakati kuna morogoro pale viwanda vya asante moproco na komoa soap watu wanafugia mbuzi. hawa vijana wa moro unajua walipo?
mkuu kumbuka awa wanaokusifia kutwa kuchwa ndio wa kwanza kulalama utakapoanza kuvurunda 2020 sio mbali
watakaokuchukia ni wengi kuliko watakaokupenda.
kumbuka watu awaendi kwa ahadi hewa
wengi wanajitambua sasa
Mbona unaruka sarakasi
 
Zile mvua kutoka Thailand hazijawasili mpaka leo?. Zimekwamia wapi?. EL ni full maigizo, anamuita JPM book keeper wakati yeye hana visions zozote zenye kuweza kumuweka katika level ambayo alitaka watanzania waamini kwamba ni ya kwake. Lakini historia huwa haina uchoyo, atakumbukwa kwa yote anayoyafanya sasa na aliyoyafanya akiwa mtimishi wa serikali.
 
Hahaha, sidhani labda umkumbuke wewe tu huyo fisadi
 
Napata shida sana unapomfananisha aliye madarakani na ambaye ungewish angekuwa madarakani sijajua under what grounds hawa watu watafanana?Anyway afterall its your wish.
Unapofanya evaluation kwa raisi ambaye ana madaraka just in 3 months napata shida kujua uwezo wako wa kuwa analytical unless kama unataka viwanda vya kufunga ubuyu.
Kuajili watu alafu hakuna tija haingii akilini ndicho kilichotokea NIDA,zile kazi zaweza fanywa na watendaji hawa waliopo offloading 500 workers ni uamuzi wa busara tuu ukizingatia output yao kwa siku kama ilivyo elezwa na msemaji wa NIDA.
Industrialization takes time ndugu sio suala la kulala na kuamka kwa kuanzia lazima uwe na umeme wa kutosha ndio maana kinyelezi 2 imezinduliwa plus grid line itokayo Iiringa kwenda mikoa ya kati apo plus kujenga grid connecting Tz na inchi jirani ili tukiwa na excess power tuuze na tukiwa na deficit tuwe na back up via importation.
Pia kwa viwanda waitaji mtaji iwe serikali au individual ndo maana TIB wameanzisha dirisha dogo pale la kufanyia kazi watu wenye mamwazo hayo ili wapatiwe mkopo but in a long run kuwe na separate bank kwa ajili ya kuendeleza viwanda.
Najua kwa kuanzia vipo ambavyo ni rahisi kuvifufua hasa textile industry like urafiki,general tyre etc ambavyo huchukua watu kwa maelfu
Ni hayo tuu maana najua mpo wenye alergy na makala ndefu
 
leo umepiga marufuku madadapoa je mbadala wa hawa watu ili waweze kujipatia kipato ni upi?
Hili suala la kudhibiti wauza sembe linaathiri sana ajira...tufanyeje Lowassa aliahidi nchi itakuwa huru.....sasa vijana wanauza sembe wanakamatwa....je waende wapi?
 
mradi wa dege eco village umesimama na pale kulikua na vijana wa kitanzania wasiopungua 400 inamaana mpaka sasa awana kibarua. mzigo wa kwanza huo
wale waliokua wamekopa ela na kuwekeza kwenye pool wajipatie riziki nayo imepigwa stop. mzigo wa pili
kulinga na mwenendo wa uchumi wetu kuna hatari ya makampuni yetu kupunguza wafanyakazi (bakhressa yuko mbioni)
nida kapunguza vijana kibao na sijui kipindi anaajiri akuzingatia mahitaji ama la
uchumi supermarket hoi.
sasa group lote hili linaenda wap?
mwenye kaya kasema wakalime je mashamba wanayo?
na kipindi cha kampeni alikua akitoa ahadi za kufufua viwanda je viko wapi na ilifikia hatua mpaka akawa anaapa kwa jina la mungu atashughulikia ajira za vijana leo kawageuka kulikoni?
mkuu fikiria kwa umakini uyafanyayo maana sijaona manufaa ya wewe kutumbua vipele vya joto wakati majipu unayaacha(escrow) hilo tu hayo mengine utayajua mwenyewe
na usidili na dar tu wakati kuna morogoro pale viwanda vya asante moproco na komoa soap watu wanafugia mbuzi. hawa vijana wa moro unajua walipo?
mkuu kumbuka awa wanaokusifia kutwa kuchwa ndio wa kwanza kulalama utakapoanza kuvurunda 2020 sio mbali
watakaokuchukia ni wengi kuliko watakaokupenda.
kumbuka watu awaendi kwa ahadi hewa
wengi wanajitambua sasa
mawazo ya kipumbafffff na kilofaaaa. kama mwajili anasema kazi iliyokuwepi ya kukufanya ulipwe imekwisha unadhani akiendelea kuwa na wewe bila kazi atapata wp hela ya kukulipa.kamanda hivi umesoma principles of economy. kwa hiyo ungekuwa wewe ungezoa vijana mtaani wa kutosha waje kazini bila kazi then uwalipe ?ni lazma tubadiri fikra wajameni tu think big. awamu hii ni ya kazi siyo kubembelezana. acheni mzee wa watu apige kazi.
kazi hii ingekuwa Lowasa ndio hata theluthi ya Magufuli asingefikia. ukweli ndio huo. kazi kuzungusha mikono eti ndio sera ya maendeleo. upumbaf na ulifa ndio huoo. angalieni wazee kama Mwapachu wameshajuta kuzaliwa na kuhamia kwetu. wamejitambua na wamerudi kwao. wameona kiongoziz mwenyewe waliokuwa wanamsapoti ni magumashi kwa kwenda mbele. which is true. waliijitambua kina Dr Slaa walichomoka mapemaaa. tumebaki sisi tu manungaembe
 
Naona bado unaendelea upumbavu club... Lowasa angefanya nini nchi hii we mbulula... Au unajua kuandika na kusoma tu ila ujui kutazama vitu kwa kina.. Tanzania tunaeneo kubwa sana vijana waende kulima
angefanya vizuri zaidi ya upumbafu anaofanya mzee wa push up na kujamba
Naona bado unaendelea upumbavu club... Lowasa angefanya nini nchi hii we mbulula... Au unajua kuandika na kusoma tu ila ujui kutazama vitu kwa kina.. Tanzania tunaeneo kubwa sana vijana waende kulima

Naona bado unaendelea upumbavu club... Lowasa angefanya nini nchi hii we mbulula... Au unajua kuandika na kusoma tu ila ujui kutazama vitu kwa kina.. Tanzania tunaeneo kubwa sana vijana waende kulima
 
Back
Top Bottom