Hivi ni kwa nini mnaongelea ushabiki tu na siyo mambo yenye facts and figures ili mtu unapojadili, akili ifanye kazi. Kila siku ni mambo ya kishabiki tu, hamchoki?mradi wa dege eco village umesimama na pale kulikua na vijana wa kitanzania wasiopungua 400 inamaana mpaka sasa awana kibarua. mzigo wa kwanza huo
wale waliokua wamekopa ela na kuwekeza kwenye pool wajipatie riziki nayo imepigwa stop. mzigo wa pili
kulingana na mwenendo wa uchumi wetu kuna hatari ya makampuni yetu kupunguza wafanyakazi (bakhressa yuko mbioni)
nida kapunguza vijana kibao na sijui kipindi anaajiri akuzingatia mahitaji ama la
uchumi supermarket hoi.
sasa group lote hili linaenda wap?
mwenye kaya kasema wakalime je mashamba wanayo?
na kipindi cha kampeni alikua akitoa ahadi za kufufua viwanda je viko wapi na ilifikia hatua mpaka akawa anaapa kwa jina la mungu atashughulikia ajira za vijana leo kawageuka kulikoni?
mkuu fikiria kwa umakini uyafanyayo maana sijaona manufaa ya wewe kutumbua vipele vya joto wakati majipu unayaacha(escrow) hilo tu hayo mengine utayajua mwenyewe
na usidili na dar tu wakati kuna morogoro pale viwanda vya asante moproco na komoa soap watu wanafugia mbuzi. hawa vijana wa moro unajua walipo?
mkuu kumbuka awa wanaokusifia kutwa kuchwa ndio wa kwanza kulalama utakapoanza kuvurunda 2020 sio mbali
watakaokuchukia ni wengi kuliko watakaokupenda.
kumbuka watu awaendi kwa ahadi hewa
wengi wanajitambua sasa
Sasa unalia nini si ukalime au unataka tuje kukupiga viboko ndo uende.. Maisha yako ni ya kwako kijana ukianza kupiga domo tu bila sababu za msingi utaishia kula kwa macho.kwa taharifa yako niko vigwaza jiran na hii shule ya msingi kisogo mm nakaa shamba na mazingira ya shamba nayajua
Mkuu sema tuu Mungu ameachana na zile adhabu za papo kwa papo. Vinginevyo kuna viongozi wa awamu hii wangepigwa Ukoma ghafla kwa kulitaja bure na kwa dhihaka jina lake.kuapa kwa jina la Mungu halafu ukafanya kinyume malipo yake ni LAANA YA HATARI SANA .
Tanzania ya magufuli ni Tanzania ya viwanda. Nashangaa uwanda wa pwani hauna Kiwanda hata kimoja cha samaki. Yule ni mzee wa kushangaa. Itafika 2020 atashangaa wakati unavyokimbia ukiwa madarakani bila kutimiza ahadikwani amewahi kuwa rais? wa awamu ya ngapi? get over that thing ambaye mlisema chaguo la Mungu na eti kila anayemsema vibaya atakufa au kupatwa mabaya!
unakuwa huna akili sawa sawa ukimsema mtu unamkumbuka ambaye haujawahi ku evaluate his performance hata alipokuwa waziri mkuu au waziri wa kawaida hakuna kubwa la kukumbukwa alilosimamia na kulifanya ambalo leo hii unaweza kufananisha ma JPM
NAKUMBUKA KAURI MOJA YA JPM KWENYE KAMPENI ZAKESuala la viwanda ni mchakato unaohitaji mda mrefu,tuvute subira kuona namna gani atarekebisha sera za kuhusu viwanda na kuvutia wawekezaji.Ili mtu awekeze kwenye nchi yako kuna vitu vingi vya kuzingatia hasa pato la kila mwananchi.
Ni sahihi kupiga stop michezo na ulevi asubuhi asubuhi ila inatakiwa kuwe mipango mizuri ya nini vijana na wasio na ajira wakafanye.Suala la Mil.50 kwa kila kijiji ingebadilishwa iwe kusaidia angalau vikundi 5 kwa kila kijiji kwa kuwakopesha na kuwe na wataalamu walioajiriwa angalau 3 au 4 kila wilaya kwa ajili ya kutoa msaada wa kitaalamu katika vikundi hivyo.
Kwa hiyo wewe Bawacha unaona ni bora waruhusiwe kuendelea kuuza miili yao na kama mgechukua nchi mgewekeza kwenye wauza miili kama ajira rasmi!leo umepiga marufuku madadapoa je mbadala wa hawa watu ili waweze kujipatia kipato ni upi?
Bakhresa atapunguza , kinyerezi itaajiri, moproco na wengineo uliowataja wote wataachisha, Bomba la uganda litaajiri watu zaidi ya 1500,mradi wa dege eco village umesimama na pale kulikua na vijana wa kitanzania wasiopungua 400 inamaana mpaka sasa awana kibarua. mzigo wa kwanza huo
wale waliokua wamekopa ela na kuwekeza kwenye pool wajipatie riziki nayo imepigwa stop. mzigo wa pili
kulingana na mwenendo wa uchumi wetu kuna hatari ya makampuni yetu kupunguza wafanyakazi (bakhressa yuko mbioni)
nida kapunguza vijana kibao na sijui kipindi anaajiri akuzingatia mahitaji ama la
uchumi supermarket hoi.
sasa group lote hili linaenda wap?
mwenye kaya kasema wakalime je mashamba wanayo?
na kipindi cha kampeni alikua akitoa ahadi za kufufua viwanda je viko wapi na ilifikia hatua mpaka akawa anaapa kwa jina la mungu atashughulikia ajira za vijana leo kawageuka kulikoni?
mkuu fikiria kwa umakini uyafanyayo maana sijaona manufaa ya wewe kutumbua vipele vya joto wakati majipu unayaacha(escrow) hilo tu hayo mengine utayajua mwenyewe
na usidili na dar tu wakati kuna morogoro pale viwanda vya asante moproco na komoa soap watu wanafugia mbuzi. hawa vijana wa moro unajua walipo?
mkuu kumbuka awa wanaokusifia kutwa kuchwa ndio wa kwanza kulalama utakapoanza kuvurunda 2020 sio mbali
watakaokuchukia ni wengi kuliko watakaokupenda.
kumbuka watu awaendi kwa ahadi hewa
wengi wanajitambua sasa
Kwa hiyo viwanda vinajengwa kwa miezi mitatu?Tanzania ya magufuli ni Tanzania ya viwanda. Nashangaa uwanda wa pwani hauna Kiwanda hata kimoja cha samaki. Yule ni mzee wa kushangaa. Itafika 2020 atashangaa wakati unavyokimbia ukiwa madarakani bila kutimiza ahadi
Ha ha ha,alisema tu lakini hakuna kitu unaweza fanya pasipo na data kamili,utafiti n.k BTW viwanda hajengi yeye wala haijengi serikali.Lazima uweke mifumo itakayowavuta hao wawekezaji ili waje kwako na si kwingineko,hiyo mifumo ni sera na lazima uitengeneze kuhakikisha Serikali inanufaika,wananchi wananufaika na mazingira yanatunzwa hivyo huwezi ukakurupuka asubuhi ukatamka tu ukafikiri watakuelewa na hiyo ndo michakato na upembuzi yakinifu mengine mbwembwe.NAKUMBUKA KAURI MOJA YA JPM KWENYE KAMPENI ZAKE
NANUKUU
"Kwenye serikali yangu sitaki kusikia mambo ya mikachato michakato ikitokea waziri akajibu mambo ya michakoto hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii haki ya mungu namchakata yeye"
Umeonaee eeeh! ila mm kuna kitu mh. Kaniudhi nipo Geita makao makuu ya mkoa kuna hosptal teule ya rufaa lakin duka la MSD limejengwa Chato kama km 40 kutoka hapaHa ha ha,alisema tu lakini hakuna kitu unaweza fanya pasipo na data kamili,utafiti n.k BTW viwanda hajengi yeye wala haijengi serikali.Lazima uweke mifumo itakayowavuta hao wawekezaji ili waje kwako na si kwingineko,hiyo mifumo ni sera na lazima uitengeneze kuhakikisha Serikali inanufaika,wananchi wananufaika na mazingira yanatunzwa hivyo huwezi ukakurupuka asubuhi ukatamka tu ukafikiri watakuelewa na hiyo ndo michakato na upembuzi yakinifu mengine mbwembwe.
leo umepiga marufuku madadapoa je mbadala wa hawa watu ili waweze kujipatia kipato ni upi?