Mmmh mtoa mada na wakosoaji wengne mnanipa wasi wasi juu ya uwezo wenu na uwelewa wa mambo au labda kama mnasukumwa na mihemko ya siasa za kichama, ivi kweli unafikilia solution ya kukosa kaz ni kujiuza??? What if ingekua yeye mwenyewe rais magu angetamka km hauna ajira nenda kajiuze c mungemuona chizi na mungeandamana apa?leo umepiga marufuku madadapoa je mbadala wa hawa watu ili waweze kujipatia kipato ni upi?
Mi nahis tungeachana na hii mada mana nahis ni upotezajibwa muda