Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,909
Lugha gani?Kwako Mungu tutarejea
Je ikiandikwa hivyo ulivyoandika 'kwako mungu tutarejea' mungu hatasikia au haitaleta maana mbele ya masikio ya mungu or mungu ana lugha maalum anazosikia?