muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,528
- 10,165
Poleni familia..
Ni ndugu Omar mkubwa.
Inna lillsh wainna ilaihi raajiun. Kila nafsi itauonja umauti.
Inna lillahi wainna ilaihi raajiun.
Inna lillahi wainna ilayhi raaajuuun.
Inna lillahi wainna ilayhi raaajuuun.
Poleni wafiwa na waaumini....
Inna liLLlaah wa inna iLayhi rajioun !!
Huyu alikuwa kundi gani? R. I. P sheikh
Mpendwa Plm !! No ndugu yangu haya maneno ni Aya moja inayomaanisha kuwa " kila kiumbe ni cha mwenyeezzi Mungu ( ALLAH) na vyote vitarudi/vitarejea kwake" ( mara nyingi siye hutumia kuifaraji msiba/misbani ilikuimarisha imani juu muumba ) !!Kwa lingine hilo la R.I.P in halina mshiko wa la hata thamani kwani mwanaadamu ahana amri yakutoa juu ya maiti !!Usinielewe vibaya.... Wellcom 24/7 kwa roho mkunjufu.Hayo maneno yana maana tofauti?R.I.P Sheikh Omary Alhad.
Soma hapa chini...
Hayo maneno yana maana tofauti?
R.I.P Sheikh Omary Alhad.
Mpendwa Plm !! No ndugu yangu haya maneno ni Aya moja inayomaanisha kuwa " kila kiumbe ni cha mwenyeezzi Mungu ( ALLAH) na vyote vitarudi/vitarejea kwake" ( mara nyingi siye hutumia kuifaraji msiba/misbani ilikuimarisha imani juu muumba ) !!Kwa lingine hilo la R.I.P in halina mshiko wa la hata thamani kwani mwanaadamu ahana amri yakutoa juu ya maiti !!Usinielewe vibaya.... Wellcom 24/7 kwa roho mkunjufu.
Soma hapa chini...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un-(Arabic:-إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ‎ is a part of a verse from theQur'an-which translates to "Surely we belong to-Allah-and to Him shall we return".-The phrase is recited by Muslims when a person experiences a tragedy in life,-especially upon hearing news that a person has died.The phrase is also recited in situation that involve risk of any sort.