TANZIA: Rock City Wing

Wanategemea kuzika siku ya jumanne, taarifa kamili zitapatikana kesho!

Tuombeane uzima siku hiyo tuwe pamoja kwa maziko. Ila upunguze u-charming tutapokua twamlilia marehemu. Apumzike Pema Peponi.
 

Ina LiLaah Waina eLayhi Rajoun POLE na huzuni zatuUnganisha pamoja Mwz/Mungu amlaze pema marhemu, Na awape SUBIRA/faraji wafiwa wote. AMIN
 
Reactions: ram
Tunawashukuru sana wapendwa wanaJF kwa ufariji wenu...

Sasa nipo njiani kuelekea msibani...

Mkuu kandukamo1 umesomeka vyema!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: ram
Jamani wana JF nashukuruni wote kwa rambi rambi zenu, tumempoteza mdogo wetu, amezimika kama mshumaa. Tulimpenda sana lakini Mungu kampenda zaidi. nawashukuru sana na tuko pamoja. Salamu hizi ziwafikie pia wanafamilia ya SAUT, alikuwa ni mwanafunzi pale wa 3rd year
Poleni sana wana mwanza.
 
pole sana Mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.tuko pamoja...
 
Reactions: ram
Pole sana ram mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi ameni.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: ram
Pole sana ram na JF Rock City kwa msiba huu.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: ram
Ahsante Arushaone, Martha amezimika kama mshumaa....... kweli Mungu anavuna kwa majira ayatakayo mwenyewe
Pole sana ram na JF Rock City kwa msiba huu.
 
Last edited by a moderator:

Tuko pamoja mum katika kipindi hiki kigumu...

Ufunuo 21:4
"Naye atafuta kila chozi katika
macho yao, wala mauti
haitakuwapo tena wala
maombolezi wala kilio, wala
maumivu hayatakuwapo tena
kwa kuwa mambo ya kwanza
yamekwisha kupita."
 
Reactions: ram
Poleni sana ndugu zangu kwa msiba huu. Yatosha kwa msiba kuwa mawaidha kwa wengine. Mungu amjaalie mizani mizuri na Nuru katika NJIA yake, ameen. !!
 
Reactions: ram
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…