CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Habari zenu wadau wa Jamii Forums..
Nasikitika kuwataarifu kuwa member mwenzetu dada ram amefiwa na binamu yake.
Msima upo Butimba jirani na Magereza (Mwanza). Naomba tuungane
kumfariji dada ram na wale walioko hapa jijini Mwanza tunaweza kwenda kumpa pole....
"Bwana alitoa na Bwana ametwaa
jina lake lihimidiwe"
Habari ziwafikie WanaJF wote walioko Jijini Mwanza na nje ya Mwanza, wana Rock City Wing wote ThinkPad, Home First, TrueLove, Elizabeth Dominic, Rock City, Mzee Gedeli......
UPDATES
Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya jumanne katika makaburi ya Iseni - Nyegezi.
Marehemu alikuwa Mwalimu katika shule ya Iseni na mwanafunzi wa mwaka wa 3 katika Chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT)...
Kwa wanaJF walioko hapa Jijini Mwanza tunaweza kuungana na dada yetu ram siku ya mazishi. Eneo la msiba ni Butimba kwenye kona ya kuelekea Gereza la Butimba.
MORE UPDATES:
Ibada itaanza majira ya saa sita mchana, safari ya kuelekea malaloni itafuatia saa saba na nusu mchana kisha mazishi yatafanyika saa tisa alasiri. WanaJF walioko Mwanza wanaweza kujumuika nasi..
Nasikitika kuwataarifu kuwa member mwenzetu dada ram amefiwa na binamu yake.
Msima upo Butimba jirani na Magereza (Mwanza). Naomba tuungane
kumfariji dada ram na wale walioko hapa jijini Mwanza tunaweza kwenda kumpa pole....
"Bwana alitoa na Bwana ametwaa
jina lake lihimidiwe"
Habari ziwafikie WanaJF wote walioko Jijini Mwanza na nje ya Mwanza, wana Rock City Wing wote ThinkPad, Home First, TrueLove, Elizabeth Dominic, Rock City, Mzee Gedeli......
UPDATES
Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya jumanne katika makaburi ya Iseni - Nyegezi.
Marehemu alikuwa Mwalimu katika shule ya Iseni na mwanafunzi wa mwaka wa 3 katika Chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT)...
Kwa wanaJF walioko hapa Jijini Mwanza tunaweza kuungana na dada yetu ram siku ya mazishi. Eneo la msiba ni Butimba kwenye kona ya kuelekea Gereza la Butimba.
MORE UPDATES:
Ibada itaanza majira ya saa sita mchana, safari ya kuelekea malaloni itafuatia saa saba na nusu mchana kisha mazishi yatafanyika saa tisa alasiri. WanaJF walioko Mwanza wanaweza kujumuika nasi..