TANZIA: Rock City Wing

TANZIA: Rock City Wing

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Habari zenu wadau wa Jamii Forums..

Nasikitika kuwataarifu kuwa member mwenzetu dada ram amefiwa na binamu yake.

Msima upo Butimba jirani na Magereza (Mwanza). Naomba tuungane
kumfariji dada ram na wale walioko hapa jijini Mwanza tunaweza kwenda kumpa pole....

"Bwana alitoa na Bwana ametwaa
jina lake lihimidiwe"

Habari ziwafikie WanaJF wote walioko Jijini Mwanza na nje ya Mwanza, wana Rock City Wing wote ThinkPad, Home First, TrueLove, Elizabeth Dominic, Rock City, Mzee Gedeli......

UPDATES

Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya jumanne katika makaburi ya Iseni - Nyegezi.

Marehemu alikuwa Mwalimu katika shule ya Iseni na mwanafunzi wa mwaka wa 3 katika Chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT)...

Kwa wanaJF walioko hapa Jijini Mwanza tunaweza kuungana na dada yetu ram siku ya mazishi. Eneo la msiba ni Butimba kwenye kona ya kuelekea Gereza la Butimba.

MORE UPDATES:

Ibada itaanza majira ya saa sita mchana, safari ya kuelekea malaloni itafuatia saa saba na nusu mchana kisha mazishi yatafanyika saa tisa alasiri. WanaJF walioko Mwanza wanaweza kujumuika nasi..
 
duh pole sana ram........

mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki kigum cha kuondokewa na binam
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Mungu awatie nguvu wafiwa. Pole ram na Wana Rock city wing kwa ujumla.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Habari zenu wadau wa Jamii Forums..

Nasikitika kuwataarifu kuwa member mwenzetu dada ram amefiwa na binamu yake.

Msima upo Butimba jirani na Magereza (Mwanza). Naomba tuungane
kumfariji dada ram na wale walioko hapa jijini Mwanza tunaweza kwenda kumpa pole....

"Bwana alitoa na Bwana ametwaa
jina lake lihimidiwe"

Habari ziwafikie WanaJF wote walioko Jijini Mwanza na nje ya Mwanza, wana Rock City Wing wote ThinkPad, Home First, TrueLove, Elizabeth Dominic, Rock City, Mzee Gedeli......

Pole sana ram,mungu ni mwema wakati wote.Mungu akupe faraja.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Habari zenu wadau wa Jamii Forums..

Nasikitika kuwataarifu kuwa member mwenzetu dada ram amefiwa na binamu yake.

Msima upo Butimba jirani na Magereza (Mwanza). Naomba tuungane
kumfariji dada ram na wale walioko hapa jijini Mwanza tunaweza kwenda kumpa pole....

"Bwana alitoa na Bwana ametwaa
jina lake lihimidiwe"

Habari ziwafikie WanaJF wote walioko Jijini Mwanza na nje ya Mwanza, wana Rock City Wing wote ThinkPad, Home First, TrueLove, Elizabeth Dominic, Rock City, Mzee Gedeli......

Asante kwa taarifa

Mkuu ram poleni sana na Mungu awatie nguvu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Pole sana dear ram
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Pole sana ram........
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Mkuu ram poleni sana msiba uliowakuta na Mungu awatie faraja na nguvu wakati huu mgumu kwenu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
^^
Pole sana ram
Jina la Bwana lihimidiwe
^^
 
Last edited by a moderator:
ram, pole sana kwa msiba
Mungu alie faraja ya kweli na awaone wakati huu mgumu
POLENI SANA
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Rock city wing polen sana zaid Mungu awatie nguvu na ujasiri katika kipindi hiki
 
  • Thanks
Reactions: ram
Tumegee jina la Binamu huyo wengine tuna Ndugu zetu huko na mawasiliano ni Magumu yawezekana wakawa watu wetu.......

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu pahali panapostahili
 
  • Thanks
Reactions: ram
Tumegee jina la Binamu huyo wengine tuna Ndugu zetu huko na mawasiliano ni Magumu yawezekana wakawa watu wetu.......

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu pahali panapostahili

Ngoja niwasiliane na mfiwa kisha nitarudi kwako mkuu....
 
Back
Top Bottom