mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,973
Professor Nguli wa sheria wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam A.K.Wambali,amefariki dunia muda mfupi uliopita,kwenye hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa.Katika uhai wake,atakumbukwa kama Mwalimu wa sheria aliyetukuka na mpigania haki za binadamu.Mungu amlaze mahali pema peponi.Amen